Shangwe zilizopigwa Israel ilipovamiwa siku ya kwanza zipo wapi, Mbona nguvu kubwa inatumika kumpigia magoti Isreal aache kujilinda (cease fire) ?

Hujitambuhi braza, vita ni kati ya Hamas na IDF point of correction ok
 
Israel ni taifa la kigaidi,kibaraka wa Marekani na Uingereza
Hawana nguvu hiyo mnayowasifia,ni vile wanapigana na raia wasio na silaha.
Mungu wa Israel hii hawezi kuwa mungu tunayemuabudu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣leo hawana silaha??, kwani walitumia nini kuchinja na kukata vichwa vya watoto?

Makombora yanayotumwa Israel kutokea Gaza ni manini yale? by the way hata manati ni silaha, muhimu ni nani anayeitumia ok🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
WAlijua ni rahisi kumbe ni nooma
 
Ila (wapara tina) wanawapa silaha hamas kumshambulia mwenda,mwenda akipigwa wanafurahia mwenda akifungulia kupiga wanaomba poo ingekuwa mimi ndo uwezo wangu hawa hamas ningewashushia mvua hadi waishe wote hadi majengo halafu eneo hilo ningeligeuza kambi ya jeshi ya mwenda
 
We mtoa mada nakushauri kapime akili zako, kwanza Israel kapigwa na Hamasi hakupigwa na watu wa Gaza, majumba ya Gaza, Hospital za Gaza, Shule za Gaza, kawakimbia Hamasi ukitaka kujua Israel hawana jeshi walisema wanapiga majumba kuna kambi za jeshi na silaha za Hamasi, wakapiga mashule, hospital, makanisa, misikiti na kila kilicho Gaza mpaa Baker wakidai kuna silaha hatujaona zaidi ya watoto, wanawake, vizee na badhi ya vijana hawana kabisa silaha ya aina yeyote ile.



Sa wanaulizwa kwanini huingi Gaza siumeisha vunja silaha na umewaua Hamasi kwenye majumba, hospital, shule na sehemu zote ulizo piga wanasema wako chini ya mahandaki 😄 sa kama wako kwenye mahandaki kwanini mnapiga majumba? Hospital, Shule na maduka, Baker yani kama si chuki tu kwa kila Mpalestine hata kama si kojana wa Hamasi 😄
 
Mpaka Sasa ni wapalestina 7,000 wameshakufa ndani ya siku 19 tangu vita ianze ni wastani wa watu 380 kufa Kila siku.


Sasa wewe endelea kudharau wakati kuna binadamu wanakufa

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Ndio mlivyomezeshwa huko misikitini[emoji28]
Msikiti wa babako,Mimi ni mkatoliki nasali Parisian ya Mt Gaudence Makoka,jumuiya ya my Theresa wa mtoto Yesu.
I don’t support th fake Israel.
 

Tulia magaidi yashughulikiwe
 
Hamas

Hamas ni raia wasio na silaha,Israel na mumewe Marekani wanaonea wanyonge,waende Ukraine wakamtoe Russia kama wao ni wanaume.
Israel ni magaidi na wauaji wanaonsingizia Mungu.

Israeli aende Ukraine kufanya nini wakati siku zote ana deal na magaidi wanaoua na kubaka wanawake na watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…