Shaka Hamdu Shaka: Tumepunguza ada ya usajili wa "Online TV" kwa 95% kutoka TZS 1M hadi shilingi Elfu 50

Kusaidia vijana Taratibu za Passport zirahisishwe pia

Nigeria wanigeria walio nje kuchacharika 2021 walipeleka nchini kwao dola za marekani bilioni 14

Wachina Diaspora 2021 walipeleka pesa China dola bilioni 131


Wao nchi zao hu encourage sana watu wao kutoka nje ya Nigeria na China kusaka maisha
 
Mkuu hujawahi kuniangusha πŸ™πŸ™πŸ™
 
Hapana Mkuu,, hakuna ubaya wowote kwa kilichofanyika....

Nilichosema ni kwamba aliyeweka watu walipe Millioni Moja,, ndio leo aliyetoa na kubaki Elfu hamsini..

Nani wa kusifiwa hapo na ni nani wa kumchukia..???
Shukuru sana mkuu wangu
 
ccm imekuwa TCRA? mnatafuta kodi kwa fujo[emoji1787][emoji1787]
Ilani yao ndio inatekelezwa.... waliahidi kujenga mazingira rafiki na wezeshi kwa ustawi wa tehama ili iajiri watu wengi zaidi ndicho kilichotokea....sasa unawaondoleaje pongezi...ikiwa wameahidi na kutekeleza!!!
 
Ilani yao ndio inatekelezwa.... waliahidi kujenga mazingira rafiki na wezeshi kwa ustawi wa tehama ili iajiri watu wengi zaidi ndicho kilichotokea....sasa unawaondoleaje pongezi...ikiwa wameahidi na kutekeleza!!!
mkuu umemaliza kila kitu hapa πŸ™πŸ™πŸ™
 
Ilani yao ndio inatekelezwa.... waliahidi kujenga mazingira rafiki na wezeshi kwa ustawi wa tehama ili iajiri watu wengi zaidi ndicho kilichotokea....sasa unawaondoleaje pongezi...ikiwa wameahidi na kutekeleza!!!
Kundi la vijana ndio wengi sana tehama ni sehemu mojawapo ya wao kutoka .
Kuomba leseni kurahisishwe zaidi mtu aombe online hata awe kijijini huko aombe alipie Tigo pesa,airtel money nk bila kunyanyuka kwenda ofisi yeyote
 
Kundi la vijana ndio wengi sana tehama ni sehemu mojawapo ya wao kutoka .
Kuomba leseni kurahisishwe zaidi mtu aombe online hata awe kijijini huko aombe alipie Tigo pesa,airtel money nk bila kunyanyuka kwenda ofisi yeyote

Nakuelewa zaidi mkuu wangu, Uko sahihi 100%
 
Safi sana Rais Samia,

Hapa Mzee Kubenea anatakiwa amshukuru sana huyu mama na magazeti yake ya Mwanahalisi,Mawio,

Kazi iendelee, tuko vizuri Sana Tanzania,
Kubenea meno yote 32 nje πŸ˜€πŸ˜€
 
Great πŸ’ͺπŸ’ͺ
 
Hapana Mkuu,, hakuna ubaya wowote kwa kilichofanyika....

Nilichosema ni kwamba aliyeweka watu walipe Millioni Moja,, ndio leo aliyetoa na kubaki Elfu hamsini..

Nani wa kusifiwa hapo na ni nani wa kumchukia..???
Ndio, Kazi iendelee,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…