Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

Kwani yeye anasemaje kuhusu mkataba wa DP WORLD, anaukubali kama ulivyo au warekebishe vipengele tata. Maana na yeye anaonekana kuongea kwa jaziba kama hao anaowatuhum.,
Inaonekana yeye hana neno na miradi ya kiuchumi.Kilichomkera ni mradi wa kiuchumi kugeuzwa ajenda ya kidini.Akaona na yeye kama mwananchi na mwenye akili na maoni basi asiwaachie viongozi wa kanisa pekee watoe yaliyojificha mioyoni mwao kwa mradi huu.
 
Ndugu yangu Fundi Mchundo, ukiwa unaogelea mtoni, akatokea kichaa moja akakomba nguo zako zote na kutimka nazo tafadhali usikurupuke na kuanza kumkimbiza! Ni hayo tu!

Huyo Mohamed Said, tumetoka naye mbali. Santuri yake ya udini kwa sasa imechuja, matango yake pori ya udini yamechacha au kwa kifupi simulizi zake hazina ladha tena. Ni hilo tu!
 
Ndugu yangu Fundi Mchundo, ukiwa unaogelea mtoni, akatokea kichaa moja akakomba nguo zako zote na kutimka nazo tafadhali usikurupuke na kuanza kumkimbiza! Ni hayo tu!

Huyo Mohamed Said, tumetoka naye mbali. Santuri yake ya udini kwa sasa imechuja, matango yake pori ya udini yamechacha au kwa kifupi simulizi zake hazina ladha tena. Ni hilo tu!
Mag3,
Si kweli usemayo.

Ningekuwa sigusi fikra zako ungenipuuza na huo ndiyo ungekuwa mwisho wetu mie na wewe.

Ukiniona unanisoma.
Tunaendelea kujadili.
 
Mohamed,hayo yote unayosema nayajua.
Kifo cha EAMWS ( taasisi iliyoanzishwa na Aga Khan mShia ambae nyie mnawaona apostate) kilitokana na wao kukataliwa na Karume ambae hakuwa mkristu kwa kuiona kuwa ni taasisi ya waarabu na wahindi. Aga Khan (muasisi wa EAMWS) muislamu hajawahi kuzuiwa kujenga Chuo Kikuu Tanzania.

Upendo ni mmisheni kutaifisha mamia ya shule za wamisheni ili kila raia aweze kupata elimu anayostahili. Upendo ni mmisheni kuchukua chuo kilichojengwa kwa fedha za umma na kuipa bure taasisi ya kiislamu ili wakigeuze kuwa Chuo Kikuu cha Kiislamu. Vyote hivi huvioni kwa sababu chuki za kidini ziko kwenye DNA yako.

Waislamu walipewa eneo la kujenga Chuo Kikuu chao Chang'ombe lakini hamkuweza kukiendeleza mpaka mwishoni mkaamua kukiuza kwa mfanyabiashara mmoja wa kiislamu. OIC haijawahi kuzuiwa kuanzisha Chuo Kikuu Tanzania. Kilichopigiwa kelele na Nyerere ni Zanzibar kujiunga kinyemela na OIC. Sasa kama rushwa ya kujiunga ili kuwa ni kujengewa Chuo Kikuu ndio kwanza nasikia. Na kama walikuwa na nia ya dhati ya kujenga hicho Chuo Kikuu kitu gani kinacho wazuia hadi leo?

Hawa maprofesa, madaktari na wasomi kibao wa kiislamu walipatikanaje wakati unasema wizara ya elimu haikutaka wapate elimu? Badala ya kujiangalia wenyewe na kujiuliza kwa nini vijana wenu hawafanyi vizuri kama vijana wa dini nyingine, unashinda kutafuta mchawi. Na kwa vile sio waislamu wote ambao hawafanyi vizuri ingekuwa busara zaidi kujifunza kutoka wale wanaofanya vizuri pamoa na wale wa dini nyingine wanaofanya vizuri.

