Serikali yaunda timu ya wataalamu kupitia upya sakata la Tozo. Yasema zitarekebishwa ila hazitaondoka

Serikali yaunda timu ya wataalamu kupitia upya sakata la Tozo. Yasema zitarekebishwa ila hazitaondoka

Hii ndio taarifa ya motomoto..

=======

Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.

Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu


=======

Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.

Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.

“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.

The experts are looking at the best way of collecting the revenue.

Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.

SOURCE: The Citizen
Hongera sanaa Mchumi Dkt Mwigulu Nchemba
 
Hii ndio taarifa ya motomoto..

=======

Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.

Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu


=======

Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.

Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.

“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.

The experts are looking at the best way of collecting the revenue.

Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.

SOURCE: The Citizen
Mikutano ya hadhara ni Kwa CCM pekee au na vyama vingine!?
 
😂😂 Nimecheka vibaya sana, yaani usingepanick ningeshangaa sana, utapanick sana mzee. Ni hivi, huwa mkitaka kudanganya wale mifugo mnaowabeba kwenye malori, huwa mnasema nyie ndio mnalinda raslimali za nchi hii, na wapinzani wanataka kushika madaraka ili wagawe raslimali zetu kwa wazungu. Sasa wadhibitishieni wananchi faida ya hizo raslimali badala ya kuwatoza matozo ya wizi.
Endelea kucheka utavuna manyoya na ulalamishi..

Sasa kama mnaita watu mifugo nyie mtakuwa mnahutubia mbuzi na miti au?
 
Kwa hiyo ameheshimu matakwa ya Chama na siyo Malalamiko toka kwa Wananchi???
 
Endelea kucheka utavuna manyoya na ulalamishi..

Sasa kama mnaita watu mifugo nyie mtakuwa mnahutubia mbuzi na miti au?

Sisi hatuleti watu kwa malori, kwetu watu wanakuja kwa ridhaa yao na sio kwa vitisho vya dola.
 
Mama tozo rudisha machinga barabarani utaua watoto hali tete mtaani.
 
Kwa hiyo ameheshimu matakwa ya Chama na siyo Malalamiko toka kwa Wananchi???

Wanajifichia tu kwenye maagizo ya chama, lakini ukweli ni kuwa tozo imegeuka ni zoezi la hasara. Sasa inabidi waje na gia ya kufuata maagizo ya chama.
 
Hii ndio taarifa ya motomoto..

=======

Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.

Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu


=======

Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.

Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.

“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.

The experts are looking at the best way of collecting the revenue.

Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.

SOURCE: The Citizen
Tume ikachunguze nini na simply iondolewe tu, wananchi hawajashauriwa kukatwa tozo serikali kuna vyanzo kibao kupata mapato sio kuonea maskini

Kodi walipe wenye mabiashara mtu ambaye hana ajira vipi analipishws matozo ya ajab ajab
 
Hii ndio taarifa ya motomoto..

=======

Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.

Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu


=======

Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.

Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.

“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.

The experts are looking at the best way of collecting the revenue.

Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.

SOURCE: The Citizen

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir.
 
hahahaha, fix before failure dont do it after failure.

Kabla ya kuweka hizo tozo kwanini wasingeunda hilo group la experts kuona madhara na faida ya tozo then wafanye simulation ya mawazo waone how it works.
Hao experts bila shaka wangeshauri vizuri nini serikali ifanye kujiongezea mapato au namna nzuri ya kuintroduce hizo tozo.

Madhara ya watu waliojaa theory kichwani na kukosa exposure ni makubwa kuliko tunavyofikiiria.
 
Kuna mushkeli kwenye namna tunavyotawalana. Sheria ya tozo imepitishwa na wawakilishi wa wananchi, viwango na kanuni vikawekwa na wizara, vikaanza kutumika wananchi wakasema hapana, wakaambiwa wao wenyewe ndio walioshauri, wasiotaka wahamie Burundi, wizara na wakuu wa mikoa wakaja pamoja kuonyesha umuhimu wa tozo na faida zilizokwoshapatikana na zijazo, wananchi waliosema hapana hawakunyamaza, chama kikaingilia wakaitaka serikali ifanye namna, ndio ikaundwa tume ya wataalamu.

Wananchi wamesema hapana hawa wataalamu kazi yao nini? Wakisema tozo ziendelee ndio wananchi wataridhia?
 
Kupoteza muda na rasilimali za fedha za TAIFA kwanini haikuundwa tume awali kuona kama hizo tozo zitakua na tija? Mnaunda tume sijui timu saizi what for ? hivi hamna viongozi wengine wapewe io wizara
 
Tatizo alisababishe yeye alafu anakuja kutuzuga na timu za kuchunguza namna ya kutatua ushubwada mtupu. Typical politician shenanigans.
 
Back
Top Bottom