Jiwe...
''Waingereza walipoja kuitawala Tanganyika (kama Tanzania inavyojulikana) baada ya kuondoka Wajerumani baada ya Vita Kuu ya Kwanza, Wajerumani walikuwa wameshafanya kazi ya kutosha ya kuiweka Tanganyika ndani ya mamlaka mbalimbali za Kikristo.
Tanganyika ilikuwa imegawanywa katika mamlaka mbalimbali za Kikristo kutoka nchi tofauti za Ulaya.
Kanisa Katoliki ambalo ndilo lenye nguvu zaidi, lilikuwa tayari limeshajikita Tanganyika.
White Fathers walikuwa wapo Tabora, Karema, Kigoma, Mbeya, Mwanza na Bukoba; Holy Ghost Fathers walikuwa Morogoro na Kilimanjaro; Benedictine Fathers walikwepo Peramiho na Ndanda; Capuchin Fathers walikuwepo Dar es Salaam; Consolata Fathers walikuwepo Iringa na Meru; Passionist Fathers walikuwa Dodoma; Pallotine Fathers walikuwa Mbulu; Maryknoll Fathers walikuwapo Musoma; na Rosmillian Fathers walikuwa Iringa.''
(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes)
Haya mashirika yapo mpaka leo.
Jiwe...
''Waingereza walipoja kuitawala Tanganyika (kama Tanzania inavyojulikana) baada ya kuondoka Wajerumani baada ya Vita Kuu ya Kwanza, Wajerumani walikuwa wameshafanya kazi ya kutosha ya kuiweka Tanganyika ndani ya mamlaka mbalimbali za Kikristo.
Tanganyika ilikuwa imegawanywa katika mamlaka mbalimbali za Kikristo kutoka nchi tofauti za Ulaya.
Kanisa Katoliki ambalo ndilo lenye nguvu zaidi, lilikuwa tayari limeshajikita Tanganyika.
White Fathers walikuwa wapo Tabora, Karema, Kigoma, Mbeya, Mwanza na Bukoba; Holy Ghost Fathers walikuwa Morogoro na Kilimanjaro; Benedictine Fathers walikwepo Peramiho na Ndanda; Capuchin Fathers walikuwepo Dar es Salaam; Consolata Fathers walikuwepo Iringa na Meru; Passionist Fathers walikuwa Dodoma; Pallotine Fathers walikuwa Mbulu; Maryknoll Fathers walikuwapo Musoma; na Rosmillian Fathers walikuwa Iringa.''
(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes)
Haya mashirika yapo mpaka leo.
Dhehebu la dini liitabaki moja tu halijihusishi na huu ujinga.
Haya asome na wafunge na kulaani
1. Ikitokea hakuna chochote kimewatokea waliopinga tuamini dini hiyo haabudiwi Mola ila ibilisi?
2. Je kama anaowatetea wana makosa wamefanya hata ya kibinadamu na mkataba huo ukahitaji marekebisho madogo. Laana zimuendee nani?
3. Ikitokea hakuna Laana upande wowote si wapingaji wala wapingwaji ibada yake itasimama upande upi?
ANGALIZO: Watu wa dini wajikite na mambo ya ibada sio siasa wala hatakati maana ndani ya waumini wao hayo makundi wanayo kama wafuasi, hao anawachochea kufunga ajue wengine ni wanasiasa wengine hawakubaliani na Mkataba huo.
Afundishe maadili mema haya matatizo na usiri wa kila jambo, ubabe wa madaraka, vurugu na matukano ni dalili ya ukosefu wa Maadili mema kwa waumini wake.
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.
Hoja na mwelekeo wake
Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.
Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.
Wito
Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.
Jiwe...
''Waingereza walipoja kuitawala Tanganyika (kama Tanzania inavyojulikana) baada ya kuondoka Wajerumani baada ya Vita Kuu ya Kwanza, Wajerumani walikuwa wameshafanya kazi ya kutosha ya kuiweka Tanganyika ndani ya mamlaka mbalimbali za Kikristo.
