Shaka Hamdu Shaka ni janga ndani ya CCM

Shaka Hamdu Shaka ni janga ndani ya CCM

Naona unazunguka mbuyu. Shoga, mla rushwa ambaye yupo kwenye record hatummtaki. Mtu ambaye alisimimishwa kwa tuhuma nzito.

Unatetea ujinga na upumbavu, sisi wazalendo tunataka aanze vizuri , aendelee kuaminika na kuaminiwa na Watanzania wote. Teuzi hii haisaidii.

Nimeeleweka? Ukiwa na akili timamu utaelewa otherwise, tembea.
Wewe ni mwehu. Nimekuuliza ulitaka ateuliwe nani ukaniambia kuna watu million 60.

Nakaona hili jamaa vipi?? Million 60 watu watateuliwaje?? Nakuuliza tena unaniletea story za uzalendo.

Sema ulitaka ateuliwe nani?? Msukuma mwenzenu??
 
Unataka nchi ya mazoba kila kitu hewala?
kwa tabia hizi ndio maana chuma aliamua kuwapeleka mwendo wa mateka.
hakukosea kabisa, alijua fika nchi hii kila mtu anajifanya mjuaji hivyo ukiwasikiliza hutofikia malengo, bora kuweka pamba masikioni.
Mbona tulisha zoea mwendo wa mateka na tulisha fika mbali tu ila sasa kuna watu wanataka turudi nyuma, kamwe Mama usikubali.
 
Mku uwenezi ni sio ngonjera kumbuka alikopitia na historia ndiyo inampa mtu udhabiti wa kusimamia watu .Hizi sio zama za mihemko bali ni zama za hoja ambazo zitakijenga chama.
Labda uniambie ameteuliwa kwa ajili ya kuja kuyaumiza makundi yaluyopo ambayo hana uwezo wa kuyakomesha hayo makundi zaidi watakiumiza chama na wanachama wanaojua siasa ambao watakaa pembeni na kuangalia mtifuano wa makundi
Ameteuliwa kwa uwezo wake, ameshika nafasi kadha wa kadha katika chama hivyo wana imani naye, mambo ya kusema ataumiza makundi ndani ya chama hizo ni ramli chonganishi ulizoamua kwa hiari yako kuziamini, sio kosa letu
 
Uteuzi wa Shaka ni dharau kubwa sana kwa Magufuli,labda ni Kwa vile ni zamu yetu Wazanzibari.
 
Vijana tafuteni HELA.....Acheni upuuuzi kujadili ya watu wakati hata sent hupat
 
Hapa Mwenyekiti Samia amekwenda mchomo na ni vizuri akambadilisha haraka sana.

Ataivuruga CCM kwani jamaa hamna kitu zaidi ya kuwa mtu wa mipasho na ufedhuli. Chama Chetu atakiua kama alivyokiua Zanzibar.

Na akimaliza miti hukuja mwilini.
Acha unafiki habari Haina hata nyama
 
Kwanini watu wakijadili mapungufu ya mtu mnaita majungu? Magu alituambia amemsimisha kazi Shaka kwa rushwa Sasa vp tena kateuliwa.
kama kawaida yetu, tumejaaliwa majungu na fitina.

sijui hizi tabia za kufitiniana na majungu zitakwisha ln. tabia mbaya sana hizi, nazichukia sana!

viongozi kemeeni tabia hhi
 
Back
Top Bottom