Itakuwa mfayagia Kanisa wewe. Hamas walipovamia Israel walikua wanalipa kisasi na hajaua watoto. Lkn marekani na Israel baada kupigana na hamas anapigana na watoto wa changa. Hivi vita ni vya kidini dhidi ya waislam duniani
Waambie Hamas wasijifiche kwenye makazi ya watu. Sisi unatuambia ili iweje ? Wanarusha maroketi halafu wanaenda kukaa nyuma ya wanawake na watoto so what? Acha wachinjwe
Hamas ni raia wasio na silaha,Israel na mumewe Marekani wanaonea wanyonge,waende Ukraine wakamtoe Russia kama wao ni wanaume.
Israel ni magaidi na wauaji wanaonsingizia Mungu.