Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Hakuna anayekomalia. Tunachosema hakuna uhalali Wala sababu ya jeshi kuacha majukumu yake ya msingi na kuanza kugombana na raia eti kisa wamevaa mavazi yanayofanana na sare zao. Ni ujuha.

Mavazi ya jeshi yana nembo. Raia akivaa sare za jeshi (vazi lenye nembo ya jeshi ) hapo akikamatwa Sina nongwa. Lkn akivaa vazi halina nembo ya jeshi, ikn linafanana rangi na kila kitu cha jeshi, hilo siyo mali ya jeshi. Ni ujinga.
Hivi imagine Kila kitu kinafanana kasoro nembo huoni Kwa tz inaweza kutumika kutapeli au kuonea watu...huko vijijini raia wanajua kweli mambo ya nembo?
 
Ni za mtumba lakini, Gwanda za.Jeshi zinajulikana
Kuna kaujinga, kaushamba na kaulimbukeni fulani kanatusumbua watanzania.

Nakumbuka hata prof. Ndalichako kwa umbumbumbu huu huu kama walionao wanajeshi alipiga marufuku wanafunzi wa sekondari , msingi na chekechea kuvaa majoho wakati mahafali. Ni upuuzi.
 
Kila nchi inaongozwa kwa utaratibu huwezi kuamka tu huko Umeshiba maharage unafikira kuvaa Combart za jeshi Watu wametoa machozi,jasho na damu kuzipata hizo....
Licha ya hivyo Tukumbuke kuwa kila mtu akianza kujiamria kutumia Mavazi ya Jeshi au taasisi yoyote kwa kuamua tu sidhani kama itakuwa sahihi....

Na hakuna nchi ambayo mtu anaamua tu kuvaa combart its Either ni msanii ama mwanamziki ambao kwa sheria hiyo hiyo ya Penal code 178 imeruhusu mtu yyte kutumia ila kwa kibali maalum cha kuzitumia kwa shughuli za kisanii
Nakubaliana yaani Kila mtu katimba mabaka mabaka eti kisa marekani wanavaa! Mbona tunapinga ushoga na marekani wanaukubali?
 
Hivi imagine Kila kitu kinafanana kasoro nembo huoni Kwa tz inaweza kutumika kutapeli au kuonea watu...huko vijijini raia wanajua kweli mambo ya nembo?
Kumbe tungejikita kuwaelimisha watu. Nguo za migambo waliotapakaa nchi nzima kila mtaa zinafanana na sare za polisi mbona haziongelewi?

Wanaotapeli kwa kofia ya kujifanya maafisa usalama wanatapeli mpk ofisini za serikali huko. Kwann hawaongelewi?

Kuna ka ujinga fulani ka wanajeshi kutaka kujiona wako tofauti kwa mavazi peke yake badala ya maarifa.
 
Acha upumbavu huu, combat za jwtz ni tofauti kabisa na camouflage clothes, uoga wako na kutojua sheria ndio unafanya nchi hii iwe kama police state, mwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia au to arrest,kazi ya arresting ni police pekee, jwtz watimize wajibu wao wa kulinda our borders ambazo sasa ni porous borders, msomali anakatiza nchi yetu kutoka North hadi South bila ya kuonekana
Mtu unavaa nguo inayofanana na ya jeshi ili nini? Kwamba umekosa nguo nyingine kabisa?
Acha wapigwe tu ili akili iwakae sawa. Tz ukijifanya unaijua sheria kuliko sheria yenyewe ilihali umekosea utajua hujui. Huku sheria zipo kama ushahidi tu, ukileta ujuaji utabondwa tu na baada ya hapo hata hiyo sheria utakua umesahau.
 
Kumbe tungejikita kuwaelimisha watu. Nguo za migambo waliotapakaa nchi nzima kila mtaa zinafanana na sare za polisi mbona haziongelewi?

Wanaotapeli kwa kofia ya kujifanya maafisa usalama wanatapeli mpk ofisini za serikali huko. Kwann hawaongelewi?

Kuna ka ujinga fulani ka wanajeshi kutaka kujiona wako tofauti kwa mavazi peke yake badala ya maarifa.
Kwanini uvae nguo ya jeshi? kwamba umekosa nguo nyingine kabisa wapigwe tu hakuna namna.
 
I agree. Ni ushamba na kukosa majukumu ya kufanya ya jeshi letu.
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?

Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.

Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?

Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.

Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Nilitegemea wanajipanga kama walinzi wa taifa kukemea uwekezaji bandari loh! Kumbe wenzetu wanafikiria mambo tofauti kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?

Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.

Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?

Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.

Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.

Kukataza watu kutumia nembo zao za taifa kama bendera, wimbo wa taifa na tunu zingine ilikua ujinga wa kiwango cha lami ndo maana wabongo wengi hawana uzalendo na nchi yao. Leo hii mtu akimaliza shule ya msingi anasahau kabisa wimbo wa taifa, ukienda nchi zingine zinapigwa kila kona, kila mtu ana bendera ya nchi yake. Bongo unafundishwa kuichukia nchi yako.
 
Back
Top Bottom