Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM

kivip, au wew ni kati ya watu uliedhulumu watu. haiwezekani watu wapate haki zao kupitia hiki kipindi alafu wew hutaki

Katika Uongozi wa Dk. Magufuli kipindi hiki cha kutatuwa kero za raia live kwa kupitia kipindi cha TV/Radio kilicho kuwa kinaongozwa na Mzalendo Polepole kipindi hiki kilikuwa na umuhimu sana kwa ustawi wa Taifa letu, ni viongozi wachache wange endeleza tabia zao za kupuuzia kutatuwa matatizo ya raia au kujingiza kwenye tabia ya kuwaonea raia bila sababu.

Tuwe wakweli hapa - kipindi hiki Polepole alikuwa anakiweza sana na alikuwa mfatiliaji mahili - who ever advised our President to replace Polepole amekosea sana, sioni aibu kulisema hilo - je, kuna baadhi ya viongozi wetu kwenye mashirika ya umma na Serikalini hawataki Kufatiliwa kwa karibu LIVE/TV kwa kupitia vyombo vya chama tawala?

Binafsi, sioni mantiki ya muzzle avenue hii ambayo ilikuwa kimbilio la kweli kwa watu WANYONGE - hakuna mbadala tusije tukajidanganya hapa, imenisikitisha sana sana.
 
you so stu-pid and lazy. hii ni point nayo unaongea. sasa kuna tatizo gani kama anatatua matatizo ya wananchi. ndio maana wakenya wanasema tuna kila kitu lakin hatuwapiti kwa maendeleo, kwa akili kama yako hatuwezi fika.
Polepole hakuwa mtendaji wa serikali au hilo hujui.
 
Tulisema kuwa huu ndiyo mwisho wa waramba miguu wa jiwe watu wakatubishia ona sasa kina Bashiru na Polepole wanatupiwa virago mchana kweupeeeeee
Siasa Hatari Sana hawa watu ndiyo basi tena
 
MATAGA chapuo yao eti ilikuwa;

KATIBU MKUU: Paul Makonda a.k.a Albert Bashite

KATIBU ITIKADI NA UENEZI: Ole Sabaya

KATIBU WA UCHUMI NA FEDHA: Dotto James (Mtoto wa dada wa Mwendazake)

haa haa haa, but every thing went astray....everything is turned upside down...
 
mbona kama mtoto sio riziki
 
Ml rushwa Kumbe?/CCM wallah ni ile ile
 
Safi kabisa,nimependa chama tawala kimejipanga tena bila kunyoosheana vidole wala kufukuzana kwenye chama,Tanzania bila CCM haiwezekani.
Vyama pinzani wana chakujifunzi kutoka CCM.
 
Ukatibu mkuu na uenezi ni post mbili tofaut hata kimajukumu... Tumpe muda mkuu, amini kuwa hatuwezi kujua kila kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…