Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

Dah! Mmenikumbusha mbali sana wadau!

19 tukifika tu uwanjani ni kujigawa timu mbili, hakuna cha zoezi la kupasha wala nini! And if wachezaji hawajatimia, tunacheza kipa mmoja!

20 mchezaji akiotea ni halali kuchezewa faulu!

21 Mchezaji akiambiwa atoke na akabisha, ananadiwa 'chambo' = ni halali kupigwa hata pale asipogusa mpira!
 
Sasa mbona namba 7 na 13 zinapingana?!
7 asiyeshiriki kutengeneza Mpira hatocheza!
13:mwenye Mpira huwa hatolewi ata akicheza vibaya!
SWALI vipi kuwe na mwenye Mpira na wewe umeshasema Mpira umetengenezwa na wote?! Tena asiyeshiriki kutengeneza hachezi,sasa mwenye Mpira ni nani tena hapo?!

Good argument!
 
Pia kuna ile mtu anacheza Kipa na ndani yaani ye ndo beki na pia ndo kipa, pia kuna kile kivita cha mawe na fimbo pale mkienda kucheza kitaa kingine,baada ya mpira inaanza vita ni full kukimbizana
 
18.Jezi ni kwamba upande mmoja wamevaa mwingine wamevua(mashati)
19. uwanja ni popote na kwa vipimo vyovyote (tushawahi kucheza mechi golikpa na golikipa hawonani-uwanja umekata kona
 
18.Jezi ni kwamba upande mmoja wamevaa mwingine wamevua(mashati)
19. uwanja ni popote na kwa vipimo vyovyote (tushawahi kucheza mechi golikpa na golikipa hawonani-uwanja umekata kona


Shikamoo 124 Ali, hiyo ya 19 ni balaa Hahaaa
 
mpira wa kurusha si lazma mikono miwili
 
viwanja vyetu kinondoni msisiri tulikuwa tunacheza ndani saba kipa wa nane kila upande
 
wengine tulikuwa tunatoka mapema ili tubadilishe(tuibe) viatu
 
refa anamaliza mpira akiwa mtaa wa pili yani kuogopa kichapo
 
2likuwa tunashindania mchele,timu ya wababe ikifungwa wanatia dole kisoft chenye mchele
 
Mkienda kucheza mechi mtaa mwingine ndala au malapa lazima uivae mikononi cz kikiwaka nduki unasepa zako hakunaga time ya kutafuta ndala uliweka wapi
 
Nakumbuka siku moja tulikua tunacheza mpira jamaa alinunuliwa ss akachezewa rafu akaenda kuvaa buti za shambani eti na yy acheze rafu! Ha ha ha!!!
 
juzi nimepita sehemu nimekuta madogo wamefungana 19 kwa 13!
 
Back
Top Bottom