Nani alikuambia Mohamed Said alipeleka jina kwa Kikwete.Ustaadhat Mohamedi tatizo alikuwa anaongea bila ushahidi yeye ni hadithi hadithi tu ndomana hata Kikwete amemtosa ujumbe wa bunge la katiba kwani ni mzee wa porojo na ni mchochezi.Umeelewa we gamba.
Nani alikuambia Mohamed Said alipeleka jina kwa Kikwete.
Namnukuu
Tundu Lissu "Yule Nyerere aliishi maisha ya ulaghai, udanganyifu na vitisho kama vile majambazi/matapeli Papa Musofe na Alex Massawe" mwisho wa kunukuu.
Nguruvi3 Mag3 Mzee Mwanakijiji Mchambuzi Mkandara
Nadhani umemsoma Lissu Umekubaliana naye amekuja na ushahidi huo.
Tumtake radhi kwani alieleza nini cha maana?
Haya yote yanayozungumzwa sasa tumeyajadili. Labda nikueleza tofauti moja ya Lissu na Mohamed, Lissu anaongea kwa data na vithibitisho. Mohamed Said anaongea kwa hisia 'inasemekana, imesemwa, nilisikia, ati, huenda' n.k.
Nitake radhi upotoshaji,fitna na uzushi, ebo! nidhalilishe uwezo wangu wa kufikiri !
Tadhali nitake radhi kwa kunihusisha na mada za MS
Teh Teh Teh Teh Teh
Tuoneshe data za Mbowe, jana kuna mbunge aitwae Machali alikuwa akinukuu kitabu cha Ghassany, Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru, unajuwa kina uhusiano upi na Mohamed Said?
[video=youtube_share;k_1056Uk8Vo]http://youtu.be/k_1056Uk8Vo[/video]
Hapo sasa!
MMEANZA TENA UJINGA KENGE NYIE......NI KM KUSEMA ANACHOFANYA MESSI NDICHO ALICHOFANYA MOGELLA JUST BECAUSE WOTE WANACHEZA MPIRA NA WOTE WANATAFUTA MAGOLI.....LISSU KAFANYA NA KAFANYA KWA USAHIHI.POROJO ZENU HAPA HAZINA MAANA.Ritz unataka sema nini hapa..Lissue alikuwa kaiongelea Mfumo Kristu.....leo waislam ndio wanataka serikali mbili..which means ni CCM ndio shida hapa.
Ninayoandika mimi MS hawezi kusoma kwa sauti kwasababu hata pronounciation hawezi.Nguruvi3
Wewe ni wa humu humu JF tuh
Nani anakufaham ??na andiko gan la maana umeshawahi andika la kuweza kusimama na kutamba??km sio jf nani angefaham hata kwamba una exist??
Moh said hata kuosha viatu vyake huwez
Nenda great thinkers kaweke vikao lna vihiyo hapa unakutana na vijana wa madrasa huna la kuongeza wala kupunguza
Ninayoandika mimi MS hawezi kusoma kwa sauti kwasababu hata pronounciation hawezi.
Ninaandika ukweli siyo uzuzshi . Mimi sifungi safari nikaaga mke na watoto nikabeba mkoba kwenda Ibadan kuudanganya na kueneza fitna ulimwengu tena nikisema nafanya hivyo kwa imani ya Dini.
Dini imekataza kusengneya, uongo na kila aina fitna. MS kafunga safari kuzunguka duniani kueneza fitna, ushahidi ni Ibadan University. Mwambieni akaombe radhi kwanza.
Jamani niacheni mnapolinasiibisha jina langu na MS najisikia dhalili, najisiki mnyonge na najisikia mumenivunjia heshima.
MS ni kiongozi wa kundi la matusi, huko sipo mimi nina stara zangu.
Ninatumia akili, kundi la MS halipaswi kutumia akili, The Big Show chonde chonde muungwana, nistahi nduguyo. Kunifungaminisha na fitna ni kunitia wahka, napata simanzi mwenzenu.
The Big show, nazi koroma si nazi hiyo, ukiilinganisha na nazi wapishi hawakuelewi.
MS namwachia na vidaka, mimi nina stara zangu mkuu. Kuongea kama mtu aliyekunywa ndaza siwezi.
Najaalie hapo Ligula, inshallah naweza teremeka huko. Nikipata wasaa nitakuita tupate japo gahwa.
Salaam kwa ahli na watoto waambie miye mzeeni.
Mkuu,
Kilwa Jazz walivunja Band kwa mambo haya ya kuchekacheka....unakumbuka wimbo wao wa mwisho!? Daah!
Chekacheka wana Kilwa Jazz leo! Teeeh! Teeh! Je unakubaliana na kauli za Tundu Lissu...yakua yule Nyerere alikua ni sawa na Tapeli Papaa Musofe au jambazi maarufu la Kichaga Alex Masawe!? Daah! Kwi! Kwi! Kwi!
Tumtake radhi kwani alieleza nini cha maana?
Haya yote yanayozungumzwa sasa tumeyajadili. Labda nikueleza tofauti moja ya Lissu na Mohamed, Lissu anaongea kwa data na vithibitisho. Mohamed Said anaongea kwa hisia 'inasemekana, imesemwa, nilisikia, ati, huenda' n.k.
