Sex is Gateway to your soul kuwa makini

Mhhh kweli hoja hupingwa kwa hoja big up
Ukipata wasaa elezea na BAO LA USINGIZINI kwa hao Taoist & Daoistm linamaanisha nini?
 
Ukipiga punyeto unakuwa na hisia na mikono na mafuta au sabuni??
Kuna Wanaosema esp walokole kuwa unakuwa na connection na roho chafu, majini, vibwengo, vinyamkera, wachawi kwa kuwa umewafungulia mlango kupitia kujichua.
 
kibongo bongo tuna huduma ya hicho kipimo ?
 
Kuna Wanaosema esp walokole kuwa unakuwa na connection na roho chafu, majini, vibwengo, vinyamkera, wachawi kwa kuwa umewafungulia mlango kupitia kujichua.
Na BAO LA USINGIZI unakua umefungua geti la nani Malaika Gabriel?
 
Vp kuhusu wale wanaofanya sex na wanyama kama mbuzi,mbwa
wao wanakuwaje ,wana kuwa mwili mmoja pia na roho?
 
sex ni sanaa, na matokeo yanatokana tu na usanii wako[hili lizingatiwe] na pia mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote ule wa kisayansi unaoelezea madhara ya nyeto(sio muhimu sana) mwisho ukifanya sex kuwa makini{kitazame unachokifanya} tu kwa mda na wakati huo, inatosha.
 
Doctor!!Vipi ile hali unaona mwanamke akili inakwambia huyu ipo siku utamto..mba tu.Inapita hata miaka unashangaa kuna kitu kinawaunganisha unamkula tu kimasihara.Hii ni nini?
Hilo ni pepo la Sumaku na ukiona mwanamke anakuchukia jua kinyume chake ukiona mwanamke anakupenda jua kinyume chake, elewa concept, nature & scope ya nilichosema
 
Ngono ni geti hasa la Maisha ya Mwanadamu....ngono huvuta roho (mbaya) fulani fulani ikiwa unafanya na mtu asiye mwanandoa mwenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…