Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Wewe ni mwehu. Nimekuuliza ulitaka ateuliwe nani ukaniambia kuna watu million 60.Naona unazunguka mbuyu. Shoga, mla rushwa ambaye yupo kwenye record hatummtaki. Mtu ambaye alisimimishwa kwa tuhuma nzito.
Unatetea ujinga na upumbavu, sisi wazalendo tunataka aanze vizuri , aendelee kuaminika na kuaminiwa na Watanzania wote. Teuzi hii haisaidii.
Nimeeleweka? Ukiwa na akili timamu utaelewa otherwise, tembea.
Na mi naskia ni PISHORI ya BASMATHuyo Jamaa nasikia ni "BOFLO".
kwa tabia hizi ndio maana chuma aliamua kuwapeleka mwendo wa mateka.Unataka nchi ya mazoba kila kitu hewala?
Mihemuko ipi?Kwa mihemko sawa.
Ameteuliwa kwa uwezo wake, ameshika nafasi kadha wa kadha katika chama hivyo wana imani naye, mambo ya kusema ataumiza makundi ndani ya chama hizo ni ramli chonganishi ulizoamua kwa hiari yako kuziamini, sio kosa letuMku uwenezi ni sio ngonjera kumbuka alikopitia na historia ndiyo inampa mtu udhabiti wa kusimamia watu .Hizi sio zama za mihemko bali ni zama za hoja ambazo zitakijenga chama.
Labda uniambie ameteuliwa kwa ajili ya kuja kuyaumiza makundi yaluyopo ambayo hana uwezo wa kuyakomesha hayo makundi zaidi watakiumiza chama na wanachama wanaojua siasa ambao watakaa pembeni na kuangalia mtifuano wa makundi
Thibitisha ?Ni boflo
Saaafi kabisa sasa aachwe Shaka apige kazi mambo ya shutuma za Rushwa ni kelele za makasukuAlikotoka pia walimtukana sana ila saivi wanamuita mzee Lowasa
Hii thread ina uhusiana vip na mambo ya ushoga?Nitashangaa kusikia tena zile kauli za kejeli za kuhusu Ushoga, nitashangaa sana nadhani CCM wameonyesha kwa vitendo
Kwa Genius tu ndio watakua wamenielewe, sio lazima kila mtu aelewe kila kituHii thread ina uhusiana vip na mambo ya ushoga?
Ni yeyeNdio huyu walisema ni Nanihiii ya watu??
Ugenius mnapeana tu kama pipi, baasi sawaKwa Genius tu ndio watakua wamenielewe, sio lazima kila mtu aelewe kila kitu
Kama zile kura za CCM! Pole Mpwa all is well.Ugenius mnapeana tu kama pipi, baasi sawa
Magufuli alishakufa , maisha ni kwa walio kuwa hai, halafu nani kakwambia Magufuli alikuwa sahihi kwenye kila jambo? wacha mama achague safu yake hakuna cha dharau wala niniUteuzi wa Shaka ni dharau kubwa sana kwa Magufuli,labda ni Kwa vile ni zamu yetu Wazanzibari.View attachment 1771025
Kushinda uchaguzi sio jambo la kukaa na kujisifu vijiweni, ushindi unataka mikakati na Roho ngumu, kinyume cha hapo endelea na shughuliii nyingineKama zile kura za CCM! Pole Mpwa all is well.
Acha unafiki habari Haina hata nyamaHapa Mwenyekiti Samia amekwenda mchomo na ni vizuri akambadilisha haraka sana.
Ataivuruga CCM kwani jamaa hamna kitu zaidi ya kuwa mtu wa mipasho na ufedhuli. Chama Chetu atakiua kama alivyokiua Zanzibar.
Na akimaliza miti hukuja mwilini.
kama kawaida yetu, tumejaaliwa majungu na fitina.
sijui hizi tabia za kufitiniana na majungu zitakwisha ln. tabia mbaya sana hizi, nazichukia sana!
viongozi kemeeni tabia hhi