Penati inapigwa juu ya lundo la mchanga
Sasa mbona namba 7 na 13 zinapingana?!
7 asiyeshiriki kutengeneza Mpira hatocheza!
13:mwenye Mpira huwa hatolewi ata akicheza vibaya!
SWALI vipi kuwe na mwenye Mpira na wewe umeshasema Mpira umetengenezwa na wote?! Tena asiyeshiriki kutengeneza hachezi,sasa mwenye Mpira ni nani tena hapo?!
18.Jezi ni kwamba upande mmoja wamevaa mwingine wamevua(mashati)
19. uwanja ni popote na kwa vipimo vyovyote (tushawahi kucheza mechi golikpa na golikipa hawonani-uwanja umekata kona