Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kuanzia leo wewe ni DASYes tunasubiri πππ
Kwenye laana?Karibu CCM naona unateseka sana, ππ
Duuuh, laana tenaKwenye laana?
Ndiyo maankeDuuuh, laana tena
πππkutoka Malawi au??!!Afungue na kale ka tv ka shule ya uongozi ili nako kamkosoepo.
πHakika huyu Mama anauzalendo mkubwa ndani yake,
Anajua shida za watoto wa Masikini,
Anajua shida ya Ajira duniani,
Kama wale wa awamu ya gwara π ilikua ni mapambio ucku kucha! Mtu kanusurika ajali anapewa sifa Rais ππππMadogo tafuteni PESA haya mapambio mnayotoa ni aibu mnajidhalilisha tafuteni kazi hizi sio kazi kabisa
Wapo pia awamu hii, Nchi hii ni yetu soteHeeee π³π³ wazalendo wa kwel c ni wale jamaa wa awamu ya gwara mkuu?
Wanasubiri teuzi hakuna kingine
Nchi imejaa watu wajinga snKama wale wa awamu ya tano, yaan ww sifia hata ujinga, sifia mtu katekwa, sifia mtu kauawa, mpe sifa Rais pindi ukinusurika na ajali. Asubuh na mapema au ucku huohuo unapata teuzi!!!
Ukiwemo na wewe na bwana Mbowe,Nchi imejaa watu wajinga sn
Ni wewe mkuuUkiwemo na wewe na bwana Mbowe,
Kbs na huu upuuz uliasisiwa awamu iliyopita!!Nchi imejaa watu wajinga sn
Ila hili neno uzalendo lilitumika vby awamu iliyopita!!Wapo pia awamu hii, Nchi hii ni yetu sote
Huenda ukawa sahihiIla hili neno uzalendo lilitumika vby awamu iliyopita!!
Nailed πππSafi sana Rais Samia,
Hapa Mzee Kubenea anatakiwa amshukuru sana huyu mama na magazeti yake ya Mwanahalisi,Mawio,
Kazi iendelee, tuko vizuri Sana Tanzania,
πͺπͺπͺπͺPiga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa. Zaidi ya miaka 6 tulikwama
Bravo! ππView attachment 2193882
Observations ,
Ukiondoa mfumuko wa Bei Tanzania,
Rais Samia Suluhu anafanya vizuri sana karibu katika kila idara,
Kwenye kilimo mama anaupiga mwingi,
Kwenye afya Mama anaupiga mwingi,
Kwenye Utawala wa Sheria mama anaupiga mwingi,
Kwenye Uchumi Mama anaupiga mwingi,
Kwenye diplomasia mama anaupiga mwingi,
Kimataifa mama anaupiga mwingi,
Yaani mama anaupiga, anaupiga anaupiga mwingi kwelikweli,
Endelea.....