YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Pumbafu hao walio ndani ya Ukraine hawakuona hilo hao watanzania? Nimeona wakenya wanafunzi kibao wamesusa hawaruudi kwa sababu zao binafsi wanasema Serikali isiwasumbue kuwa warudi hawakuiomba wakati wanaenda kuwa niwapeleke wawachukue wanataka kurudiTiss hii ya Diwani hamna kitu aiseeee, kama walishindwa kumjua kigogo for five good years sasa intel za nje ya nchi ndio wazipate?
Wanigeria pia kibao wamesusa kurudi wakisema hizo hela za kuwarudisha wawape wajue cha kufanya huko waliko .wasifisadi kwa kuwatumia wao.Wawachukue wanaowataka wao hawarudi Nigeria serikali haikuwapeleka huko wanasema leave us alone.