Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023

Na wewe una msimamo gani kuhusu hii issue ya bandari? Maana kama udini, Profesa Issa Shivji toka lini amekuwa mkristu na amepinga hadharani vipengele vya makubaliano hayo?
Hivi wakristu sio watanzania? Kwanini wasisimame na kupinga kitu ambacho hakiko sawa?
Mtu anayekimbilia udini mara nyingi huwa hana hoja, hana maono mapana, na ni mbabaishaji.
Dini gani wanayoisema hapa kwenye suala la bandari?
 
Tamko la mtu asie kuwa na akili hata kidogo ndio tamko gani Hilo lilolenga kuisema dini ya KIKRISTO yani huyu shehe kadhihirisha namba udini ulivyomkaa kwenye mishipa yake ya damu,kaongea pumba tupu sijui hata huwa anaambia nini waumini wake zaidi ya kuwapotosha

THIS IS BULLSHIT

Na wengine wanaosema wamesoma wanalibeba kama lilivyo na kulipigia debe🤣🤣🤣🤣
 
Ile vita yake ya maneno na mwaipopo iliishia wapi?
 
Haya maswali magumu sana sidhani kama atakujibu. Sidhani kama bila hicho chama walichoasisi babu zake Tanganyika isingepata uhuru.
Cpt,
Ukiona nimemkalia mtu kimya simjibu si kuwa sina jibu.
Huo ukimya ndilo jibu lake.
 
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
Funga mwenyewe
 
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
"Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia."

Ni Rais yupi ajwahi tukanwa or kejeliwa akiwa madarakani? Nyie ndio wadini kutaza swala hili kidini.
 
Fundi...
Ahsante sana.
Umeandika mengi.

Mimi sina haja ya kurejea na kusahihisha hayo uliyosema kwani nimeandika kitabu kizima kuhusu historia hii.

Ikiwa kuna atakae kujua ukweli na asome: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika," Minerva Press, London 1998.

Hao akina Denis Phombeah wote walifutwa kitabu cha Abdul Sykes ndicho kwa mara ya kwanza kikaeleza mchango wao.

Leo wewe unataka kunisomesha mimi historia ya Dr. Vedasto Kyaruzi olhali mie ndiye niliyemrejesha kundini?
Sasa hapo umekiri mwenyewe kuwa michango ya dr vedasto, lawi sijaona,john rupia, denis phombeah imefutwa na chakushangaza hawakuwa waislamu,sasa unasemaje kuwa historia ilifutwa kisa waislamu?
 
"Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia."

Ni Rais yupi ajwahi tukanwa or kejeliwa akiwa madarakani? Nyie ndio wadini kutaza swala hili kidini.
Zakaria kakobe,severin niwemugizi,na yule anaesema mwanakondoo ameshinda tumfuate hawa wote walimkabili mkristo mwenzao magufuli
 
Sasa hapo umekiri mwenyewe kuwa michango ya dr vedasto, lawi sijaona,john rupia, denis phombeah imefutwa na chakushangaza hawakuwa waislamu,sasa unasemaje kuwa historia ilifutwa kisa waislamu?
Mna...
Mchango wa Denis Phombeah akiwa Meneja wa Ukumbi wa Arnautoglo 1952 huwezi kuufananisha na mchango wa babu zangu walioanza harakati hizi kwa kuunda African Association 1929 na kujenga ofisi ya AA kati ya 1929 na 1933.

Vedasto Kyaruzi kaingia katika uongozi wa TAA 1950 kama Rais na Abdul Sykes Katibu.

Aliyesimama kidete kuhakikisha kuwa uongozi wa wazee Thomas Plantan Rais na Clement Mohamed Mtamila Katibu unatoka madarakani na vijana wadogo Dr. Kyaruzi na Abdul wanachukua uongozi wa TAA alikuwa Schneider Abdillah Plantan mdogo wake Thomas Plantan.

Huyu Schneider Plantan alikuwa mwandishi wa Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir katika taasisi aliyeunda Mufti - Daawat Islamiyya (Wito kwa Waislam).

Hawa ni watoto wa Affande Plantan aliyekuwa mkuu wa Germany Constabulary na aliingia Germany Ostafrika na Hermann von Wissman mwishoni mwa mwaka miaka ya 1800.

Affande Plantan akijulikana kwa jina la Chief Mohosh Shangaan alikuwa kiongozi wa jeshi la mamluki wa KIzulu waliletwa na Wajerumani kuja kupigana na Bushiri bin Salim Al Harith na Mtwa Mkwawa.

Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa miaka hiyo.

