Mashindano tayari, kwahiyo ikiwa mfano ni ya kikristu? Yani hampendi amani kabisa mtakuwa na undugu na lucifer tu.Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.
Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Kwa hiyo mwaka mpya wa Gregorian Calender hamuutambui?Kwetu sisi Waislamu tuna sikukuu tatu tu, Iddi Al Fritr, Iddi Al Ad'ha na Iddi ya Jumaa, yaani kila siku ya Ijumaa.
Kusherehekea kupinduka mwaka kwetu sisi Waislamu haifai na ni jambo ambalo walio tutangulia hawakufanya na sisi Waislamu hatufanyi hivyo.
Ibaki ya kuwa Sikukuu ya Mwaka mpya wa Miladiya ni yenu nyinyi Wakristo na so yetu sisi. Na Sasa naona Waislamu mdogo mdogo wameanza kuelewa isipokuwa baadhi Yao ambayo wako mbali na dini yao, ila wataelewa tu kwa idhini ya Allah.
Kwa hiyo mwaka mpya nyie wavaa kobazi hamuutambui?Hawajitambui katika hilo la Mwaka mpya. Ila huenda huko mbeleni mpaka hilo la Mwaka mpya wakaachana nalo.
Tunatakiwa tumuheshimu Issa pia. Kwa hiyo sio kosa kushrehekea Bithday ya Siasa a.sHii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.
Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
shangaa na weweKwani wanaovuka mwaka ni wakristo tu....aisee....tunakoelekea hizi dini hizi..daah
😂😂😂yaan ni balaashangaa na wewe
Dunia inaendeshwa na Wakristo hivyo hakuna namnaHii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.
Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Tunautambua sababu imekuwa hivyo.Kwa hiyo mwaka mpya wa Gregorian Calender hamuutambui?
SIYO KWELI.all islams,christians and judaism are tied to the same individual,that is ibrahim
Mwaka mpya tulipigwa! sioni sabab za watu kufurahia kubadilika kwa number! wakat mambo yote yanabaki vile vile.Ukristo ni kama Maji.
Unamshukuru Alah kuuona mwaka mpya wa Kikristo ulioanzishwa na Papa Gregory wa kanisa Katoliki.Ni hivi; wewe kama unaona kuna faida kuishangilia basi shangilia ili ufaidike, jambo la msingi hapo ni kupata faida ya kushangilia.
Mfano mimi inapoingia mwaka mpya huku watu wakipiga honi, kelele, fataki nk, mimi hushika udhu na kuswali rakaa 2 za sunna/nafal kumshukuru Allah kwa kuuona mwaka mpya isitoshe pia kutoa shukurani kwa manufaa niliyopata katika mwaka uliopita.
Yesu alivaa nini ? Alivaa raba ?Kwa hiyo mwaka mpya nyie wavaa kobazi hamuutambui?
Hao hawaijui dini yao wala hawaifatilii. Kwahiyo hiyo siyo hoja.Kuna waislam wengi sana wanasherehekea
muislamu gani aliyesoma asilijue hilo? sasa kwa vile tuko katika ulimwengu wa watu wa dini zote tunanyamaza na kuwaachia wahusika washerehekee kama vile wanavyosherehekea wahindu na mayahudi na dini nyingine.Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.
Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili aSu kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Sasa kama mnautambua kwa nini mnakasirika waislam wenzenu wakisherehekea mwaka mpya?Tunautambua sababu imekuwa hivyo.
Sababu ni wajinga na wanakwenda kinyume na dini, kutambua jambo Fulani haimaanishi ya kuwa jambo husika ulifanye. Weka akilini hili.Sasa kama mnautambua kwa nini mnakasirika waislam wenzenu wakisherehekea mwaka mpya?
Kuusherehekea ni kosa, Ila kuutumia ni Sawa.Yesu alivaa nini ? Alivaa raba ?
Tunautambua kwa kujua idadi ya miaka kwa ufupi muda. Hatusherehekei sababu ni matumizi mabaya ya akili, muda na rasilimali.