Hizo shule za FEZA, Al-Muntazir ni za wakristu? Shule gani ya kiislamu iliyohujumiwa kwa sababu tu ni ya kiislamu na sio kwa sababu ya matendo ya uongozi wake? Au unazungumzia ile shule iliyomdhulumu maksi binti maskini wa kiislamu na kuwapa wale wenye uwezo wa kifedha? Ulitaka isiadhibiwe kwa sababu ilikuwa inamilikiwa na kuendeshwa na waislamu? Seriously!

Hilo la kufuta historia ya mchango wa waislamu tumeijadili sana humu ndani na imekuwa debunked. Tofauti na unavyotaka mchango wa wazazi wako wa Gerezani wapewe kipaumbele, ukweli ni kuwa watu kutoka dini na makabila yote walipigania uhuru bila kujali dini au kabila zao. Hao wakina Sykes, walipigania kama wazalendo wa kitanganyika na sio waislamu. Hawakupigania uhuru ili kuigeuza Tanganyika iwe Caliphate bali iwe nchi ambayo watoto wao na wa wakina Julius John, Dennis na wengine waweze kuishi pamoja kwa upendo na kuheshimiana katika nchi yao ya Tanganyika. Kitu ambacho kwa kiasi kikubwa walifanikiwa na kitaendelea kufanikiwa pamoja na juhudi zako wewe na wenzako za kupanda mbegu za chuki katika jamii yetu.

Mwenyewe unajua kuwa hamna jipya tunaloweza kujadiliana kuhusu mchango wa waislamu katika jamii yetu. Ushahidi mwingi uliouweka uligundulika kuwa ni fake au ulikuwa wa kupotosha. Mimi sikatai kuwa waislamu kama wakina Sykes, Aziz, Mwapachu walitoa mchango mkubwa katika juhudi za ukombozi wa nchi hii. Ninachokataa ni wewe kutaka mchango wao upewe nafasi kubwa kuliko wa wakina Julius na John kwa sababu tu ni waislamu.

Ninakataa kuwa mchango wao haukupewa uzito uliostahili kwa sababu ya dini yao kwa sababu mchango wa wakristu wengi tu kama wakina Vedastus Kyaruzi, Dennis Phombeah, John mwakangale, John Rupia, Mwanjisi na wengine wengi tu nao haujapewa heshima inayostahili. Nyerere pamoja na kuwa mkatoliki lakini aliwatia kizuizini wakristu wengi na kuwafungulia wengi kesi za uhaini. Kumgeuza mdini ni kutomtendea haki. Nyerere ana mengi ya kukoselewa lakini sio kwenye masuala ya ubaguzi hasa wa dini.

Amandla...

Nguruvi3 JokaKuu Mag3

Mzee MS. Mzee wa spinning, hahaaa!

Usipate tabu na MS, siku akisikia Wakristo na Waislamu wamechinjana atapata Faraja sana.

Unakumbuka alituletea habari ya Sivalon kuwa Baraza zima la mawaziri lina Wakatoliki! Na kuwa mfumo wa namba kwa Watahiniwa ulianzishwa na Kighoma Malima.

Huyu ni aina ya Watu wachonganishi ambao hutumia ukweli na uongo kuwagombanisha Ndugu na yeye kujifanya mwema sana.



Mzee MS tupe burdani kidogo ya picha zako Europe.
 
Hawa wanasahau kuwa Hata mangungo Alikua Ana Dini mana ukanda Wa Pwani Ilikua tayari umeshapokea Dini zilizokuja na majahazi Tangu Karne ya 12 . Hata Hivyo mangungo hakuuza Ardhi ya Zanzibar Kwa sababu Ilikua Ina utawala wake. Na mangungo hakuona Mbele kuwa wale Wageni wangekua na athari kiasi Gani Kwa vizazi Mbele yake.

Kwa mkataba Huu Wa DPW Hata usalama Wa nchi Utakua na wakati mgumu sana sana sana. Ni kweli Hawa Jamaa watagawa pesa nyingi sana Kwa watu Kwa sababu Wana agenda ya miaka mingi Mbele .

