Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 3,660
- 2,932
mpira wa kurusha mchezaji anajirushia,
magori hayana miamba ya juu inategemea urefu wa golikips
beki baunsa akikaba mpira anamalizia na teke la matakoni
Hahahahaha...... teke la ma.ta.koni........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpira wa kurusha mchezaji anajirushia,
magori hayana miamba ya juu inategemea urefu wa golikips
beki baunsa akikaba mpira anamalizia na teke la matakoni
kuna siku tulienda kucheza tabata walitusakizia mbwa baada ya kuwafunga 13-6
Bila shaka ulifaidi san mkuu,haahaha hizi sheria zimenikumbusha mbali.nilikua mwenye mpira siku zote lazima wakupape
Kabisa mkuu yaan ilikuwaga noma sana,nimecheka sana, mapumziko(halftime) hutokea muda wowote mzee "mnoko" akitokea au mwenye nyumba ambapo uwanja upo(ambaye mara nyingi hukataza watoto wasicheze mpira uwanjani kwakwe".
Hasa pale timu ya mwenye mpira ikifungwa ndo kasheshe zaidi,Ugomvi ulikua Ni lazima utokee.