Tanganyika ilikuwa imegawanywa katika mamlaka mbalimbali za Kikristo kutoka nchi tofauti za Ulaya.
Kanisa Katoliki ambalo ndilo lenye nguvu zaidi, lilikuwa tayari limeshajikita Tanganyika.
White Fathers walikuwa wapo Tabora, Karema, Kigoma, Mbeya, Mwanza na Bukoba; Holy Ghost Fathers walikuwa Morogoro na Kilimanjaro; Benedictine Fathers walikwepo Peramiho na Ndanda; Capuchin Fathers walikuwepo Dar es Salaam; Consolata Fathers walikuwepo Iringa na Meru; Passionist Fathers walikuwa Dodoma; Pallotine Fathers walikuwa Mbulu; Maryknoll Fathers walikuwapo Musoma; na Rosmillian Fathers walikuwa Iringa.''
(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes)
Haya mashirika yapo mpaka leo.
Umenichekesha sana mzee wangu.White fathers,Benedictine fathers,capuchin fathers si mashirika kama EAMWS.Those are religious congregations na wala hayajasajiliwa kama NGOs yanaoperate kwa mwamvuli wa kanisa katoliki
Kweli ufinyu we elimu ni mzigo kwa hawa masheikh ubwabwa. Nayeye kaamka kwa kubwatuka na jazba pasina sababu za msingi wala hoja. Ni viongozi gani hao wa kikristo waliomtukana samia suluhu hassan au nae anazusha taharuki.
Sheikh inatakiwa ajue maslahi ya rasilimali za nchi sio swala la waislam au wakristo au wasio na dini bali ni suala la watanzania wote.
Ukosoaji wa uwekezaji huo sio kwa wakristo tu bali hata umma wa waislam nao hawaridhii mkataba huo.
Sheikh inatakiwa afahamu kuwa hata utawala wa bwana magufuli ulikabiliwa na ukosolewaji mkubwa kutoka Kwa viongozi wa kanisa. Pastor mwingira, pastor James makulo, wito wa Tec kwa serikali au sheikh alikuwa asikilizi kipindi hicho! Miradi mingi ilikosolewa ikiwemo ule uwanja wa chato hatukusikia anasema anakosolewa kisa ni mkristo.
Viongozi wa dini na watu baki baada ya mh. Lissu kushambuliwa kwa risasi na nchi kusimama kwa muda huku umma wote wa watanzania ukilaani huku kila mmoja wetu akitoa matamko sheikh huyo akuwepo!. Katika utawala uliokabiriwa na ukosolewaji mkubwa basi ni wabwana magufuli, amini mtu yule alikataliwa na mamilioni ya Watanzania lakini hakuna hata mmoja aliefungua kinywa na kusema anakosolewa kisa ni mkristo au kuna dalili ya udini kwene ukosoaji, huenda sheikh alikuwa kalala.
Umma wa watanganyika hauupingi uwekezaji bali unapinga aina ya mkataba kwa maana watu wanahitaji kujua mashali ya tanganyika katika mkataba. Ni suala dogo tu, Watu wanahitaji mkataba ulio na maslahi kwa taifa. Utampaje mtu uhuru wa bandari zote na hata zitakazo kuwepo si baharini tu hata ziwani au mtoni au iwapo kutatokea fursa za bandari basi DPW wajulishwe.
Suala hili halina chembe ya udini hata kidogo, bali kuna watu wanazusha taharuki za udini ikiwemo sheikh mwenyewe, tawala zote zilizopita zilikumbwa na ukosolewaji lakini watu hawakuona ukosoaji huo kwa minajili ya udini bali kwa maslahi mapana ya taifa.
