SGR Mchakato wa Nauli ndiyo huu hapa, mtoto hadi Moro kulipa Tshs 12,400

Za ndege zinapanda na madeni maradufu, kweli gharama za tren ndo ziwe nafuu kwa uendeshaji?
 
Sielewi hayo madarasa uchumi na tatu wanamaanisha nini
 
Kwa garama izi wabinafsishe tu maana hawajielewi
Kwa akili za wale matapeli wanaojiita manabii, "nazoom naona wafanyabiashara wa mabasi, nawaona wameweka msisitizo nauli ya treni iwe juu kuliko mabasi"

"... kisha mbele kidogo naona mzigo kwa serikali kuendesha mradi huu utakuwa mkubwa na garama zitakuwa kubwa, hivyo naona CAG akitoa taarifa za hasara kupitia SGR, ndipo roho mchafu anayetawala sasa anasema mradi ubinafsishwe haraka sana kwa mwerarbeu"
 
Tafuta hela uache makasiriko, masikini hawana chao cha haraka
Haya ndo yanasababisha hata viongozi wanaopewa dhamana kula pesa na kuacha wananchi wanahangaika kwa vitu vidogo ambavyo serikali ilitakiwa iwatimizie kama hizi social service, inamaana huoni kuna haja ya mwananchi kuounguziwa gharama za usafiri? Unaona ni haki kabisa
 
Huyo mwerarbeu ndio maarab ama sijakupata?
 
Ingekuwa watu wangekuwa na mawazo kama wewe kusingekuwa na ndege wala wapanda ndege
Kungekuwa na garama reasonable fare ya ndege kama fast jet sidhani kama ndege ingeondoka to Mwanza na abilia 40 au kuhairishwa au kubadilishwa kwa safari.

Kuna mabasi kwenda mwanza nauli 55,000 na lingine 120,000/- na watu wanalipa unajua kwa nini?.
 
Serikal imetumia trillion za pesa afu watu mnaraumu kulipa nauli ndogo iyo
Iv wabongo tuna upungufu wa akili sometime kwaiyo mlitaka mpande bure au mlitaka waweke nauli za mabasi ya mwendo kasi kwenye treni ya umeme

Tufikie hatua wabongo tuache kulalamika sana km nauli ya treni bei kubwa si unapanda tu basi mbona iyo njia ina mabasi meng tu

ATCL wana bei kubwa kuzid precisio Air na hujawai kusikia watumiaji wa ndege wanalalamika
Nauli za daladala mlalamike nauli za mabasi mlalamike nauli ya treni nayo mnalalamika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…