Shaka Hamdu Shaka: Tumepunguza ada ya usajili wa "Online TV" kwa 95% kutoka TZS 1M hadi shilingi Elfu 50

Afungue na kale ka tv ka shule ya uongozi ili nako kamkosoepo.
 
Heeee 😳😳 wazalendo wa kwel c ni wale jamaa wa awamu ya gwara mkuu?
😍Hakika huyu Mama anauzalendo mkubwa ndani yake,

Anajua shida za watoto wa Masikini,

Anajua shida ya Ajira duniani,
 
Madogo tafuteni PESA haya mapambio mnayotoa ni aibu mnajidhalilisha tafuteni kazi hizi sio kazi kabisa
Kama wale wa awamu ya gwara πŸ˜‚ ilikua ni mapambio ucku kucha! Mtu kanusurika ajali anapewa sifa Rais πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Safi sana Rais Samia,

Hapa Mzee Kubenea anatakiwa amshukuru sana huyu mama na magazeti yake ya Mwanahalisi,Mawio,

Kazi iendelee, tuko vizuri Sana Tanzania,
Nailed 😍😍😍
 
Bravo! πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…