inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Unataka askofu ajibiwe na nani,wao nani kwani!?..serikali Haina wataalam!?Huo ndiyo Waraka wa Mashehe😃😃.
So Ushauri wa Maaskafu kwa serikali unajibiwa na Mashehe na akina Mwijaku na Kitengwe? This is so interesting😃
Ilm yake ni kufuga majini tuUkichunguza huyo sheikh ni bahati sana kukuta kafika hata kidato cha pili.
Ya sala ya baba yetu na sala ya maria mama wa Mungu utuombeeMwenye uelewa anieleweshe tafadhali!
Ili uwe sheheh umshitajika uwe na elimu gani?
Hawa wa wapi tena!
Aweze kuusoma ama asiweze kuusoma awe na elimu awe hana elimu Bandari ndio hiyo imeendaMkataba ule unaweza kuusoma au kuuelewa??!
Una elimu gani sheheh??
Yaani waheshimiwa wasilale kwa lile povu la kuogopa wajenga misikiti!?..ikulu Kuna godoro la maji,unakosaje usingizi!?Ninachoona ni kuwa waheshimiwa wengi hawajalala usingizi tokea TEC watoe waraka ule.
Wanajaribu kusoma mstari kwa mstari ili watoe majibu, dalili kubwa ni kwamba wamekwama.
Ushauri tu ni kuwa tekelezeni ya kwenye waraka wa TEC wasije wakaja na mengine magumu zaidi.
TUNA TATIZO LA MKATABA WA BANDARI, SIO TATIZO LA DINI. Wewe unaleta udini mpaka na mm ushanipachika dini isiyo yangu ili kuwe na uhalali tugombane.Igawanywe ili nyie muishi peke yenu bila makafir.
Pakistan na India waligawana kwa kigezo cha dini si ajabu na hapa kugawana
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeendaIlm yake ni kufuga majini tu
mnajidanganya kweli yaani hao katoliki ni nani hasa kwenye nchi hii mpaka watuendeshe wachahce hivyoi kama vile wote ni wakatoliki? kwendeni hukoo mmekwamaNinachoona ni kuwa waheshimiwa wengi hawajalala usingizi tokea TEC watoe waraka ule.
Wanajaribu kusoma mstari kwa mstari ili watoe majibu, dalili kubwa ni kwamba wamekwama.
Ushauri tu ni kuwa tekelezeni ya kwenye waraka wa TEC wasije wakaja na mengine magumu zaidi.
Mama Maria ni mama wa wote🙏Ya sala ya baba yetu na sala ya maria mama wa Mungu utuombee
Tulia,si ni poa tu mimbari za dini kutumika kulinda 'maslahi ya taifa'Yaani hawa ndo wanachochea kuni na kugawa taifa. Kwani ni kazi ya dini moja kujibu nyingine? Aache serikali ijibu.
Hawa ni mapadre!!??Inawezekana kunaukweli niliwahi kusikia Padre mmoja
anapokwenda nchi za nje anabeba madini ya kutosha na akirudi anarudi na Biblia ikiwa imebeba dawa za kutosha kama ni kweli basi ni lazima wapotoshe umma uogope private sector maana itakuwa ni kuscan kwa kwenda mbele.
Hivi kwanini Serikali yangu haijajibu hoja za hawa wachonganishi? Kuna watu wasio imara watawaamini hawa warafi.
Na wewe Ruksa kuja na Tamko Lako hakuna tatizo ndio uhuru wenyewe huo wa maonisisi waislamu tupo very disorganised, kila sheikh baada ya kushiba ubwabwa anakuja na tamko lake. upuuzi mtupu.
We sema tu,Ila sheikh kagusa penyewe,muhuri unatumika vibayaNyie ndio mnaifanya dini ya watu isemwe vibaya
Hao hawatakiwi kujibiwa,ili wajione wapuuzi na siku nyingine wasirudieInawezekana kunaukweli niliwahi kusikia Padre mmoja
anapokwenda nchi za nje anabeba madini ya kutosha na akirudi anarudi na Biblia ikiwa imebeba dawa za kutosha kama ni kweli basi ni lazima wapotoshe umma uogope private sector maana itakuwa ni kuscan kwa kwenda mbele.
Hivi kwanini Serikali yangu haijajibu hoja za hawa wachonganishi? Kuna watu wasio imara watawaamini hawa warafi.
Wenxetu wa ijumaa achaneni na katoliki wapo kila kona hadi magogoniHawa ni mapadre!!??View attachment 2723617