Ni kweli mashehe na Waislam ni rahisi sana kutumika na kuligawa taifa na Hata kuliingiza kwenye vurugu na ugaidi Mkubwa Zaidi ambao haujawahi kutokea Kwa sababu kubwa kuwa Hawa Waarabu kupitia Dini wanakujaga mara ZOTE na pesa na misaada mikubwa ya kujenga misikiti Kila MAHALI. Kujenga Nyumba za ibada Kwa Waarabu ni thawabu kubwa sana na Serikali zao zinaebdeshwa kidini . Magaidi hua wanaandaliwa na Matajiri Wa Kiarabu kushirikiana na Nchi za Magharibi hasa Marekani.
Hata Hao Dubai wanajua kuwa Mwenyezi MUNGU hakuruhusu Mwanamke kuwa Sultani na kuongoza nchi. Waarabu wanajua wazi kuwa Kipindi hiki Chini ya mwavuli Wa Demokrasia feki ya CCM iliyoruhusu nchi kugawanyika Kwa manufaa ya Wachache ,ndicho kipindi Cha kurejesha Utawala Wa kisultani na koloni lao.

Mfano Ikitokea vita Kati ya Tanzania na Msumbiji au Rwanda nini kitatokea ?
Nadhani wakubwa Wa vyombo Vya Dola hawana habari na hili Kwa sababu vita Kwa nafasi zao haviwagusi wanaweza wakajificha HUKO Dubai na familia zao lakini . Tabú kubwa itabaki Kwa wapiganaji Wa Chini na familia zao.
Ikitokea vitaka Kati ya Tanzania na Msumbiji au Malawi au Rwanda ni wazi kuwa DPW watanunuliwa na upande wenye fedha nyingi ikiwemo upande unaosaidiwa na Marekani na nchi za kibepari.
DPW watazorotesha usalama Wa nchi na kutoa Siri Kwa adui Kwa urahisi sana. Vita za Mataifa na Ukoloni mambo Leo unaongozwa na Nguvu ya kipesa . MWENYE pesa za Kununua mamluki ndiye anayeshinda .
Nchi imeuzwa Kwa mkataba Huu. CCM miaka yote inatumia Dini na ukabila kudhoifisha umoja Wa watanzania dhidi ya udhaifu wao.
Kama hawajui ni Kwamba bandari ni suala la Muungano lakini wameanza na bandari ya DSM Kisha Zanzibar itafuata Kwa mgongo Wa Nyuma. Watapandikiza Kibaraka wao kule na miaka michache ijayo bandari ya Zanzibar itauzwa kutokana na ukweli kuwa mizigo yote itaishia DSM Toka Dubai.
Zanzibar itabidi iuzwe Kwa sababu BIDHAA nyingi watazifuata DSM Badala ya Dubai. Hapo watakwepa vipi kuiuza bandari ya Zanzibar.


Tanzania kiusalama haifungamani na China Wala Marekani lakini Kwa mkataba Huu Tanzania italazimishwa kufungamana na Marekani .
Bandaria kiusalama ni kiungo kikubwa sana wakati Wa uvamizi. Wakoloni walivamia bara la Afrika kupitia majahazi.

Usalama Wa nchi Hii Utakua mdogo sana .

Wazungu wanataka Madini yetu ya kuzalisha Betri Kwa wingi sana .
Wazungu wanataka Urenium, Wazungu wanataka dhahabu ,Wazungu wanataka malaa ya mawe Kwa Sasa , Wazungu wanataka mafuta yatakayopitia Tanga kutoka Uganda.

Mana Samia ameshindwa kuisimamia uchumi Wa nchi Hii Kwa asilimia mia moja . Haiwezekani uchumi Wa nchi Hii yenye rasilimali nyingi na watu wengi ushindwe kuimarika mpaka aje mgeni Kununua nchi . Hapana.
Mwarabu atakaa pale Bandarini Kwa mwaka mmoja tuu atapata pesa za Kununua vifaa vyote Vya kisasa Kwa pesa atakazovuna pale Bandarini.

Rais Kwa mamlaka aliyopewa ameshindwa kuamuru Bandari ifungwe kamera Kila Kona na Taarifa za mizigo yate na makontena yanayoingia yatumwe ofisini kwake . ?

