BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
TISS Chief of Station pale Kyiv ni nani tumuwajibishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda mchovu kwani nyie hamkujua kama mliyemchongea kesi mchongo atatolewa gerezani gafla🤸Nasikia kuna watanzania kibao wamebanwa ndani ya mzozo wa Rusisia na Ukraine na hali kwenye baadhi ya miji inakuwa mbaya.
Tiss walipaswa kujua hii hali mapema na kuwahamisha watz wote waliopo huko Ukraine.
Hii ndio kazi mojawapo ya Tiss ni kuhakijisha raia waliopo nje wanarudi nchini safe kabla ya majanga hayajatokea.
Hii ni failure to them.
Akili huna wewe umpeleke mwanao Ukraine kwa pesa zako za kifisadi mfano, yakimkuta unataka TISS wamrudishe hivi akili.kichwani wewe zimo?Huku mtaani naskia skia wanasema ipo kisiasa, kufuatilia wapinzani tu... , sa sijui kuna ukweli
Ujinga huo acha ujipeleke wewe halafu Serikali iwe accountable mjinga weweTISS Chief of Station pale Kyiv ni nani tumuwajibishe?
Ujuaji umetoka wapi we makalio? Mbona waNigeria waliletwa na ndege ya kukodi mpaka home?Msijitie wajuaji sana. Nchi ngapi zili evacuate raia wake kabla ya bomu la kwanza kutua ukraine? Hao wote hawakupata taarifa?
Idara iliyojigeuza kuwa tawi la CCM na Kujipa Jukumu la kufuatilia Nyendo za CDM tu Mambo hayo watajulia wapi ?Nasikia kuna watanzania kibao wamebanwa ndani ya mzozo wa Rusisia na Ukraine na hali kwenye baadhi ya miji inakuwa mbaya.
Tiss walipaswa kujua hii hali mapema na kuwahamisha watz wote waliopo huko Ukraine.
Hii ndio kazi mojawapo ya Tiss ni kuhakijisha raia waliopo nje wanarudi nchini safe kabla ya majanga hayajatokea.
Hii ni failure to them.
Akili huna wewe umpeleke mwanao Ukraine kwa pesa zako za kifisadi mfano, yakimkuta unataka TISS wamrudishe hivi akili.kichwani wewe zimo?
Unatakiwa kuwa mpole sio kufoka
Wamejaa viwavi wa kijani sioTISS imejaa CCM tupu
Huoni aibu kupost upuuzi?Akili huna wewe umpeleke mwanao Ukraine kwa pesa zako za kifisadi mfano, yakimkuta unataka TISS wamrudishe hivi akili.kichwani wewe zimo?
Unatakiwa kuwa mpole sio kufoka
Ila warussia sio magaidi magaidi ni viwavi wa kijani, na mabeberu was ulaya na Amerika🤪Idara iliyojigeuza kuwa tawi la CCM na Kujipa Jukumu la kufuatilia Nyendo za CDM tu Mambo hayo watajulia wapi ?
Ghana wao waliwatoa watu wao Mapema kabisa kabla Putin Haja deploy Magaidi wake Ukraine
Siyo swala la mamlaka watanzania walioko nje mfano Ukraine wana michango gani TRA hadi pesa za ndani ya nchi za walipa kodi wa ndani zitumike kuwarudisha? Ninachojua wengi wanapunguza tu akiba ya fedha zetu za kigeni kwenda kusoma kazi ambazo hata hapa nchini zipo wanajua mbadala ya kufaidisha mzumbe university su IFM wanaenda kusoma vidigrii hivyo hivyo Ukraine kwa kuwalipa dola zetu mfano mzuri ni.mtoto wa Monalisa kaenda kusoma degree ya accounting and auditing ambazo.zipo Tanzania anatumia pesa zetu za kigeni kulipa ukraineSidhani Kama wana hayo mamlaka tusiwalaumu sana ukute hawana hayo mamlaka.. wenye ujuzi leteni vipengele vya kazi za tiss.
Boss nchi nyingi sana zilitoa taarifa kupitia balozi zao kuwahimiza wananchi wao waliopo ukraine wajihadhari na ikibidi waondoke. Sisi hapa mpaka ukraine anapigwa for the first time mamlaka ziliendelea kujisifu kuwa wananchi wetu waliopo ukraine wapo salama.Msijitie wajuaji sana. Nchi ngapi zili evacuate raia wake kabla ya bomu la kwanza kutua ukraine? Hao wote hawakupata taarifa?
Sina takwimu.Siyo swala la mamlaka watanzania walioko nje mfano Ukraine wana michango gani TRA hadi pesa za ndani ya nchi za walipa kodi wa ndani zitumike kuwarudisha? Ninachojua wengi wanapunguza tu akina ya fedha zetu za kigeni kwenda kusoma kazi ambazo hata hapa nchini zipo wanajua mbadala ya kufaidisha mzumbe university su IFM wanaenda kusoma vidigrii hivyo hivyo Ukraine kwa kuwalipa dola zetu mfano mzuri ni.mtoto wa Monalisa kaenda kusoma degree ya accounting and auditing ambazo.zipo Tanzania anatumia peas zetu za kigenikulipa ukraine
Mchango wa hao wa nje TRA ukoje? Naomba takwimu.
Viwavi imekuwaje mnapigana, majira ya kiangazi au⛹️Huoni aibu kupost upuuzi?
Hata Nigeria waliondoa watu mapema.Idara iliyojigeuza kuwa tawi la CCM na Kujipa Jukumu la kufuatilia Nyendo za CDM tu Mambo hayo watajulia wapi ?
Ghana wao waliwatoa watu wao Mapema kabisa kabla Putin Haja deploy Magaidi wake Ukraine
Kuwa na adabu we pimbi.Viwavi imekuwaje mnapigana, majira ya kiangazi au⛹️
Hujui wajibu wa serikal kwa raia wakeAkili huna wewe umpeleke mwanao Ukraine kwa pesa zako za kifisadi mfano, yakimkuta unataka TISS wamrudishe hivi akili.kichwani wewe zimo?
Unatakiwa kuwa mpole sio kufoka