Nguruvi3
Wewe ni wa humu humu JF tuh
Nani anakufaham ??na andiko gan la maana umeshawahi andika la kuweza kusimama na kutamba??km sio jf nani angefaham hata kwamba una exist??
Moh said hata kuosha viatu vyake huwez
Nenda great thinkers kaweke vikao lna vihiyo hapa unakutana na vijana wa madrasa huna la kuongeza wala kupunguza
Ninayoandika mimi MS hawezi kusoma kwa sauti kwasababu hata pronounciation hawezi.
Ninaandika ukweli siyo uzuzshi . Mimi sifungi safari nikaaga mke na watoto nikabeba mkoba kwenda Ibadan kuudanganya na kueneza fitna ulimwengu tena nikisema nafanya hivyo kwa imani ya Dini.
Dini imekataza kusengneya, uongo na kila aina fitna. MS kafunga safari kuzunguka duniani kueneza fitna, ushahidi ni Ibadan University. Mwambieni akaombe radhi kwanza.
Jamani niacheni mnapolinasiibisha jina langu na MS najisikia dhalili, najisiki mnyonge na najisikia mumenivunjia heshima.
MS ni kiongozi wa kundi la matusi, huko sipo mimi nina stara zangu.
Ninatumia akili, kundi la MS halipaswi kutumia akili, The Big Show chonde chonde muungwana, nistahi nduguyo. Kunifungaminisha na fitna ni kunitia wahka, napata simanzi mwenzenu.
The Big show, nazi koroma si nazi hiyo, ukiilinganisha na nazi wapishi hawakuelewi.
MS namwachia na vidaka, mimi nina stara zangu mkuu. Kuongea kama mtu aliyekunywa ndaza siwezi.
Najaalie hapo Ligula, inshallah naweza teremeka huko. Nikipata wasaa nitakuita tupate japo gahwa.
Salaam kwa ahli na watoto waambie miye mzeeni.