Director D
Senior Member
- Feb 24, 2016
- 192
- 229
Haaaaahaaa huenda mlikuwa na watemi wengi mtaani,Tuna toka mbali mno.. Kwetu sisi game ilikuwa ikiisha kifuatacho ni ngumi na kurushiana majiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaahaaa huenda mlikuwa na watemi wengi mtaani,Tuna toka mbali mno.. Kwetu sisi game ilikuwa ikiisha kifuatacho ni ngumi na kurushiana majiwe
Kama kawaida hvyo ndo ilikuwa aisee wenye mipira walkuwaga nuksi sana,Nimecheka vibaya sanaaa yaaani unanikumbusha mbali kinomi.Yaani mwenye mpira alikuwa kama Mungu halafu sasa mchezaji anayejua jua kucheza kila mtu anamtaka awe upande wake
Kama kwenu kuna Tv hukosi namba na hata kama ulichelewa ukifika uwanjani lazima atafutwe mnyonge atoke.[/QUOTE
Ndio ndio, mkuu,
Mlitisha sana aiseee,Nilikuwa Mtaalamu sana wa kufuma mipira ya Makaratasi hata uwe na kucha ndefu za Miguu au kupiga 'dochi' huwezi kuufumua. 1965-1975 Mission Quatre Kariakoo mkimaliza mpira mnafata Bagia Mnazi mmona
Mh hii miaka iko sawa?Nilikuwa Mtaalamu sana wa kufuma mipira ya Makaratasi hata uwe na kucha ndefu za Miguu au kupiga 'dochi' huwezi kuufumua. 1965-1975 Mission Quatre Kariakoo mkimaliza mpira mnafata Bagia Mnazi mmona
Tena bila ubishi yaan,kona zikizidi tatu tu bhas hiyo itakua penalt.
mnyonge akikataa kutoka anaitwa nyama. hapo ni ruhusa kummanga kila akigusa mpira.Kama kwenu kuna Tv hukosi namba na hata kama ulichelewa ukifika uwanjani lazima atafutwe mnyonge atoke.
Haahaahaaahaaa umenchekesha san aisee iyo ilikuwa kweli kabisa na wakati fulan hata unaogopa kuwakaba,Wachezaji wenye machacha ni ngumu kupata Namba kwa hofu ya kupasua mpira ama kuharibu mpira!
Acha kabisa mpaka machoZi yamenilenga lenga nikikumbuka nyakati zile acha kabisa!Haahaahaaahaaa umenchekesha san aisee iyo ilikuwa kweli kabisa na wakati fulan hata unaogopa kuwakaba,
Old is Good men, kiukwel utoto wa zaman ilikuwaga raha san,Acha kabisa mpaka machoZi yamenilenga lenga nikikumbuka nyakati zile acha kabisa!
Watoto wa siku hizi hawaenjoy maisha kabisa, sana wanawahi kufanya ngono mapema kitu ambacho enzi zetu hakuna!.Old is men, kiukwel utoto wa zaman ilikuwaga raha san,