Serikali yaunda timu ya wataalamu kupitia upya sakata la Tozo. Yasema zitarekebishwa ila hazitaondoka

Serikali yaunda timu ya wataalamu kupitia upya sakata la Tozo. Yasema zitarekebishwa ila hazitaondoka

Hivi bila tume maamuzi ya maana huwa hayawezi kuchukuliwa? Yaani hatuwezi kutatua matatizo yetu mpaka tume ziundwe? Na cha ajabu sijawahi ona tume iliyoleta jambo la maana likafanikiwa
Mao wa China alitahadharisha, "No research no right to speak".
 
Tuwajue hao kwenye tume. Au ni siri? Huenda tume ipo kichwani mwake.
 
Mambo ya tume yanarudishwa tena ili wagawane keki.

Tume ya MKANDALA imemaliza kazi?
 
Boya wewe. Si ndo ulikuwa unasema waongeze ili kuijenga nchi, sasa unatuletea maelekezo ya CCM ili iweje? Mnaendeshwa na mihemko ya wanasiasa sana! Linaloanzishwa na Serikali kwa kuwa unaipenda baai unaona ni jema sana, ikija tofauti baadae na wewe unahamia huko huko.
Bora umemwambia. Siku hizi amejiunga na jopo la Mazuzu wa JF na yeye amekuwa wa ovyooo!! Anaunga mkono Mambo yanayoumiza Wananchi Kwa faida ya Watawala.
 
The sunk, umekua mpumbavu mmoja we siulisema tozo kwa maendeleo leo tena unageuka hivi, ninamashaka na unanaume wako hata mtoto wako angeona upumbavu wako unaouandika angesikitika
 
Hii ndio taarifa ya motomoto..

=======

Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.

Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu


=======

Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.

Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.

“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.

The experts are looking at the best way of collecting the revenue.

Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.

SOURCE: The Citizen
Si majuzi tu hapa alikuwa anadai yeye ni Mchumi daraja la kwanza tena PhD ..... sasa hayo hakuyaona mapema wakati wanatunga hiyo sheria wakawaomba wataalamu wawasaidie.....!!
 
HV wazir e wa fedha nae anakuwa ziarani ?? Kweli kufanya nn yaani

Alfu njemba zima ziko huko tarimee kwanii asifutwe chemba fln nakos mbili tatu aondoaka chapu Mara moja arejeshwe ddm na kaputula tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
The sunk, umekua mpumbavu mmoja we siulisema tozo kwa maendeleo leo tena unageuka hivi, ninamashaka na unanaume wako hata mtoto wako angeona upumbavu wako unaouandika angesikitika
We fala mkubwa,mimi ndio nimegeuka au Mwigulu?

Sasa kama kamati za kihuni ndio zinaagiza tozo kuondolewa harafu hazisemi njia mbadala ya kuleta mapato then unategemea nini?

Si Ili sie wa Vijijini tuendelee kufanywa Mazao ya kunenepesha nyie nguruwe wa mjini?
 
Serikali ikitaka kudhulumu raia wake ndo zao hizo, kwa mfano wanataka kuweka tozo ya 3000, wao wataweka 6000, baadae watasema timu ya wataalamu imekaa wamepunguza mpk 3000, raia wajinga watafurahia.
End of the game wao wamefanikiwa
 
Hii ndio taarifa ya motomoto..

=======

Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.

Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu


=======

Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.

Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.

“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.

The experts are looking at the best way of collecting the revenue.

Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.

SOURCE: The Citizen
Kwa hiyo hata wananchi wangelia na kusaga meno waaingesikilizwa hafi CCM iseme?

Clear indicator kuwa n hi hii si mali ya wananchi na hizi chaguzi ni formalities tu.
 
Back
Top Bottom