BABUU ISAKI RITTE
Senior Member
- Jan 20, 2024
- 198
- 195
Ugumu wa maisha umesababishwa na baadhi ya viongozi wako wa ccm na serikali wasio wazalendo ambao sio raia wa Tanzania au hufuatilii vyombo vya habari (live) kutoka Lugalo.Umeshageuza mada imekuwa udini?You can better that this. Tena sijui ni swali au tamko?
Punguza poyoyo miaka 60 toka uhuru nchi bado ni maskini unasinzia dunia nzima.Kudorora kwa uchumi ni tatizo lililoikumba dunia nzima.Sio kwa Tanzania tu na halisababishwa na chama mojawapo.Kama ni mfutiliaji wa habari za kisiasa na uchumi habari hiyo haitakuwa ngeni kwako.
Mna Tabia ya kutukana Personality za Watu. Ndiyo kisa hata Marehemu Fulani hivi mlikuwa mnatukana hadharani mkimuita Mgonjwa wa kujinyea. As a result hakuna aliyewakanya hadi Leo kutukana Wazee na Wagonjwa ili mpate Kura. Siyo poa. Majambazi Wote walihukumiwa Jela au kuuwawa. Lena alishawahi hukumiwa kama Jambazi bcoz wewe unamjua? Jambazi aapewa na Ubunge? Zibitisha Acha kumwaga Povu za chuki binafsiJambazi alieokoka ambae anajifanya nabii ni shida sana aise.
Na hakuna mahali anaenda kaisha likoroga mwenyewe 🐒
Jifunze kuandika kwanza.Kwani kigezo cha kupata uhuru miaka 60 iliyopita ndio kinafanya Nchi iwe maskini au tajiri?Punguza poyoyo miaka 60 toka uhuru nchi bado ni maskini unasinzia dunia nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow huna moral authority ya kukemea name calling.Kabla ya kuona ubanzi kwenye jicho la mwenzako toa boriti kwenye jicho lako.Mna Tabia ya kutukana Personality za Watu. Ndiyo kisa hata Marehemu Fulani hivi mlikuwa mnatukana hadharani mkimuita Mgonjwa wa kujinyea. As a result hakuna aliyewakanya hadi Leo kutukana Wazee na Wagonjwa ili mpate Kura. Siyo poa. Majambazi Wote walihukumiwa Jela au kuuwawa. Lena alishawahi hukumiwa kama Jambazi bcoz wewe unamjua? Jambazi aapewa na Ubunge? Zibitisha Acha kumwaga Povu za chuki binafsi
Baadhi ya viongozi wako wa ccm na serikali ngazi ya maamuzi sio raia, ndio wamesababisha maisha ya Watanzania kuwa magumu kwa kuwa hawana uzalendo na hili taifa hufuatilii vyombo vya habari tena vya ndani (live) kutoka Lugalo?.Wow huna moral authority ya kukemea name calling.Kabla ya kuona ubanzi kwenye jicho la mwenzako toa boriti kwenye jicho lako.
A pot calling a kettle black.
Nyie ndio mabingwa wa kutukana,kukejeli na kuzusha.
Inaelekea unawajua wataje hao kwa majina.Baadhi ya viongozi wako wa ccm na serikali ngazi ya maamuzi sio raia, ndio wamesababisha maisha ya Watanzania kuwa magumu kwa kuwa hawana uzalendo na hili taifa hufuatilii vyombo vya habari tena vya ndani (live) kutoka Lugalo?.
Mlikuwa mkijificha ila Mkuu wa majeshi kawaumbua live bila kificho mbele ya Rais Samia japo alikaa kimya kwa aibu, na dunia inajua wala sio kificho tena .Inaelekea unawajua wataje hao kwa majina.
