Sheikh Muharam Mziwanda adai Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena Bandari ya Dar

Chokochoko za kidini zilikuwepo kabla ya waraka. Usiwape sifa wasio stahili.
Amandla...
 
MAPADRI NA VIONGOZI WA KATOLIKI NA WARAKA WENU,TUNAWAOMBA MSIIPASUE NCHI YETU,ONENI SASA TUNAPOELEKEA,JE MMETUMIA HEKIMA ZENU KISAWASAWA ?,TAIFA HILI NI LA WOTE, RUDINI NYUMA KWA AIBU NA MKAE KIMYA,MTAIVUNJA NCHI HII.
 
Kwa hiyo mnakubali kuwa bandari imeenda sasa mnabisha nini? Na jee hasara ni kwa nani kama siyo Watanganyika wote au wewe ni mkojani kama mama Abdul?
Hakuna hasara yoyote ni faida tupu ndio itapatikana hapo Bandarini serikali inatarajia nusu ya Bajeti yake itoke hapo Bandarini
 
Peleka ujinga wako kule. Ulichokiandika ndicho kinacho refer akili zenu. Jenga hoja acha mihemko ya kidini
 
Wao wanaongoza kwa kutandikana bakora misikitini wakigombea umiliki wa misikiti.
Hususan ile ambayo inakuwa na wadhamini wenye pesa kutoka taasisi za kiarabu.
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sana
 
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sana
 
acheni kuwapakazia TEC kwani ni mara ya kwanza kutoa waraka? Jibuni hoja acheni ujinga
 
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sana
 
Kama habari za kusikia zinatolewa hukumu basi hata sisi tulisikia wewe choko.
 
Mbona hajajibu chochote cha kwenye waraka? Anarukia mengineeee. Hawa wangekaa kimya tu na sio kukubali kutumika. Wanatutia aibu Waislam. Wanahisi wakija DP World Uislam utafaidika. Poor them!
 
Bishop Peter RASHID ABUBAKAR huyo.

Amandla...
Huyu nae na alichoandika hakiendani na majina aliyojipa ya DR. Askofu, mutume.. Matapeli tu wa Injili Hawa, wasitutor relini.. Na vile vile watulie, wanyoshe miguu wanywe uji wa TEC😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…