Kamanda mambo ya demokrasia ni magumu sana huwa nawambia kuiongea mdomoni ni jambo moja kuhimiri na kuishi demokrasia ni jambo lingine cheki unavyo shindwa kuhimiri vishindo kamandanaona yale matishio uliyopata pale Bungeni yanafanya kazi
Mkuu jibu hoja hahahahaha mambo ya uhuru na demokrasia hayo hahahaSio lazima uongee wala ujue kila kitu
Unaweza kujua vingine ukanyamaza
Hapo unapogusa bora ungekomaa na story za kichaa 2
Kweli kabisakatika vitu unaangusha hii tasnia yetu ya habari nimoja yamabandiko yakulambana miguu kama hili
Sijawahi kumuamini Pascal hata mara moja , ni mtu ninayemfahamu tangu enzi za kipindi cha KITIMOTO pale Simba Grill ni mtu mnafiki na ambaye njaa yake inaweza kusababisha akawala hata wanawe .Hata Mungu alijua kuwa Yesu atasulubiwa ili aliacha yatimie ili sisi tukombolewa.
Kupitia shambulio la Lissu,hata sisi tutakombolewa.
Kumbuka wangekuwa na nia wasingeshindwa kwenda kuwahoji hospitalI ya Nairobi.
Jiulize tu angekuwa ni kigogo wa serikali alieshambuliwa kama huyo dereva wasingemfuata kumuhoji hata kama angekuwa ni Ulaya.
[emoji122][emoji122][emoji122]Sio lazima uongee wala ujue kila kitu
Unaweza kujua vingine ukanyamaza
Hapo unapogusa bora ungekomaa na story za kichaa 2
SanaKwa Leo umefeli sana nilikuanini kumbe sifiri kabisa
Mkuu jibu maswali yake kwaKabla ya kutoa hio dhana yako ningekuomba ujibu Masuala 3 tu:-
1. Kwa nini siku ya tukio hapakua na Mlinzi Bungeni
2. Jee kwanini Picha za Camera ulinzi hazijuilikani zilipo?
3. Kwa nini Serikali ikatae uchunguzi huru ukishirikisha vyombo vya Kimataifa?
Mayala=njaa
Baada ya Jerry murro kuula pasco ameona fursa na wakt sahihi Wa kutafuta cheo,huyu ni tumbo linatoa hoja sio akili,umeangusha tasnia ya habari
Kamanda mambo ya demokrasia yamekushinda kabisa hahahahahaTangu ulipohojiwa na bunge umepoteza sifa ya kuwa mwandishi mchunguzi! Ugolo kama huu unakuabisha!!
Uchawi kama huu wa Pascal hauwezi kuwa uhuru wa kutoa maoni , kuanzia muda huu naanza kumhusisha na shambulizi la Tundu Lissu , anazo sifa zote za kuhusika , Hakika damu ya Lissu itaumbua wengi sana .Makamanda mmeshindwa kuhimiri vishindo vya uhuru wa kutoa maoni? Hahaha
Kweli nimemuandikia nimemuuliza Maswali akijibu hayo Atajua waliojaribu kumuua Lissu Akae anajua anatutia hasira wengine tulilia Kwa uchungu baada ya taarifa za jaribio la mauwaji ya Lissu pasco usituletee njaa zako na suala la Lissu achana nalo kabisa deal na habari za ziara tu hili liache kabisaMayala=njaa
Baada ya Jerry murro kuula pasco ameona fursa na wakt sahihi Wa kutafuta cheo,huyu ni tumbo linatoa hoja sio akili,umeangusha tasnia ya habari
Akijibu hayo mzee wa njaa atajua muuwaji wa LissuKabla ya kutoa hio dhana yako ningekuomba ujibu Masuala 3 tu:-
1. Kwa nini siku ya tukio hapakua na Mlinzi Bungeni
2. Jee kwanini Picha za Camera ulinzi hazijuilikani zilipo?
3. Kwa nini Serikali ikatae uchunguzi huru ukishirikisha vyombo vya Kimataifa?
Mtu mwenye akili unasoma conclusion kujua mwandishi amelenga nini katika hoja yake.Kamanda mambo ya demokrasia ni magumu sana huwa nawambia kuiongea mdomoni ni jambo moja kuhimiri na kuishi demokrasia ni jambo lingine cheki unavyo shindwa kuhimiri vishindo kamanda