- Thread starter
- #41
Ni haki yangu na ndiyo niliyoichagua.Mtu unavaa nguo inayofanana na ya jeshi ili nini? Kwamba umekosa nguo nyingine kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni haki yangu na ndiyo niliyoichagua.Mtu unavaa nguo inayofanana na ya jeshi ili nini? Kwamba umekosa nguo nyingine kabisa?
Haki hiyo ulipewa na Nani maana sheria imekunyima hiyo Haki sasa hiyo Haki we umeitoa wapi 🤣🤣🤣Ni haki yangu na ndiyo niliyoichagua.
Ndio nasikia kwako leo kwamba kuna haki ya kuvaa nguo za jeshi kwa raia.Ni haki yangu na ndiyo niliyoichagua.
Tuna Majeshi kadha hapa Tanzania na Uniform zao zinajulikana USIZIVAE kama wewe sio mmoja wao.Sioni mantiki ya raia kukomalia kuvaa kama wanajeshi!
Asisahau atakapovaa kipigo kitakua ni haki yake pia.Haki hiyo ulipewa na Nani maana sheria imekunyima hiyo Haki sasa hiyo Haki we umeitoa wapi 🤣🤣🤣
Yaani sisi raia tunaelekea Kaskazini wao wanaelekea kusini magharibi "MWE"☁️🤣🤣🤣Ndio maana wana vitambi tu. Vita hakuna.View attachment 2734936
Fikiria tena ndo ujibu ,unaongea bila kufikiria, hata kibaka anaweza iba kavaa nguo ambazo zinafanana na za jeshi ila ww kwa kumuona kwa mbali utasema moja kw moja ni mjeda ,Nguo za jeshi zina nembo bosi. Mabaka ya kwenye nguo hayajengi uhalali wa sare za jeshi bali nembo ya jeshi.
Kuzuia utapeli ni kisingizio tu. Mbona kila siku watu wanatapeliwa fedha kwa kutumia simu? TCRA wapo na jeshi lipo lkn hawana wanachofanya? Wanauona utapeli kwenye mavazi tu?
Eti mpaka ukague nembo?Fikiria tena ndo ujibu ,unaongea bila kufikiria, hata kibaka anaweza iba kavaa nguo ambazo zinafanana na za jeshi ila ww kwa kumuona kwa mbali utasema moja kw moja ni mjeda ,
Tafsiri yake nn watu watakua wanasema ni wanajeshi wanaofanya matukio hayo y ajabu ajabu.
Ishu no Jeshi kupakwa matope kwa matukio y ajabu.
Wewe umesoma wapi walipokuambia Mwanajeshi haruhusiwi kukukamata na kukufikisha kituo ch police?Acha upumbavu huu, combat za jwtz ni tofauti kabisa na camouflage clothes, uoga wako na kutojua sheria ndio unafanya nchi hii iwe kama police state, mwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia au to arrest,kazi ya arresting ni police pekee, jwtz watimize wajibu wao wa kulinda our borders ambazo sasa ni porous borders, msomali anakatiza nchi yetu kutoka North hadi South bila ya kuonekana
Huyu anayesema ni ushamba hsikosi ni jambazi hutumia camouflages wakati wa matukio. Anadai eti enzi "hizi", enzi zipi? Riffraff!Lakini kwanini wavae. Hebu fikiria mtu kavaa full uniform kama mjeda au polisi huoni Kwa nchi kama yetu anaweza tumia huo mwanya kutapeli/kunyanyasa watu?
Kwanza mtaan hakuna raia anaevaa nguo the same na geshi, ukiangalia nying ni mitumba ambazo hazifanan hata kdg.Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.
Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?
Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.
Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Mjeda au Polisi huwa wanatapeli au kunyanyasa watu??Lakini kwanini wavae. Hebu fikiria mtu kavaa full uniform kama mjeda au polisi huoni Kwa nchi kama yetu anaweza tumia huo mwanya kutapeli/kunyanyasa watu?
Anaongea bila kufikiri huyo ,anaweza akavaa tu mtu t-shirt kama y bakabaka yuko kweny Gari akasimamishwa n traffic asisimame, hapa mtakuja kusema mjeda kakataa kusimama.Eti mpaka ukague nembo?
Acha kutafuta makuuItakuwaje kuhusu hii gauni yangu😒🤣?
HahahaMjeda au Polisi huwa wanatapeli au kunyanyasa watu??
Ni kweli usemayo lakini kwa Tanzania watu wanayatumia vibaya hayo mavazi, siyo kwa uzalendo wala fashion.Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.
Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?
Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.
Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Wapo sahihi. Kwa nini watu wasivae sare za marehemu, sare za wafungwa na wakimbilie za watu wenye mafunzo hatari ya kijeshi?
Waambiwe ukweli.Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.
Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?
Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.
Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.