Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wazi kwamba serikali yetu inaendeshwa na wendawazimu hayajielewi kwa kila yanachofanyaEleweni nyie wapumbavu treni ya abiria siku zote huwa hailipi huwa wanatoa huduma,wanajilipa kwenye tren ya mizigo na ndio lengo la ujenzi wa reli.
Kwa bei hizi, hata bwawa la Nyerere likizalisha umeme na ziada bei za unit itakuwa hizi hizi tu Wala hazitashuka. Hili taifa shida sanaSi walisema walitumia umeme wa laki tatu tu Dar-Moro! Bei hizo zinatoka wapi? Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kwa usafiri wa Treni kuwa ghali kuliko wa basi.
Kwa akili za wale matapeli wanaojiita manabii, "nazoom naona wafanyabiashara wa mabasi, nawaonw wameweka msisitizo nauli ya treni iwe juu kuliko mabasi"
"... kisha mbele kidogo naona mzigo kwa serikali kuendesha mradi huu utakuwa mkubwa na garama zitakuwa kubwa, hivyo naona CAG akitoa taarifa za hasara kupitia SGR, ndipo roho mchafu anayetawala sasa anasema mradi ubinafsishwe haraka sana kwa mwerarbeu"mbona walisha Sema kuwa mradi ni hasara? Kwaiyo anataka kujastifai tuuu
Mkuu wanasema "......Kusikia kwa Kenge ni mpaka damu imtoke masikioni" viongozi wetu wengi ni kama Mdudu KengeTulionya huko nyuma wakikosea kidogo tu "could be white elephant project" ila ndiyo inaenda kuwa.
Hii Nchi viongozi wanafanya mambo ambayo hata Shetani hawezi wafanyia malaika zake !Watu wenye akili walileta Fastjet Dar Mwanza return ticket 120,000/= wapuuzi wakaja kuhujumu na kuwafukuza.
Wewe ukiwa kinara wa ujingaTatizo kubwa la Watanzania ni ujinga
Waarabu ni wajomba zake mama FaizaFoxyMi naona kuliko tuwape waarabu si Bora tuwape hata Chinese
Dar Zenj tu hapo, tena umbali chini ya maili 40, nauli ni kati ya 30k hadi 100k, kwanini tunaona shida 20k kwa Morogoro kama safari itachukua saa 1.30 kweli?Wamewaletea usafiri wa haraka watu wasio na haraka🤣🤣😂
Labda waweke chakula na vinywaji iwe bure na ukitaka kubeba beba unaposhuka.
Lakini wasiweke pombe tuu,maana eeeh
Ni kama pale Likoni, Mombasa.Watu wanapita bure wao wanatoza pesa magari tu.Eleweni nyie wapumbavu treni ya abiria siku zote huwa hailipi huwa wanatoa huduma,wanajilipa kwenye tren ya mizigo na ndio lengo la ujenzi wa reli.
Panda LoriKama hauna haraka
Daah😩Tutafute kampuni kutoka Dubai ije isimamie huu mradi. Mbali na uzembe, ushirikina, ufisadi na ngono, sisi hatuwezi kitu ndugu zangu. Sad!
Tatizo ni kwamba sisi wengi hatuna kazi maalumu zinazoenda na muda.Dar Zenj tu hapo, tena umbali chini ya maili 40, nauli ni kati ya 30k hadi 100k, kwanini tunaona shida 20k kwa Morogoro kama safari itachukua saa 1.30 kweli?
Na bahati mbaya hakuna mwenye uchungu na nchi kila mmoja anaamua kuchukua chake mapema, wajao waje warekebishe mapufungu watakayo yaona huko.Serikali ikiendeshwa na wafanyabiashara neno HUDUMA huwa ni uhaini
Tutaendelea kupanda mabasi maana ndivyo TRC wanavyotaka. Nchi imejaa wapumbavu wengi kwenye nafasi za maamuzi
Ulitaka wakuchukulie na wewe?Na bahati mbaya hakuna mwenye uchungu na nchi kila mmoja anaamua kuchukua chake mapema, wajao waje warekebishe mapufungu watakayo yaona huko.
Unasahau gharama zilizotumika zinatakiwa lipwaKiuhalisia katika kufanya majaribio, wameweza kufunga mabehewa 14 yenye uwezo wa kubeba abiria 957. Sasa kama nauli ikiwa ni 10,000/ maana yake ni Tshs 9,570,000/ kwa safari moja. Na nilimsikia mkurugenzi mkuu akisema gharama ya umeme walitumia Tshs 360,000/ kwenda na kurudi Moro. Kama treni ikiweza kufanya safari kumi kwa siku, hii ni kama 9,570,000/ mara 10 ambayo ni 95,700,000/ kwa siku. Mbona watapata fedha nyingi!?
Lazima nauli iwe juu ili wawez kuendelea na mabas yao mshindwe kupanda hizo treniTulionya huko nyuma wakikosea kidogo tu "could be white elephant project" ila ndiyo inaenda kuwa.