Mashehe Badala ya kuishauri Serikali irekebishe vifungu vinavyokinzana na Kariba na uhuru Wa nchi yetu wao wanahangaika na wakosoaji na Udini wanaouanzisha wao Kwa manufaa ya MTU mmoja na familia yake?
Hii nchi SIO ya kifalme kuwa Labda Sisi wote ni Kama Watoto Wa Rais . No. Hii ni nchi ya kidemokrasia ,Rais anachaguliwa baada ya Kuomba kura . Anapobainika kuwa aliomba kura Kwa malengo yake basi anatolewa madarakani Kwa kampeni kubwa au Kwa maandamano makubwa . Hafai kama halindi nchi na rasilimali za Nchi na usalama Wa nchi dhidi ya adui Wa NJE?

Hii nchi haikuwa na usalama Mkubwa dhidi ya maadui Wa Nje kimchezo mchezo . Wazee Wetu walijitesa Kwa kukataa kununuliwa na kuiuza nchi Ili kulinda uhuru Wetu na utaifa Wetu , Amani yetu na umoja Wetu. Tungeweza kuwa kama Kongo .
Kongo waliuza nchi Yao Kwa Ufaransa wao wakabaki na magitaa ya kucheza rumba. Sasa Sisi leo tunauza nchi yetu Kwa Waarabu ,tutabaki na Simba na Yanga . Na makanisa feki na manabii feki na misikiti itakayojazana na waumini wasio na Elimu ya kujitawala Wala kuutawala uchumi Wa kimataifa na rasilimali zetu. Taifa la wachuuzi Wa BIDHAA kutoka Nje. Wanyama Sasa watabebwa kwenye Meli na SIO ndege Tena. Miaka mia ijayo hapatakuwa na nchi moja ya Tanzania . Nchi itagawanyika vipande vipande , waafrika weusi watauana Kwa unafiki Wa kuwapigania matajiri Wa Kizungu na Kiarabu kama kule Sudani.
Watakaopata wakati mgumu ni Watoto Wa maskini watakaoajiriwa kwenye Majeshi. Hawatalala usingizi kwenye majumba Yao WAKIWA wameacha Sílaha kwenye maghala . Askari Watakwenda majumbani na Bunduki zao kama kule Kongo.
Hapata kuwa na nchi huru Bali ni pango la wezi.
Tumeuzwa Kwa sababu ya kushindwa kwake.

. Wawaulize WanaCCM Kule Zanzibar na Wazanizibara weusi WALIOKO Zanzibar ni Kwa Nini wapotayari muda wote KUFANYA Mapinduzi alimradi wasitawaliwe Tena na Hao Wageni na masalia yao?


Huyu ni lukuvi, anachochea chuki dhidi ya waarabu/waislamu akiwa kanisani, huyu na wewe mna tofauti gani? Haikutosha Zanzibar revolution hao ndugu zako wasio na dini wameuwa waarabu/waislamu hivi unafikiri wamesahau hilo! And then mnaleta choko choko za kibaguzi na kidini! Hivi waislamu wote nchini tukiamua wote kuungana unadhani mtabaki!! Tunawastahi tu mjue! Hivyo acha ubaguzi
 
Ndugu hawa jamaa ikija hoja ya udini yuko tayari atunge uongo ili aonekane ana haki.
Mfuatilie huyu mzee uongo anaomwaga daliy humu.
Kutwa kucha kuongelea wapigania uhuru. Muulize kuhusu John Okelo atakuambia hamjui
Huyo john wako, atakipata anachostahili kwa MwenyeziMungu, kwa madhambi aliyoyafanya dhidi ya waarabu/waislamu huko Zanzibar revolution
 

Huyu ni lukuvi, anachochea chuki dhidi ya waarabu/waislamu akiwa kanisani, huyu na wewe mna tofauti gani? Haikutosha Zanzibar revolution hao ndugu zako wasio na dini wameuwa waarabu/waislamu hivi unafikiri wamesahau hilo! And then mnaleta choko choko za kibaguzi na kidini! Hivi waislamu wote nchini tukiamua wote kuungana unadhani mtabaki!! Tunawastahi tu mjue! Hivyo acha ubaguzi
Ubaguzi ni upi na wakiarabu ni upi?

