Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

Sijui watoto wetu wamepumbazwa na ma-TV? Yaani wanacheza kwa kusuasua sana, wakati enzi zile tulikuwa tunatoka mtaa kwenda kushindana na mtaa mwingine au kijiji kimoja na kingine! Mkitoka suluhu zinapigwa ngumi angalau timu moja ionekane bingwa!!
Viwanja viko wapi mkuu? Labda kwa vijijini tu lakni mjini watu wamejenga kila sehemu
 
Viwanja viko wapi mkuu? Labda kwa vijijini tu lakni mjini watu wamejenga kila sehemu
Hapo umenena kweli mkuu,, kwa iyo suluhisho watoto wameona wajikalie nyumbani tu kuangalia TV. Hii ni changamoto kwa serikali yetu, inatakiwa hili ilifanyie kazi ili watoto wapate muda wa kucheza.
 
  • Thanks
Reactions: GUI
Sisi tulikuwaga na kiwanja basi hata huyo mwenye mpira tukigombana tu mpira hauchezeki
 
Sisi tulikuwa na sheria chache.
1.faulo pekee hata penati ni kushika
2.mpira ukitoka anaewahi ndio anarusha
3.hamna kona
4.hamna half time
5.giza ndio linaamua mpira uishe
6.mwenye mpira lazima acheze
7.mnyonge ndio kipa
8.hamna jezi,mwendo ni kuvaa au kuvua shati
9.hamna kucheza na viatu
10.anaejua yaani fundi lazima acheze mara nyingi huwa wanaringa sana
 
Sisi tulikuwa na sheria chache.
1.faulo pekee hata penati ni kushika
2.mpira ukitoka anaewahi ndio anarusha
3.hamna kona
4.hamna half time
5.giza ndio linaamua mpira uishe
6.mwenye mpira lazima acheze
7.mnyonge ndio kipa
8.hamna jezi,mwendo ni kuvaa au kuvua shati
9.hamna kucheza na viatu
10.anaejua yaani fundi lazima acheze mara nyingi huwa wanaringa sana
Mimi namba 10[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
16. Mtaalamu akija uwanjani amechelewa mtu yoyote atatolewa muda huo huo.
17. Ligi zake ni kugombania kuku
18. Kuvunjana miguu, mikono, kuchubuka na kuumia kidole gumba cha mguu ni sehemu ya mchezo.
19. Beki anatosha kuwepo mmoja wengine wote waende mbele kutafuta ushindi wa magoli.
20. Jua likishazama muda wa kucheza rafu ndio unaanza.
21. Wachezaji wa timu hawatimii 11 wakiwepo uwanjani angalau wa5 tu mpira unachezwa. Pia hawachezi kwa namba unaweza kumkuta mfungaji amerudi nyuma kuwa beki anazuia mashambulizi.
 
Hapo umenena kweli mkuu,, kwa iyo suluhisho watoto wameona wajikalie nyumbani tu kuangalia TV. Hii ni changamoto kwa serikali yetu, inatakiwa hili ilifanyie kazi ili watoto wapate muda wa kucheza.
Na ndiyo maana wanaamua kuwa panya road
 
Hahahaha zamani sana mkuu
Mnaingia mkiwa mko sawa
Atakayeanza kufungwa wanavua mashati wanabaki vifua wazi
Duh zamani tumefaidi mengi sana
Watoto wa siku hizi mdebwedo tu
Watoto wa siku hzi wanashinda facebook kuomba namba za simu
 
Back
Top Bottom