"Kasema baadhi ya viongozi wa CCM na viongozi wa Serikali ngazi ya uamuzi" au hayo ni maneno yako?Mkuu wa majeshi kaongea live mbele ya Rais Samia na dunia inajua>
Ulivyomwelewa ndio hivyo hivyo, mdakeni kwanza Mkuu wa majeshi aliyewaambia ukweli muone atakavyowanyoosha maana bila yeye ccm haipo."Kasema baadhi ya viongozi wa CCM na viongozi wa Serikali ngazi ya uamuzi" au hayo ni maneno yako?
Mwenzako kadakwa huko Mwanza kwa kuropoka kwa aina hii.
Huyo msimbe ndo' mdini no moja.
"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"
====
Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.
Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Waislamu gani unao sema Kati ya 2.1 bilioni ulimwenguni?Waislamu wako Hamas wanapambana 🐼
"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"
====
Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.
Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Salum Mwalimu ni Mkristo? Chadema haina udini
"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"
====
Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.
Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Speech ya Lema pale Arusha kuhusu vijana wa kiislam wanaoendekeza udini iko wazi kabisa, aliwapasulia ukweli, pia alishawahi kuwatetea waislam waliowekwa kiuzuizini na utawala wa Mwislamu mwenzao. Ina maana hilo Shangazi hakuliona?
"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"
====
Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.
Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Good explanation mkuu. Tatizo ni kwamba hapa unajibizana na machawa including wanapropaganda wa awamu ya 6 pamoja na wabunge wa hisani wa 2020 na professional trolls wa watawala wa sasa. Wako kikazi zaidi. Hawahitaji ukweli wowote.Malalamiko ya Fatma hayahusiani na tamko lolote la Lema. Fatma amekasirika kwa nini wakina Martin wamehoji kauli ya Bashe kuwa sukari itapatikana kabla ya mwezi wa Ramadhani. Yeye akaona kuwa Bashe anahojiwa kwa sababu ni muislamu na kuwa ni uthibitisho kuwa CDM hawafurahii jambo lolote linalowafaidisha waislamu. Anacho sahau ( kwa makusudi) ni kuwa Martin si msemaji wa CDM. Na alichouliza kimetokana na Bashe kuingiza suala la Ramadhani katika juhudi za kuondoa uhaba wa sukari. Kuna waliosema mbona waziri wa nishati aliyekuwa mkristo aliwahi kuwaagiza Tanesco wasikate umeme siku ya Krismasi na hamna ambae alilalamika. Mimi sidhani kama mtu unaweza kulinganisha nafuu ya siku moja na hii ya kuondoa kabisa kero iliyoendelea kwa muda mrefu. Waziri aliteleza. Angesema tu sukari itapatikana ndani ya wiki moja bila kuingiza suala mfungo wa dini moja. Kwa kusema hivyo kunakaribisha maswali kuwa kama ni rahisi hivyo kwa nini hakuhakikisha sukari inapatikana wakati wa Kwaresima? Ni tatizo la kujitakia na Fatma should know better kuliko kuongeza kuni kwenye suala la udini.
Amandla...
Akina Fatu wengi madishi yao huwa changamoto kidogo.Fatma K Hana akili hata kidogo! Maoni binafsi ya Martin Maranja Masese kaya address kama ya CDM! Huu ni uzwazwa wa Hali ya juu! Fatma K anachochea UDINI.
Chadema ndio mkombozi wenu baada ya Zitto kuiua Cuf yenu mmejiegemeza ccm haitawasaidia kitu.Afadhali wewe umesema kweli.Wenzako wanajaribu kuziba jua kwa ungo.Ulichoacha kumalizia ni dhehebu tena la kidini.
Kipindi cha kwanza Mama aligombea nchi gani?.CCM wana utamaduni wao wa kumuachia mgombea Urais amalize vipindi vyake viwili.Ndio sababu hakuna atakayechukua fomu.
Je Mbowe ataruhusu kuwepo na mgombea katika uchaguzi wa Uenyekiti wa Chadema?