Kama wewe ni Mwafrika achana na biashara za Kiarabu na kuwabagua waafrika wenzako .
Leo hii ikitokea ajali au janga lolote linalowahusu watanzania maskini weusi hakuna Mhindi Wala muarabu anayekusaidia wewe mmatumbi zaidi ya mmatumbi mwenzako . Miaka mingi watu wa Kigoma , Tabora , Lindi Mtwara hawakua na Barabara zinazopitika Kwa uhakika lakini Waarabu na Wazungu walikuwapo na wapo miaka yote . Wanaangalia kwao na maslahi yao. Rasilimali za Nchi yetu ni Kwa ajili za Vizazi vya waafrika na sio wageni ndio maana mwenyzezi Mungu alituwekea waafrika kama akina Karume na wakawatoa hao wageni waovu na mashetani.

Shetani hajawahi kuuza mtu lakini Wazungu na Waarabu waliuza watu . Tunasimuliwa habari za shetani kama tunavyosimuliwa habari za Waarabu na Wazungu . Likini shetani hajawahi KUONEKANA akimuuza binadamu kama walivyofanya hao watu waovu wa mashariki na magharibu .
Kwangu Mimi hao ndio mashetani wanaotajwa.
Tunawakaribisha mashetani .

Utajiri wao usiondoe utu wetu Sisi waafrika na nchi yetu.
Wanawachanganyia dini na siasa bila kuangalia matendo yao ndio maana mnawaona kuwa ni watu wazuri kumbe ni mashetani wakubwa.

Hakuna mwafrika anaweza kupewa ardhi yenye mafuta Dubai .
Wazungu wametumia mabavu kupata mafuta Huko lakini sio ridhaa yao.


Kule Sudani weusi walijidanganya kuwa wako sawa na Waarabu lakini walipojaribu kushika madaraka ndio wakagundua kuwa wao ni Daraja la watumwa.

Kama unabisa vunja muungano Utaona Jinsi dini isivyo na nafasi kwenye kutawala maana watu wa dini Moja watabaguaja katika kushika madaraka. Utaona kuwa umoja unaousema ni kwasababu Kuna watu wa dini nyingine.

Ni lazima Tuthamini kile Mungu alichotupa Sisi watu weusi.
Mungu ametupa Rasilimali nyingi zaidi yao. Kuonyesha kuwa alitupenda kuliko wao wanaotaka kutununua na kutufanya watumwa.
Watoto wa Mfalme ni sisi waafrika na wao wanapaswa kuja Kununua na kuondoka sio kutufanya watumwa.
Wabaki na mafuta yao mana tunanunua na hawatupi Bure na hatuwaombi mana tukiamia waafrika tutachimba ya kwetu.
Ni viongozi wa hovyo TU ndio wanawaona Waarabu kama malaika na kuona kuwa wao ni Bora kuliko Sisi.

KILA KITU MWANADAMU ANAFUNDISHWA MAANA ELIMU ILILETWA ILI KILA MTU AIPATE AITUMIE KUENDESHA MAISHA YAKE NA KUONDOKANA NA UTUMWA NA UNYANYASAJI.
WAAFRIKA TUNA WASOMI WENGI TUWATUMIE SIO KUBAGIANA KWA ITIKADO ZA KIDINI.

DINI NI ELIMU PIA TUIFUATE KAMA INAVYOTUTAKA KUTENDA SIO KUTUMIA DINI KUWANYONYA NA KUWAFANYA WENGINE WATUMWA
 
Mm na familia yangu pamoja na ukoo wangu tunataka bandari yetu tu
Asante
 
Fundi...
Upendo gani huu wa kuivunja EAMWS kuzuia Waislam wasijenge Chuo Kikuu 1968?

Upendo gani huu serikali kukataa OIC wasijenge Chuo Kikuu Tanzania miaka ya 1970?

Upendo gani huu Wizara ya Elimu kuhodhiwa na kuwekwa mkakati wa kuzuia Waislam wasipate elimu ya juu?

Upendo gani huu NECTA kuhodhiwa na kuhujumu shule za Waislam?

Au haya huyajui?
Hivi ndiyo kuishi kwa upendo?

Imefikiwa hadi kufuta historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika kuwakwepa Waislam.

Nikairejesha historia hii kupitia kitabu cha Abdul Sykes.

Haya tunayazungumza hapa huu sasa mwaka wa 10.

Yapo mengi ikiwa utapenda nitayaweka hapa kwa ushahidi tujadiliane.

Uko tayari?
Kuna jitihada zozote umezifanya kujenga EAMWS mpya kwa maendeleo ya waislam?Hivi sasa Rais ni muislam huoni kuwa sasa ni wakati muafaka wa kutibu madonda mliyosababishiwa na Nyerere kwa kuanzisha huduma za kijamii hata ikibidi kusaini MoU na serikali?Wahenga walisema yaliyopita si ndwele,kwenye yajayo mmejipangaje?
 
Kuna jitihada zozote umezifanya kujenga EAMWS mpya kwa maendeleo ya waislam?Hivi sasa Rais ni muislam huoni kuwa sasa ni wakati muafaka wa kutibu madonda mliyosababishiwa na Nyerere kwa kuanzisha huduma za kijamii hata ikibidi kusaini MoU na serikali?Wahenga walisema yaliyopita si ndwele,kwenye yajayo mmejipangaje?

EAMWS ilikuwa ni jumuiya ya mashia. Viongozi wote wa juu na kati ni mashia ya kihindi na kiarabu chini ya patron dhalimu agakhan. Hio jumuiya ilishajifia miaka 40 iliyopita hivyo haina nafasi Kwa mazingira ya sasa.
 
Kuna jitihada zozote umezifanya kujenga EAMWS mpya kwa maendeleo ya waislam?Hivi sasa Rais ni muislam huoni kuwa sasa ni wakati muafaka wa kutibu madonda mliyosababishiwa na Nyerere kwa kuanzisha huduma za kijamii hata ikibidi kusaini MoU na serikali?Wahenga walisema yaliyopita si ndwele,kwenye yajayo mmejipangaje?
Nanta....
Huko tutashapita toka mwaka wa 1968.

Waislam katika miaka hiyo hadi leo wamejifunza mengi na wameweza kujenga taasisi nyingi hapa nchini.

Kazi iliyokuwapo ni kuziimarisha taasisi hizi.
 
Nanta....
Huko tutashapita toka mwaka wa 1968.

Waislam katika miaka hiyo hadi leo wamejifunza mengi na wameweza kujenga taasisi nyingi hapa nchini.

Kazi iliyokuwapo ni kuziimarisha taasisi hizi.
Unakubaliana na mimi kwamba EAMWS haikuwa na maslahi kwa majority ya watanzania nchini?Na kama ilikuwa ya Mashia huoni Mwl alipata ushauri kwa waislam wazalendo kuivunja kwa sababu ilishughulika na watu wa race ambao si wazawa kwa asilimia kubwa?
 
Unakubaliana na mimi kwamba EAMWS haikuwa na maslahi kwa majority ya watanzania nchini?Na kama ilikuwa ya Mashia huoni Mwl alipata ushauri kwa waislam wazalendo kuivunja kwa sababu ilishughulika na watu wa race ambao si wazawa kwa asilimia kubwa?
Nanta...
EAMWS ilikuwa jumuiya ya Waislam wote bila kujali rangi.

Kuna watu wawili tu waliotafiti na kuandika historia ya EAMWS: Dr. Mayanja Kiwanuka (1973) na Mohamed Said (1989).

Dr. Kiwanuka ameandika kuwa Julius Nyerere alikuwa na haki ya kuivunja EAMWS.
Mohamed Said kampinga.

Unaweza kuipata thesis ya Dr. Kiwanuka Maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Paper ya Mohamed Said link iko hapa: "Islam and Politics in Tanzania."

Sababu ya kuvunjwa EAMWS ni kuwa ilikuwa inajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968.
Kuna jamii hawakutaka kuona Waislam wanaelimika.

Mashirika yote ya Kikristo yanaendeshwa na Wazungu.
Hayakuvunjwa yapo mpaka leo.
 
Back
Top Bottom