Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili iweje?Baada au kabla ya bomu la kwanza kutua?
Kwani CIA ambao wako kwenye kitovu cha mgogoro na wanataarifa nyingi walihamisha Wamarekani Ukraine?! Ujuaji wa Kibongobongo again.Nasikia kuna watanzania kibao wamebanwa ndani ya mzozo wa Rusisia na Ukraine na hali kwenye baadhi ya miji inakuwa mbaya.
Tiss walipaswa kujua hii hali mapema na kuwahamisha watz wote waliopo huko Ukraine.
Hii ndio kazi mojawapo ya Tiss ni kuhakijisha raia waliopo nje wanarudi nchini safe kabla ya majanga hayajatokea.
Hii ni failure to them.
Walitoa taarifa kwa raia wake watoke Ukraine kwani wakati wote kwa taarifa za kiintelijensia waliamini kuwa Ukraine itavamiwa na Russia.Kwani CIA ambao wako kwenye kitovu cha mgogoro na wanataarifa nyingi walihamisha Wamarekani Ukraine?! Ujuaji wa Kibongobongo again.
Umesikia kuna wamarekani wanalia kukwama huko Ukraine?Kwani CIA ambao wako kwenye kitovu cha mgogoro na wanataarifa nyingi walihamisha Wamarekani Ukraine?! Ujuaji wa Kibongobongo again.
Hujui kitu we bwege.Mleta mada kaja na ID nyingine
Kabadilisha ID yake ni My son drink water hujifanya mjuaji na mkosoaji sana wa TISS kwa hoja hewa
Ubalozini.TISS Chief of Station pale Kyiv ni nani tumuwajibishe?
Wao wa deal na CHADEMA tu.....Nasikia kuna watanzania kibao wamebanwa ndani ya mzozo wa Rusisia na Ukraine na hali kwenye baadhi ya miji inakuwa mbaya.
Tiss walipaswa kujua hii hali mapema na kuwahamisha watz wote waliopo huko Ukraine.
Hii ndio kazi mojawapo ya Tiss ni kuhakijisha raia waliopo nje wanarudi nchini safe kabla ya majanga hayajatokea.
Hii ni failure to them.
That is the problem.Ndugu unaongelea tiss ipi? Hawa kazi yao imehaki moja tu kupambana na wanaoipinga CCM tu Basi mengine huwa hayawahusu. Jibu ndo hilo kama ulikuwa hujui.
Are you sure?Kawaida sana, na wala siyo kazi yao...
Nasikia kuna watanzania kibao wamebanwa ndani ya mzozo wa Rusisia na Ukraine na hali kwenye baadhi ya miji inakuwa mbaya.
Tiss walipaswa kujua hii hali mapema na kuwahamisha watz wote waliopo huko Ukraine.
Hii ndio kazi mojawapo ya Tiss ni kuhakijisha raia waliopo nje wanarudi nchini safe kabla ya majanga hayajatokea.
Hii ni failure to them.
Kweli?Hata balozi yetu huko Ukraine haina database ya watanzania walioko huku sembuse tiss
Usibadilibadili mikao , umeleta hoja kuwa Watanzania walitakiwa wawe-evacuated kwa mkono wa Tiss, swali CIA ndio kidume kwenye hilo eneo, Je walifanya hivyo? Au kuna shirika lolote la kijasusi lililofanya hivyo kabla ya vita?Umesikia kuna wamarekani wanalia kukwama huko Ukraine?