MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,763
- 5,607
Kama ukizuiwa kucheza ukalazimisha na kukutoa ikashindikana utakuwa free akipigwa buti na timu zote mbili vyovyote vile hata kama ni teke( pengine inaitwa nyama yaani unaliwa na kila mtu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaahh, na wakishindwa kuafikiana watakaofungwa wa kwanza ndio wanavua.Timu A ikivaa mashati, lazima timu wacheze vifua wazi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenye mpira akichezewa timba lazima akurudishie hapo hapo na kama hutaki mpira unaishia hapo hapo
Au unatoka njeMwenye mpira akichezewa timba lazima akurudishie hapo hapo na kama hutaki mpira unaishia hapo hapo