Shaka: Rais Samia kuwalipa waliofukuzwa kwa vyeti feki ni ishara ya huruma, upole na upendo kwa Watanzania

Shaka: Rais Samia kuwalipa waliofukuzwa kwa vyeti feki ni ishara ya huruma, upole na upendo kwa Watanzania



Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,

View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063


POINT TO NOTE,

1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?

2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?

3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,

Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,

Jabali,

Nchi haiendeswhi kwa huruma bali inaendeshwa kwa sheria.
 
Magu alikuwa na phd feki. Makonda hana hata cheti
Hawakuwa waajiriwa serikalini walikuwa wanasiasa

Sifa ya mwanasiasa ni awe na elimu ya darasa la saba hizo zingine mbwembwe tu .Awe na digriinhalali au Feki sio muhimu.Mradi amemaliza darasa la saba
Ila ajira Serikalini kuna viwango vya elimu.Usichanganye sifa za mwanasiasa na mwajiriwa
 
Hawakuwa waajiriwa serikalini walikuwa wanasiasa

Sifa ya mwanasiasa ni awe na elimu ya darasa la saba hizo zingine mbwembwe tu .Awe na digriinhalali au Feki sio muhimu.Mradi amemaliza darasa la saba
Ila ajira Serikalini kuna viwango vya elimu.Usichanganye sifa za mwanasiasa na mwajiriwa
Walikuwa wanalipwa na nani
 


Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,

View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063


POINT TO NOTE,

1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?

2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?

3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,

Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,

Jabali,
Pale nchi inapoongozwa kwa huruma za rais na sio matakwa ya wananchi
 
Sasa hapo haki yake ni ipi zaidi ya kufukuzwa Kwa udanganyifu.
Yaani miaka yote alipwe Kwa udanganyifu halafu aje alipwe na fidia badala ya kurudisha zile alizotuibia.

Wewe huoni kuwa Nchi hii inakosa maendeleo Kwa sababu ya watu wengi kuwa na vyeti feki.

Hivi unahabari kuwa hata PhD na Masters nyingi ni za Kununua bila kufanya tafiti na wakipeleka vyeti wanaongezwa mishahara mikubwa Kwa kazi Ile Ile na ujuzi ule ule waliokua nao wenye digrii Moja au wasio hata na digrii.

Kwa Sasa watu maofisini wanashindana kutafuta PhD na Masters sio Kwa ajili ya kuweka utaalam au hata kufanya mapinduzi ya kiutendaji na kiufumbuzi Bali kuongeza mishahara wakitoka jioni wakalale kwenye mabaa na Wanawake mchezo imeisha halafu utasikia wakikuambia nasoma ili nipumzike nile mshahara mkubwa.Yaani badala ya kuongeza kazi na kusaidia jamii mtu anasema anataka apande Cheo na mshahara ili apumzike.

Hivi Kwa mfano Mwalimu wa shule ya Msingi akasoma mpaka akawa na PhD halafu akabaki kufundisha shule ya Msingi atakua na manufaa Gani ?
Tunataka mtu asome kihalali na afanye kazi zaidi na ionekena sio kuwaza mshahara na vyeo Kwa kununua tafiti za watu wengine. Hawezi hata kuzielezea.

Dereva darasa la Saba alitakiwa asome QT kama wangine.Lakini wenzake walipokua wanasoma yeye anampigia simu mtu wa baraza na kumpelekea laki Tano halafu akapewa cheti adhabu yake ni kufukuzwa na kurudisha mshahara au kufungwa.
Huoni JPM aliweka hashima mpaka Baraza hawauzi vyeti na vile vya stationary haviuziki Tena.

Tafuta cheti kafanye kazi Huko kwenye kampuni binafsi lakini sio kazi ya umma inayolipa Kwa Kodi ya watu wote na nafasi zipo Kwa ajili ya wote. Ukidanganya unatupwa nje wanapewa watanzania wengine waaminifu. Wapo wengi.
Hao wenye vyeti halisi mbona still tija ni sifuri
 
Ni ujinga tuuu, kumpa meizi mafao yake, badala ya mwizi kumdai pesa alizochukua km nshahara
 
Kwani hawakulipwa mshahara Kwa udanganyifu wao?
Yaani mtu alipwe mshahara Kwa miaka yote Kwa udanganyifu halafu Tena alipwe na fidia. We are not serious .
Mhalifu hahitaji huruma kamwe labda akiri na kuomba msamaha kuwa walitukosea na walituibia Kodi zao na kuwaacha watu waliostahili.