Ni juzi tu rais Samia alipongezwa na kusifiwa na umma wa watanzania ikiwemo mamilioni ya wakristo nchini, hakuibuka mtu akasema wanamsifia kwasababu ni muislam, Leo kuna ukosolewaji ambao ni jambo la kawaida hata kwa tawala zote zilizopita gafla mtu anasema kuna udini, ohhhh watu wanataka mh raisi eti ajiuzuru, huu ni upuuzi na ujinga unaopaswa kupuuzwa na kila mtanzani mwene akili timamu.
Mtu akisifiwa watu wapo kimya, akikosolewa watu kwa vinywa tena vipana wanasema kisa ni muislam. Pumbafu.
Suala la udini lipo na jana Slaa kaongea mambo ya uvatican na hichi kikundi cha SAUTI YA WA TANZANIA haya kaongea mwenyewe. Huyu mzee na wenzake kuwashika kuwabana mapumbu mpaka wawataje wote wanaofadhili hichi kikundi, Yeye mwenyewe kasema wanafadhiliwa na kikundi hichi hata mkutano wa tarehe 22 ni hawa. Sasa hapa ndio pakuanzia.
Jiwe...
''Waingereza walipoja kuitawala Tanganyika (kama Tanzania inavyojulikana) baada ya kuondoka Wajerumani baada ya Vita Kuu ya Kwanza, Wajerumani walikuwa wameshafanya kazi ya kutosha ya kuiweka Tanganyika ndani ya mamlaka mbalimbali za Kikristo.
Tanganyika ilikuwa imegawanywa katika mamlaka mbalimbali za Kikristo kutoka nchi tofauti za Ulaya.
Kanisa Katoliki ambalo ndilo lenye nguvu zaidi, lilikuwa tayari limeshajikita Tanganyika.
White Fathers walikuwa wapo Tabora, Karema, Kigoma, Mbeya, Mwanza na Bukoba; Holy Ghost Fathers walikuwa Morogoro na Kilimanjaro; Benedictine Fathers walikwepo Peramiho na Ndanda; Capuchin Fathers walikuwepo Dar es Salaam; Consolata Fathers walikuwepo Iringa na Meru; Passionist Fathers walikuwa Dodoma; Pallotine Fathers walikuwa Mbulu; Maryknoll Fathers walikuwapo Musoma; na Rosmillian Fathers walikuwa Iringa.''
(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes)
Haya mashirika yapo mpaka leo.
Leo ndiyo nimejua kumbe ww ni debe tupu. Hayo mashurika yamesajikiwa wapi? Ushawahi kuona ofisi ya White father. Nikusaidie hayo ni mashirik chini ya RC ni sehemu ya kanisa. Na ndiyo kanisa lenyewe
Leo ndiyo nimejua kumbe ww ni debe tupu. Hayo mashurika yamesajikiwa wapi? Ushawahi kuona ofisi ya White father. Nikusaidie hayo ni mashirik chini ya RC ni sehemu ya kanisa. Na ndiyo kanisa lenyewe
Umenichekesha sana mzee wangu.White fathers,Benedictine fathers,capuchin fathers si mashirika kama EAMWS.Those are religious congregations na wala hayajasajiliwa kama NGOs yanaoperate kwa mwamvuli wa kanisa katoliki
Nyabhera,
Samahani kwa kukosea jina lako na kuondoa shida hii nitaliandika kwa kirefu siku zote.
Wewe unaweza kuwa na tafsiri yako ya suala hili ambayo iko kinyume na yangu.
Mimi nina paper nzima nimeandika nakuwekea hapo chini kipande:
''Wamisionari hawa walipotia mguu pwani ya Afrika ya Mashariki, nia yao hasa ilikuwa kuufuta Uislam.
Wakazi wa pwani hii iliyokuwa ikijulikana kama Zanj waliuona Ukrsto kwa mara ya kwanza kabisa mwaka 1498 Wareno walipofika sehemu hizo.
