Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Kweli tembea uone maajabu 😂😂
 
Dah! Wewe mbona ni mjinga sana aisee? Kanzu ni vazi la ibada???
Kanzu sio vazi la ibada bali ni vazi linalovaliwa zaidi na waarabu huko Arabuni na hushonwa kwa staili tofauti tofauti baina ya nchi na Nchi !
 
Wewe mpumbavu acha kufananisha Tanzania na hizo nchi zingine. Kama una hamu ya fashion shop hamia kwenye nchi ambazo zipo. Watu wanaumiza vichwa kuona tunaendelea kuishi kwa amani halafu wewe unaleta ubishi wa kingese. Huo upumbavu mpelekee mama yako aliyeshindwa kukulea kwa maadili mema.
 
Upo sahihi...kuna na ile ya "ni marufuku kupiga picha hapa" [emoji3]...wakati ambapo nikitumia Google earth naweza kuona kila kitu mpaka mtu aliyekuwa anaenda chooni wakati satellite ilipochukua picha last time!

These people need to change!
 
badala ya kubeza na kufokea wanajeshi tungelishauri jeshi letu kupitia bunge kutunga sheria mpya zihusuyo mavazi yake.
ili kutokwanza raia wenye mapenzi na rangi za nguo hizo za jeshi basi uandaliwe utaratbu mzuri wa mtu kuzivaa,endapo atauvunja basi awajibike mfano-

1-ni ruksa kuvaa isipokuwa uniform kamili,yaani mpaka ishindikane kutofautisha raia na mwanajeshi/askari aliyeko kazini.

2-ni marufuku kuvaa nguo hiyo na malapa,singilendi,kuivaa mlegezo,au kulewa ukiwa nayo.

3-usiivae nguo hiyo na alama yoyote ya cheo,au alama nyingine zinazowakilisha cheo na mamlaka ya maafisa na askari.

4-marufuku kuonekana umevaa nguo hiyo kisha unakata viuno,umelewa sana mpaka umeanguka😂😂.

5-ukivaa chochote kati ya nguo hizo koti,mkoba ama begi,ama rain coat hakikisha ni visafi kweli kweli.

hii ingejengea zaidi jeshi heshima kuliko kuendelea kulichoresha kama ilivyo sasa.
 
Sheria hii ifanyiwe marekebisho, adhabu iongezwe!
 
Mwanafunzi hapendi kuvaa sare za shule

Madereva na makonda hawapendi kuvaa sare zao za kazi

Majeshi hawapendi kuvaa sare zao za kazi

Ninyi wananchi ambao hamna sare mnanini hadi kutaka kuvaa sare au nguo zifananazo na majeshi?

Ushauri wangu kwa wale wote wanaopenda kuvaa sare za wenzao za kazi. Wachukuwe za madereva daladala maana wao hawapendi kuvaa!
 
Mjeshi naona umewaka hatari
 
Tanzania kuna jeshi??[emoji23][emoji23][emoji23]
Au wendawazimu ??
Hakuna. Wanafikiri kuvuta bangi na kujichetua na magwanda ndiyo uanajeshi kumbe ni ushamba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…