Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Mtu mwenye akili timamu na ambaye hana chembe hata kidogo ya kichaa ++ angeanza hivi;Siku hiyo walinzi walienda wapi?Je,wamechukuliwa hatua gani?Je, aliposema kuwa anafuatiliwa kwa siku za nyuma kabla ya tukio,taasisi husika ilichukuwa hatua gani?Je,ni kwanini taasisi husika ilisema kuwa haifanyi kazi kwa taarifa za mtandaoni,bali ataje kuwa alienda kuripoti kituo gani?Je,ni kwanini Lisu na wengineo wamewahi kukutwa na makosa kwa kupitia taarifa za mtandaoni?Ni kwanini dereva hajakamatwa wakati kuna sheria inayoruhusu mtu kuhojiwa na hata kukamatwa akiwa nje ya nchi yake?Acha niishie hapa kwakunukuu maneno ya aliye wahi kuwa rais wa Afrika kusini ajulikanaye kama P. Botta alisema"Mwafrika hata akisoma hawezi Acha upumbavu wake".
Je Dereva wa Lissu anaweza kuwarubuni Walinzi? wote
 
hii ni akili gani?mbona ni mambo ya kijinga kabisa,yaani unataka kutueleza kwamba,Lisu ni mjinga kiasi gani,yaani mbaya wake tena alietaka kumuua amfiche ili asichukuliwe hatua, mbona watu wengine mnajitoa akili
 
Hawa jamaa wakija pewa nchi watakua madikteta wabaya sana kuwahi kutokea duniani.Yani kwao ni mwiko kuwahoji.

Very poor argument, sikuitarajia toka kwako. Nani kagoma mtu kuhoji? Hapa ni jukwaa huru na kila mtu ana maoni yake. Unawekaje wote kwenye kundi moja kwamba hawataki kuhojiwa wakati sasa uzi uko page ya 13+? Ama mtiririko wa mada umekuvuruga kaka yangu mpaka umeona maoni machache tu? Mtani wangu usipate shida huu ni uhuru wa maoni, nenda piga supu urejee maana huu uzi utakuwepo tu mpaka kesho. Kajipange bado una nafasi ya kutosha mtani.
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Naamini sasa nimekuelewa vizuri sana Bwana Paskali. Mwanzani nilisoma nikiwa kwy kiahaisi kwa kweli ulinivuruga....baada ya kukaa kitako na kurudi kusoma, hili ni jiwe gizani au kumwagia mafuta ya shimoni.

Nasubiria hakika tutaona kitu kama kipo, ntakusaidia kushika zamu ya kusubiria kama utataka kwenda break mara moja....hahahah!
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Shuda mwingine ni CCTV camera za kwa mheshimiwa waziri.Zipo wapi?
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Shuda mwingine ni CCTV camera za kwa mheshimiwa waziri.Zipo wapi?
 
Mbona Paschal Mayala kaongea sawa tu nashangaa mnao mtuhumu, ktk issue ya kiuchunguzi hauwezi kumuweka pembeni dereva wa Mh Lissu maana ni wao wawili tu ndo walikuwa ktk gari

Kwa mfano labda hata wewe umeenda sehemu umekaa tu kwa sababu zako afu jirani na ulipo umetokea uhalifu na wamekuja askari polisi wamekamata wote walio hapo jirani na tukio la uhalifu nawe wame kubeba kwa sababu ni lazima waanzie sehemu kuchunguza hata kama hauhusiki na hilo tukio

Tukirudi ktk mada kwa kusema tu dereva nina muamini haitoshelezi kutotiliwa mashaka huyo dereva hata kama hana hatia lkn shuku juu yake ni ya msingi na wanaoitoa wasionekane tofauti

Hata ktk maandiko matakatifu tunajua Masihi/ha alisalitiwa na mtu wake wa karibu kwa vipande vya pesa kwahiyo lolote linawezekana

Ww unahoja ya msingi kwenye huu utetezi wako. Je mleta mada anapoelezea shaka yake kwenye hilo tukio ana popote anapoonyesha shaka yake kwa askari wanaolinda eneo hilo kutokuwepo eneo la lindo? Je kuna popote kataja CCTV camera? Watu wanambana mleta hoja aeleze mashaka yake yote na sio kuchagua baadhi tu hata kama kweli aliyosema yana mantiki.
 
Kaka inaonyesha unajua mengi zaid ya tunayo yajua ila kikubwa tumia kalamu yako vzuri kesho utaulizwa
 
Acha nikukubalie kuwa, Mbowe ni mkubwa kuliko idara zote za ulinzi na usalama! Untouchable na yeye ndiye sheria!
Yaani kwa ujinga wako huu, mkulu atuhumiwe kuhusika ajkalie kimya huku akimwona mhusika akitembea na kula raha kitaa! Kweli kabisa serikali yote inamgwaya Mbowe! Utakuwa siyo wewe wa kombe la dunia wamehack account yako!
Ukishakuwa pro government unakuwa mjinga automatically .
Ndio huyo Britannica
 
Hata Mungu alijua kuwa Yesu atasulubiwa ili aliacha yatimie ili sisi tukombolewa.

Kupitia shambulio la Lissu,hata sisi tutakombolewa(sometimes Mungu huruhusu mambo fulani yatokee kwa malengo maaalumu).

Kumbuka wangekuwa na nia wasingeshindwa kwenda kuwahoji hospitalI ya Nairobi.

Jiulize tu angekuwa ni kigogo wa serikali alieshambuliwa kama huyo dereva wasingemfuata kumuhoji hata kama angekuwa yuko Ulaya?
....mungu yupi tena wakati mnadai Yesu ni mungu !? ...mungu alishindwa kuwakomboa mpaka afe mtu ! Watata sana nyie
 
Nadhani Pascal Mayalla hajapinga uhusika wa Wanaojulikana ila Wanajulikana Kama "wasiojulikana" ambao kimantiki katika andiko lake anaonyesha kwamba Kwa nguvu waliyonayo "Wasiojulikana" hawashindwi kumtumia "yeyote" katika mission zao za "wasiojulikana".


Binafsi Kwa maoni naungana nae pia nikiamini kwamba uhusiano mwema Kati ya Lissu na Dereva wake unaweza kuingia majaribu ikizingatiwa kuwa hawa wasiojulikana wanazo rasilimali nyingi za kushawishi.


NB: kusalimika kwake katika janga lile isiwe sababu ya kuhusishwa kwake.
 
Back
Top Bottom