Mwaka 1567 wamishionari wa Augustinian waliingia Afrika ya Mashariki kupambana na Uislam ili Ukristo uwe dini ya dunia nzima.
Kadinali Lavigirie alianzisha The White Fathers, taasisi ya Kanisa Katoliki kwa kusudi maalum la kuupiga vita Uislam Wakati huo huo Church Missionary Society (CMS) ilikuwa imejitwisha kazi ya kuondoa ulimwengu kutokana na Uislam, ujinga na giza.
Hadi hii leo White Fathers wapo Tanzania wapo Tanzania wakiendelea kufanya kazi iliyowaleta Tanganyika zaidi ya miaka mia iliyopita.
Wajerumani walipofika Tanganyika waliwakuta Waislam wanafahamu kuandika, kusoma na walikuwa wameelimika katika hesabu.
Mmishionari Ludwig Krapf alipofika kwa Chifu Kimweri wa Usambaa mwaka 1848 alimkuta yeye na wanae wote wanajua kusoma.
Herufi walizokuwa wakitumia zilikuwa za Kiarabu.''
Wamishionari wamekuja kuwastaarabisha watu Pwani ya Afrika ya Mashariki wakawakuta watu tayari wamestaarabika kwa miaka mingi sana.
Nyabhera,
Samahani kwa kukosea jina lako na kuondoa shida hii nitaliandika kwa kirefu siku zote.
Wewe unaweza kuwa na tafsiri yako ya suala hili ambayo iko kinyume na yangu.
Mimi nina paper nzima nimeandika nakuwekea hapo chini kipande:
''Wamisionari hawa walipotia mguu pwani ya Afrika ya Mashariki, nia yao hasa ilikuwa kuufuta Uislam.
Wakazi wa pwani hii iliyokuwa ikijulikana kama Zanj waliuona Ukrsto kwa mara ya kwanza kabisa mwaka 1498 Wareno walipofika sehemu hizo.
Mwaka 1567 wamishionari wa Augustinian waliingia Afrika ya Mashariki kupambana na Uislam ili Ukristo uwe dini ya dunia nzima.
Kadinali Lavigirie alianzisha The White Fathers, taasisi ya Kanisa Katoliki kwa kusudi maalum la kuupiga vita Uislam Wakati huo huo Church Missionary Society (CMS) ilikuwa imejitwisha kazi ya kuondoa ulimwengu kutokana na Uislam, ujinga na giza.
Hadi hii leo White Fathers wapo Tanzania wapo Tanzania wakiendelea kufanya kazi iliyowaleta Tanganyika zaidi ya miaka mia iliyopita.
Wajerumani walipofika Tanganyika waliwakuta Waislam wanafahamu kuandika, kusoma na walikuwa wameelimika katika hesabu.
Mmishionari Ludwig Krapf alipofika kwa Chifu Kimweri wa Usambaa mwaka 1848 alimkuta yeye na wanae wote wanajua kusoma.
Herufi walizokuwa wakitumia zilikuwa za Kiarabu.''
Wamishionari wamekuja kuwastaarabisha watu Pwani ya Afrika ya Mashariki wakawakuta watu tayari wamestaarabika kwa miaka mingi sana.
Ni lengo la Ukristo kuhubiri na kuwafanya mataifa wote kuwa Wakristo. Hilo si lengo la RC ama white father TU. Hiyo ndiyo mission ya Yesu kwa wanafunzi wake ya mwisho.
Katika kuhubiri na kubatiza huwalenga wote wasiolijua neno la Kristo wawe Wapangani, Budda ama Islamu.
Na hapo sioni kosa kwa kuwa katika kuinjilisha haijawahi kutumia mtutu wa bunduki ni kwa neno na utu TU.
Na naamini pia ni lengo la uslamu kuufanya ulimwengu mzima kuwa waislamu.
Hapa ushinda umekuwepo ila Dunia inataka ushindani uzingatie haki za binaadamu. Basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.