1688930297180.jpeg

Ufunguzi wa ofisi ya African Association 1933​
 
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
Huyo sheikh fala kweli, hao ndio nasheikh wapuuzi

Yaani yeye atuamrishe waislamu tufunge na tukunuti kisa mambo ya siasa??

Ndio maana sinaga muda wa kuwasikiliza masheikh wa BAKWATA
 
Mna...
Mchango wa Denis Phombeah akiwa Meneja wa Ukumbi wa Arnautoglo 1952 huwezi kuufananisha na mchango wa babu zangu walioanza harakati hizi kwa kuunda African Association 1929 na kujenga ofisi ya AA kati ya 1929 na 1933.

Vedasto Kyaruzi kaingia katika uongozi wa TAA 1950 kama Rais na Abdul Sykes Katibu.

Aliyesimama kidete kuhakikisha kuwa uongozi wa wazee Thomas Plantan Rais na Clement Mohamed Mtamila Katibu unatoka madarakani na vijana wadogo Dr. Kyaruzi na Abdul wanachukua uongozi wa TAA alikuwa Schneider Abdillah Plantan mdogo wake Thomas Plantan.

Huyu Schneider Plantan alikuwa mwandishi wa Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir katika taasisi aliyeunda Mufti - Daawat Islamiyya (Wito kwa Waislam).

Hawa ni watoto wa Affande Plantan aliyekuwa mkuu wa Germany Constabulary na aliingia Germany Ostafrika na Hermann von Wissman mwishoni mwa mwaka miaka ya 1800.

Affande Plantan akijulikana kwa jina la Chief Mohosh Shangaan alikuwa kiongozi wa jeshi la mamluki wa KIzulu waliletwa na Wajerumani kuja kupigana na Bushiri bin Salim Al Harith na Mtwa Mkwawa.

Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa miaka hiyo.

View attachment 2683419
Ufunguzi wa ofisi ya African Association 1933​
Kwahiyo mchango wa nyerere na bibi titi upi ni mkubwa ?
 
Kwahiyo mchango wa nyerere na bibi titi upi ni mkubwa ?
Mna...
Mwalimu Nyerere mchango wake ni mkubwa sana.
Yeye ndiye aliyekuwa kiongozi wa mapambano ya kudai uhuru.

Bi. Titi alikuw ubavuni kwa Mwalimu Nyerere wakati wa kupigania uhuru lakini huwezi kusema kuwa mchango wa Bi. Titi ni mkubwa kupita Mwalimu Nyerere.

1688932853709.jpeg

Bi. Titi Mohamed na Julius Nyerere wakihutubia katika mkutano wa TANU Viwanja Vya Jangwani​
 
Zakaria kakobe,severin niwemugizi,na yule anaesema mwanakondoo ameshinda tumfuate hawa wote walimkabili mkristo mwenzao magufuli
Viongozi wengi wa kikristo walimshambulia Magufuli. Sasa kama ukitaka kila kiongozi wa dini flani lazima amshambulie huo utakuwa utaahira. Watu wanashambulia or kukosoa kufuatana na sababu za msingi walizo nazo wao na sio lazima ziwe za msingi kwa kila mtu na huu ndio msingi mkubwa wa uhru wa kutoa maoni.
 
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
Pamoja na kuandika gazeti Hapa hakuna hoja ya maana zaidi ya kukingia kifua UISLAMU.
 
Mna...
Mwalimu Nyerere mchango wake ni mkubwa sana.
Yeye ndiye aliyekuwa kiongozi wa mapambano ya kudai uhuru.

Bi. Titi alikuw ubavuni kwa Mwalimu Nyerere wakati wa kupigania uhuru lakini huwezi kusema kuwa mchango wa Bi. Titi ni mkubwa kupita Mwalimu Nyerere.

View attachment 2683440
Bi. Titi Mohamed na Julius Nyerere wakihutubia katika mkutano wa TANU Viwanja Vya Jangwani​
Tunatambua uhuru au mapambano yeyote hauwezi kuwa peke yako lazima uwe na wenzio... mfano kwenye soka leo dunia inaamini messi ndie mchezaji bora kuwahi kutokea ila je akicheza pekeyake?
 
Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
Samia tena sio Tanzania ?

Nilidhani tunaiombea Tanzania sasa kila ambaye akiwa na nia ovu (ovu ni subjective) alaaniwa huoni kama Samia atafanya Samia anachotaka wakati anachotaka sio necessarily kina manufaa.... Huyu badala ya kuzima moto anaendeleza kutibua tu....

Mbona watu walivyokuja juu kwamba Bagamoyo inataka kuuziwa wachina watu hawakusema kwamba ni ubaguzi; au waarabu ni Tusi
 
Back
Top Bottom