Walitakiwa warejeshe pesa zote walizolipwa mshahara Kwa utapeli .Wezi wakubwa.

Nileteeni 1000 digit awanyooshe wezi wa nchi hii.
Miaka yote mlipaji hakujua kama hao ni feki?
Mlipwaji hana makosa.
Mlipaji ndiye aliyetengeneza mazingira ya ufeki na ndiye anapaswa kufunguliwa mashitaka
 


Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,

View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063


POINT TO NOTE,

1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?

2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?

3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,

Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,

Jabali,

Hivi huyu dogo ana akili kweli? Yaani mtu hana elimu yeyote na kiraza tu shuleni hata hiyo kazi serikalini alikuwa anafanya tu kwa kubahatisha, analipwa nini sasa badala ya kukamatwa na kuwekwa gerezani? Yaani CCM wanavuna laana ya kumuua Magufuli kwa kweli.
 


Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,

View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063


POINT TO NOTE,

1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?

2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?

3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,

Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,

Jabali,

Kazi iendelee, Tuko vizuri,
 
Nyuki wa mama.!????

Hii kauli inamaana gani mkuu ndio naiona hapo leo...

Au ndio walamba asali... hebu nipe hint
 
Sasa hapo haki yake ni ipi zaidi ya kufukuzwa Kwa udanganyifu.
Yaani miaka yote alipwe Kwa udanganyifu halafu aje alipwe na fidia badala ya kurudisha zile alizotuibia.

Wewe huoni kuwa Nchi hii inakosa maendeleo Kwa sababu ya watu wengi kuwa na vyeti feki.

Hivi unahabari kuwa hata PhD na Masters nyingi ni za Kununua bila kufanya tafiti na wakipeleka vyeti wanaongezwa mishahara mikubwa Kwa kazi Ile Ile na ujuzi ule ule waliokua nao wenye digrii Moja au wasio hata na digrii.

Kwa Sasa watu maofisini wanashindana kutafuta PhD na Masters sio Kwa ajili ya kuweka utaalam au hata kufanya mapinduzi ya kiutendaji na kiufumbuzi Bali kuongeza mishahara wakitoka jioni wakalale kwenye mabaa na Wanawake mchezo imeisha halafu utasikia wakikuambia nasoma ili nipumzike nile mshahara mkubwa.Yaani badala ya kuongeza kazi na kusaidia jamii mtu anasema anataka apande Cheo na mshahara ili apumzike.

Hivi Kwa mfano Mwalimu wa shule ya Msingi akasoma mpaka akawa na PhD halafu akabaki kufundisha shule ya Msingi atakua na manufaa Gani ?
Tunataka mtu asome kihalali na afanye kazi zaidi na ionekena sio kuwaza mshahara na vyeo Kwa kununua tafiti za watu wengine. Hawezi hata kuzielezea.

Dereva darasa la Saba alitakiwa asome QT kama wangine.Lakini wenzake walipokua wanasoma yeye anampigia simu mtu wa baraza na kumpelekea laki Tano halafu akapewa cheti adhabu yake ni kufukuzwa na kurudisha mshahara au kufungwa.
Huoni JPM aliweka hashima mpaka Baraza hawauzi vyeti na vile vya stationary haviuziki Tena.

Tafuta cheti kafanye kazi Huko kwenye kampuni binafsi lakini sio kazi ya umma inayolipa Kwa Kodi ya watu wote na nafasi zipo Kwa ajili ya wote. Ukidanganya unatupwa nje wanapewa watanzania wengine waaminifu. Wapo wengi.
Vipi Phd feki za wakubwa na vyeti vya akina Bashite?! Ungesoma tu mstari wangu wa mwisho ulitosha kila kitu.
 


Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,

View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063


POINT TO NOTE,

1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?

2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?

3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,

Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,

Jabali,

Mimi nawashangaa mnaoshangilia na aliyetoa kauli.Muwe mnajirekebisha siyo mkuu atalipa bali ni serikali huyu mkuu hana hela ya kuwalipa hao.Muwe mnajirekebisha.
 
Muajiri wako akikuajiri kwa kuwa ulimdanganya, haikupi haki pale anapogundua umemdanganya akuache tu kazini kwa kuwa hakugundua utapeli wako wakati anakuajiri.
Ivi ulishawahi kufikilia ni watu wangapi waliostahili kupata izo nafasi walinyimwa haki zao wakiwa na vyeti Halali kabisa....Asa kma mtu aligushi cheti Cha uwalimu alikua anafundisha nin watoto shuleni...na huyu nae alipwe??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom