Huyu ni lukuvi, anachochea chuki dhidi ya waarabu/waislamu akiwa kanisani, huyu na wewe mna tofauti gani? Haikutosha Zanzibar revolution hao ndugu zako wasio na dini wameuwa waarabu/waislamu hivi unafikiri wamesahau hilo! And then mnaleta choko choko za kibaguzi na kidini! Hivi waislamu wote nchini tukiamua wote kuungana unadhani mtabaki!! Tunawastahi tu mjue! Hivyo acha ubaguzi
Ubaguzi ni upi na wakiarabu ni upi?
Kama wewe ni Mwafrika achana na biashara za Kiarabu na kuwabagua waafrika wenzako .
Leo hii ikitokea ajali au janga lolote linalowahusu watanzania maskini weusi hakuna Mhindi Wala muarabu anayekusaidia wewe mmatumbi zaidi ya mmatumbi mwenzako . Miaka mingi watu wa Kigoma , Tabora , Lindi Mtwara hawakua na Barabara zinazopitika Kwa uhakika lakini Waarabu na Wazungu walikuwapo na wapo miaka yote . Wanaangalia kwao na maslahi yao. Rasilimali za Nchi yetu ni Kwa ajili za Vizazi vya waafrika na sio wageni ndio maana mwenyzezi Mungu alituwekea waafrika kama akina Karume na wakawatoa hao wageni waovu na mashetani.
Shetani hajawahi kuuza mtu lakini Wazungu na Waarabu waliuza watu . Tunasimuliwa habari za shetani kama tunavyosimuliwa habari za Waarabu na Wazungu . Likini shetani hajawahi KUONEKANA akimuuza binadamu kama walivyofanya hao watu waovu wa mashariki na magharibu .
Kwangu Mimi hao ndio mashetani wanaotajwa.
Tunawakaribisha mashetani .
Utajiri wao usiondoe utu wetu Sisi waafrika na nchi yetu.
Wanawachanganyia dini na siasa bila kuangalia matendo yao ndio maana mnawaona kuwa ni watu wazuri kumbe ni mashetani wakubwa.
Hakuna mwafrika anaweza kupewa ardhi yenye mafuta Dubai .
Wazungu wametumia mabavu kupata mafuta Huko lakini sio ridhaa yao.
Kule Sudani weusi walijidanganya kuwa wako sawa na Waarabu lakini walipojaribu kushika madaraka ndio wakagundua kuwa wao ni Daraja la watumwa.
Kama unabisa vunja muungano Utaona Jinsi dini isivyo na nafasi kwenye kutawala maana watu wa dini Moja watabaguaja katika kushika madaraka. Utaona kuwa umoja unaousema ni kwasababu Kuna watu wa dini nyingine.
Ni lazima Tuthamini kile Mungu alichotupa Sisi watu weusi.
Mungu ametupa Rasilimali nyingi zaidi yao. Kuonyesha kuwa alitupenda kuliko wao wanaotaka kutununua na kutufanya watumwa.
Watoto wa Mfalme ni sisi waafrika na wao wanapaswa kuja Kununua na kuondoka sio kutufanya watumwa.
Wabaki na mafuta yao mana tunanunua na hawatupi Bure na hatuwaombi mana tukiamia waafrika tutachimba ya kwetu.
Ni viongozi wa hovyo TU ndio wanawaona Waarabu kama malaika na kuona kuwa wao ni Bora kuliko Sisi.
KILA KITU MWANADAMU ANAFUNDISHWA MAANA ELIMU ILILETWA ILI KILA MTU AIPATE AITUMIE KUENDESHA MAISHA YAKE NA KUONDOKANA NA UTUMWA NA UNYANYASAJI.
WAAFRIKA TUNA WASOMI WENGI TUWATUMIE SIO KUBAGIANA KWA ITIKADO ZA KIDINI.
DINI NI ELIMU PIA TUIFUATE KAMA INAVYOTUTAKA KUTENDA SIO KUTUMIA DINI KUWANYONYA NA KUWAFANYA WENGINE WATUMWA