inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Elewa,serikali imeondoa Kodi kwa taasisi za dini bandarini,baadhi ya wahuni huko taasisi za dini hutumia muhuri wa taasisi za dini kupitisha bidhaa za wafanyabiasharaHawa ni Kanisa Katoliki!?View attachment 2723619
Mkazi mkuu wa magogoni nani!?Wenxetu wa ijumaa achaneni na katoliki wapo kila kona hadi magogoni
Ushahidi juu ya kutiliwa mashaka kwa BAKWATA huu hapa.Unapomshtaki mtu mshtaki kwa evidence. Empty allegation zinaishia kuonekana ni siasa mwishowe watu wakupuuzie
Mahakama na Bunge haviko huru rejea uwepo wa Wanawake kumi na tisa Bungeni kama wabunge wa vitu maalumHii nchi safar ni ndefu [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mahakama imeona hoja ni dhaifu imetupilia mbali hoja hizo. Mahakama ndo chombo cha kutafsir sheria.
Em na wew tuambie article ipi inashida mkataba si umeusoma?
Hizi harakati za kijinga hazisaidii ccm, wala hazitakuja kuisaidia, Mnabaribu tu.
Huo ndiyo Waraka wa Mashehe😃😃.
So Ushauri wa Maaskafu kwa serikali unajibiwa na Mashehe na akina Mwijaku na Kitengwe? This is so interesting😃
Endeleeni tu kuchezea koki
Masheikh na waislamu njaa kutwezwa utu wao na waarabu kwao ni Sunna hivyo hata tukipigwa mnada mradi mnunuaji ni muarabu na muuzaji ni muislamu basi wao burudaniiii kabisa. Mijitu ya hovyo isiyotumia akili
Hivi najiuliza Modes, UZI KAMA HUU je wamefanya utafiti kuona kama taarifa hii ni ya ukweli? Au wanakuwa biased?Muda si mfupi sheikh ataanza kutembelea vieitee. Anapambana mno huku kashika tope mkononi kumchafua yeyote anayeupinga mkataba.
CCM imetufikisha hapa. Tuikatae
Ila zinaisaidia CHADEMA??Hizi harakati za kijinga hazisaidii ccm, wala hazitakuja kuisaidia, Mnabaribu tu.
Acha udini MAKU wewe, always unajikita UDINI, na UKABILA. Jiangalie sana.Nyie ndio mnaifanya dini ya watu isemwe vibaya
Takataka hii😕
Acha udini weweNchi hii kuna cartels nyingi sana kwenye taasisi za kidini. Amini maneno yangu
Kumbe ulisikia ila haujawahi kuthibitisha.. unajua kuwa Masheikh wanalipwa na Waarabu ili watetee mkataba wa bandari ?Inawezekana kunaukweli niliwahi kusikia Padre mmoja
anapokwenda nchi za nje anabeba madini ya kutosha na akirudi anarudi na Biblia ikiwa imebeba dawa za kutosha kama ni kweli basi ni lazima wapotoshe umma uogope private sector maana itakuwa ni kuscan kwa kwenda mbele.
Hivi kwanini Serikali yangu haijajibu hoja za hawa wachonganishi? Kuna watu wasio imara watawaamini hawa warafi.
Kwa hiyo mnakubali kuwa bandari imeenda sasa mnabisha nini? Na jee hasara ni kwa nani kama siyo Watanganyika wote au wewe ni mkojani kama mama Abdul?Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda
Jiwe gizani,kondoo makelele tuEti huyu naye ni kiongozi wa dini na wapo waumini wanaomsikiliza.
Sheikh mpumbavu kweli kweli sioni tofauti yake na yule Nabii anayewauzi watu mafuta na chumvi halafu anakwenda kujenga bonge la hotel.
Siyo harakati za kijinga kuna mtu tunamstahi aliingiza makontena ya vifaa kupitia mgongo wa kanisa kutoka vantikan na akafoji saini ya Askofu Emmanuel Mapunda kwasasa hayati,huyo makamu wa raisi msaidizi wa TEC Kasala faili lake lipo,pia nimwalimu wangu mahali fulani kwahiyo usitetee upumbavu,tambua mimi sina chama wala kadi ya chama lakini umeongea upumbavu ilihali ujuhi kitu,kama wewe RC lini ulichukuliwa maoni kuhusu bandari?Tupinge udiniHizi harakati za kijinga hazisaidii ccm, wala hazitakuja kuisaidia, Mnabaribu tu.
Siyo harakati za kijinga kuna mtu tunamstahi aliingiza makontena ya vifaa kupitia mgongo wa kanisa kutoka vantikan na akafoji saini ya Askofu Emmanuel Mapunda kwasasa hayati,huyo makamu wa raisi msaidizi wa TEC Kasala faili lake lipo,pia nimwalimu wangu mahali fulani kwahiyo usitetee upumbavu,tambua mimi sina chama wala kadi ya chama lakini umeongea upumbavu ilihali ujuhi kitu,kama wewe RC lini ulichukuliwa maoni kuhusu bandari?Tupinge udini
Wao wanaongoza kwa kutandikana bakora misikitini wakigombea umiliki wa misikiti.Nakubaliana na wewe. Wengi wana uoni finyu sana. Ndiyo maana dini nyingine wanamiliki taasisi imara zinazotoa huduma za jamii lakini wao ni nadra sana.