Director D
Senior Member
- Feb 24, 2016
- 192
- 229
Haahaaahaa Ewaaa!! Umenena vyema kabsa,Hahaha...na kulikua na sheria ya kipa na ndani mkizidiwa kipa anaweza kucheza katikati huku anarudi kudaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaaahaa Ewaaa!! Umenena vyema kabsa,Hahaha...na kulikua na sheria ya kipa na ndani mkizidiwa kipa anaweza kucheza katikati huku anarudi kudaka
Kabsa yaan enz hizo si hatujui hata dem ni nani yaan huwazi hvy vitu hata kidogo,Watoto wa siku hizi hawaenjoy maisha kabisa, sana wanawahi kufanya ngono mapema kitu ambacho enzi zetu hakuna!.
Tatizo yale maeneo yote ya wazi wameyafisadi na barabarani hawawezi kucheza magari yamekuwa mengi, enzi zile iliogopwa baiskeli. Ila wababe wa mtaa siku hizi siwasikii kabisa.Watoto wa siku hizi hawaenjoy maisha kabisa, sana wanawahi kufanya ngono mapema kitu ambacho enzi zetu hakuna!.
Watoto wetu,kutwa wapo kwa Play stations,ndio viwanja vyao Eti!Watoto wa siku hizi hawaenjoy maisha kabisa, sana wanawahi kufanya ngono mapema kitu ambacho enzi zetu hakuna!.
Basi mkawa mnamwaminia sana uongo?Dah! umenikumbusha zamani pale tx kino ndani ya uwanja wa kanisa la RC na mpira wetu unaitwa nyuzi mbanano bei yake ulikuwa 500. Rafik yangu ndie alikua straiker yeye ndie aliekuwa anaweza kubetua mpira kwa nyuma na kuuleta kwa mbele.
Na ukimnyima pasi anatishia kukutoa nje,Mwenye mpira hurusiwi kumpiga chenga
Hahahaa hii sredi imenifanya nicheke nadhani mpaka majirani wameshangaa..Naona wababa,mnakumbushia enzi zenu.Teh
Baada ya mpira kuishi,kasheshe ipo home
Mnanawa miguu badala ya kuoga.LOL
Passpot zilihusika sana hasa kipindi cha baridi haogi mtu labda kama hom kuna ubwabwa siku hiyo,Naona wababa,mnakumbushia enzi zenu.Teh
Baada ya mpira kuishi,kasheshe ipo home
Mnanawa miguu badala ya kuoga.LOL
JF ya watu mkuu hata miaka hiyo cha ndimu kilikuwepoMh hii miaka iko sawa?
Kama kwenu kuna Tv hukosi namba na hata kama ulichelewa ukifika uwanjani lazima atafutwe mnyonge atoke.