Nitake radhi upotoshaji,fitna na uzushi, ebo! nidhalilishe uwezo wangu wa kufikiri !
Tadhali nitake radhi kwa kunihusisha na mada za MS
Ajabu ya balaa Nguruvi3 kujifananisha na Sheikh Mohamed Said walaahi.Ninayoandika mimi MS hawezi kusoma kwa sauti kwasababu hata pronounciation hawezi.
Ninaandika ukweli siyo uzuzshi . Mimi sifungi safari nikaaga mke na watoto nikabeba mkoba kwenda Ibadan kuudanganya na kueneza fitna ulimwengu tena nikisema nafanya hivyo kwa imani ya Dini.
Dini imekataza kusengneya, uongo na kila aina fitna. MS kafunga safari kuzunguka duniani kueneza fitna, ushahidi ni Ibadan University. Mwambieni akaombe radhi kwanza.
Jamani niacheni mnapolinasiibisha jina langu na MS najisikia dhalili, najisiki mnyonge na najisikia mumenivunjia heshima.
MS ni kiongozi wa kundi la matusi, huko sipo mimi nina stara zangu.
Ninatumia akili, kundi la MS halipaswi kutumia akili, The Big Show chonde chonde muungwana, nistahi nduguyo. Kunifungaminisha na fitna ni kunitia wahka, napata simanzi mwenzenu.
The Big show, nazi koroma si nazi hiyo, ukiilinganisha na nazi wapishi hawakuelewi.
MS namwachia na vidaka, mimi nina stara zangu mkuu. Kuongea kama mtu aliyekunywa ndaza siwezi.
Najaalie hapo Ligula, inshallah naweza teremeka huko. Nikipata wasaa nitakuita tupate japo gahwa.
Salaam kwa ahli na watoto waambie miye mzeeni.
Mkuu,
Kilwa Jazz walivunja Band kwa mambo haya ya kuchekacheka....unakumbuka wimbo wao wa mwisho!? Daah!
Chekacheka wana Kilwa Jazz leo! Teeeh! Teeh! Je unakubaliana na kauli za Tundu Lissu...yakua yule Nyerere alikua ni sawa na Tapeli Papaa Musofe au jambazi maarufu la Kichaga Alex Masawe!? Daah! Kwi! Kwi! Kwi!
Mng'oko bwana, tena ukipata na maji ya dafu, dah.Karibu tuh mtwara
Wataka ming'oko chikandanga au machoba chaguo ni lakoo
Wanishangaza sana kuseka mseme nyie na kina lisu ila tukisema sie na moh said wetu lawamaa
Sasa sijui double standards hiz sijui zatokea wapi sasa
Huyo dr harith ghasamy wanaemkopi huko bungeni ni counter part wa moh said
Hata km hamtaki kumkubali sawa tuh nabii hakubaliki kwaoo....
Ushahid gani unaotaka kutoka kwa moh said ili hali anakuwekea literature reviews za kila namna??
Km unaweza panda ndege naww uende usa au ibadan ukadurusu.... wewe ni wa humu humu while moh said ni national n international icon..
Nguruvi3Ninayoandika mimi MS hawezi kusoma kwa sauti kwasababu hata pronounciation hawezi.
Ninaandika ukweli siyo uzuzshi . Mimi sifungi safari nikaaga mke na watoto nikabeba mkoba kwenda Ibadan kuudanganya na kueneza fitna ulimwengu tena nikisema nafanya hivyo kwa imani ya Dini.
Dini imekataza kusengneya, uongo na kila aina fitna. MS kafunga safari kuzunguka duniani kueneza fitna, ushahidi ni Ibadan University. Mwambieni akaombe radhi kwanza.
Jamani niacheni mnapolinasiibisha jina langu na MS najisikia dhalili, najisiki mnyonge na najisikia mumenivunjia heshima.
MS ni kiongozi wa kundi la matusi, huko sipo mimi nina stara zangu.
Ninatumia akili, kundi la MS halipaswi kutumia akili, The Big Show chonde chonde muungwana, nistahi nduguyo. Kunifungaminisha na fitna ni kunitia wahka, napata simanzi mwenzenu.
The Big show, nazi koroma si nazi hiyo, ukiilinganisha na nazi wapishi hawakuelewi.
MS namwachia na vidaka, mimi nina stara zangu mkuu. Kuongea kama mtu aliyekunywa ndaza siwezi.
Najaalie hapo Ligula, inshallah naweza teremeka huko. Nikipata wasaa nitakuita tupate japo gahwa.
Salaam kwa ahli na watoto waambie miye mzeeni.
Chonde chonde mimi mwenyewe nshakataa kufananishwa au kunasibishwa na MS. Tafadhalini sana naomba stara yenu. Naomba mnihifadhi waungwana.Ajabu ya balaa Nguruvi3 kujifananisha na Sheikh Mohamed Said walaahi.
Ni sawa sawa kuwalinganisha Edson Arantes do Nascimento (Pele) na Edibil Jonas Lunyamila.
Tarudi punde kufyonza Ilm.