Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

Kabila husaidia kubaini aina ya makuzi aloyopitia mtu. Pia urithi wa kitamaduni katika kuchambua saikolojia ya mtu

Hivyo hapo nimekusudia kumuonesha Sheakh Kebeke hoja zake utamaduni wake na elimu yake.

Kutaja Umanyema wake inamaana kunasabisha.
Nyabhera,
Chunga ulimi wako.
 
Kwahiyo Mohamed Said Na wewe mzee wangu na akili zako zote ukameza hizi pumba nzima nzima kama zilivyo?
Sasa una tofaut gan na yeye ? [emoji23][emoji23]
Hadi sasa sijamuona kiongozi yeyote kutoka mama wa kambo akijadili content za mkataba zaidi ya propaganda za udini na kulalamika.Kuwa muumini wa dini fulani hakukupi immunity ya ufisadi.
 
Hadi sasa sijamuona kiongozi yeyote kutoka mama wa kambo akijadili content za mkataba zaidi ya propaganda za udini na kulalamika.Kuwa muumini wa dini fulani hakukupi immunity ya ufisadi.
Wazanzibari kila siku hawautaki muungano ila sisi wabongo huwa tunapiga kimyaaa , sasa safari hii wabara wameamua kionyesha waz kuwa hata wao hawautaki muungano nashangaa jamaa wame step back wakat ndio wamepata sapoti ya kuvunja muungano ilitakiwa washangilie ila kama wameingia ubaridi hiviii akina Mohamed Said Wanawaza sijui watakwenda wapi wakishapokwa sifa za kumilik mali huku ugenini watasnda kujazannia wapi kwenye tule tuviwanja twao tuwili twa 20 x 20 pemba na unguja..mwisho wa siku watazipiga tu wao kwao.


Yan na choko choko zao zooote za muungano safari hii wamekua kimyaaa ndio watetezi namba 1 wa muungano wanaouitaga koti linalowabana.

Yule bwana mmoja Jusa hapo kat akajitutumua kujifanya mbwai mbwai naona kapotea kimyaaaaaa nadhan wamemtia kimiani wakamwambia "tutakwe da ishi wapi tukivunja muungano", hao waarabu wanaojitapa nao hawana hifadhi ya kuwapa
 
Sheikh njaa njaa tu hana point. Ajenda ya dp world ishajulikana
 
Umenichekesha sana mzee wangu.White fathers,Benedictine fathers,capuchin fathers si mashirika kama EAMWS.Those are religious congregations na wala hayajasajiliwa kama NGOs yanaoperate kwa mwamvuli wa kanisa katoliki
Ana uelewa very limited huyu mzee.Mpaka kuna muda unamuonea huruma kwel kwel sijui alisoma somaje hii elimu yake mpaka hizo masters
 

Hongera kwa kupambna na kanisa ila pole sana mapambano yako niya bure mfumo wa kanisa dunia ya sasa huwezi ukwepa wala kuuangusha,all road leads to rome.
 
Mzee saidi,mbona unachuki sana na kanisa,wakati hata elimu unajinasibu nayo umeipata kupitia kanisa,je ndio kusema mfadhiri mbuzi,
 

Mkuu Mbona sijaelewa ulichokiandika hapa. andika upya kwa ufasaha tupate kuelewa.
 
Hongera kwa kupambna na kanisa ila pole sana mapambano yako niya bure mfumo wa kanisa dunia ya sasa huwezi ukwepa wala kuuangusha,all road leads to rome.
Jiwe...
Uislam unanikataza kufanya uadui.
Sijapata kupambana na kanisa na ningefanya hivyo ningeshondwa miaka mingi kwani hakuna mtu angependa kunisoma.

Lei nisingekuwa hapa JF.

Mimi naeleza ukweli wa historia yetu kama ilivyokuwa sipambani na yeyote.

Ndiyo naona hata unaponitukana na kunikejeli nanyamaza kimya.
 
1. Elimu
2. ELimu
3. Elimu
 
Mzee saidi,mbona unachuki sana na kanisa,wakati hata elimu unajinasibu nayo umeipata kupitia kanisa,je ndio kusema mfadhiri mbuzi,

Kuna muda unasoma maandishi yake unaamua kukaa kimya. Eti ukristo uliletwa nia yake ni kuuwa uislam.
Waarabu walikuja kueneza islam waliwakuta wenyeji tayali wana mila na desturi zao ikiwamo dini zao, vile vile wazungu walikuja kueneza ukristo kwa minajili ile ile ya Islam ya kusambaza dini yao, hakuna mvaa kobazi na vipedo alipigwa ili awe christians na ndio maana wazungu wakaenda zaidi sehemu ambazo arab hawakupita kwa wingi.
Mzee shida yake ni kutaka kuona wote tunakuwa waislam, hicho kitu hakitakaa kitokee sasa kama uislam uliletwa nini kinamuuma ukristo kuletwa, huu ni ujinga wa akili.
 
Ujamaa...
Hayo maneno ni ya White Fathers soma historia yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…