Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Ndio maana wana vitambi tu. Vita hakuna.
FB_IMG_1693476585474.jpg
 
Nguo za jeshi zina nembo bosi. Mabaka ya kwenye nguo hayajengi uhalali wa sare za jeshi bali nembo ya jeshi.

Kuzuia utapeli ni kisingizio tu. Mbona kila siku watu wanatapeliwa fedha kwa kutumia simu? TCRA wapo na jeshi lipo lkn hawana wanachofanya? Wanauona utapeli kwenye mavazi tu?
Fikiria tena ndo ujibu ,unaongea bila kufikiria, hata kibaka anaweza iba kavaa nguo ambazo zinafanana na za jeshi ila ww kwa kumuona kwa mbali utasema moja kw moja ni mjeda ,
Tafsiri yake nn watu watakua wanasema ni wanajeshi wanaofanya matukio hayo y ajabu ajabu.
Ishu no Jeshi kupakwa matope kwa matukio y ajabu.
 
Fikiria tena ndo ujibu ,unaongea bila kufikiria, hata kibaka anaweza iba kavaa nguo ambazo zinafanana na za jeshi ila ww kwa kumuona kwa mbali utasema moja kw moja ni mjeda ,
Tafsiri yake nn watu watakua wanasema ni wanajeshi wanaofanya matukio hayo y ajabu ajabu.
Ishu no Jeshi kupakwa matope kwa matukio y ajabu.
Eti mpaka ukague nembo?
 
Acha upumbavu huu, combat za jwtz ni tofauti kabisa na camouflage clothes, uoga wako na kutojua sheria ndio unafanya nchi hii iwe kama police state, mwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia au to arrest,kazi ya arresting ni police pekee, jwtz watimize wajibu wao wa kulinda our borders ambazo sasa ni porous borders, msomali anakatiza nchi yetu kutoka North hadi South bila ya kuonekana
Wewe umesoma wapi walipokuambia Mwanajeshi haruhusiwi kukukamata na kukufikisha kituo ch police?
 
Lakini kwanini wavae. Hebu fikiria mtu kavaa full uniform kama mjeda au polisi huoni Kwa nchi kama yetu anaweza tumia huo mwanya kutapeli/kunyanyasa watu?
Huyu anayesema ni ushamba hsikosi ni jambazi hutumia camouflages wakati wa matukio. Anadai eti enzi "hizi", enzi zipi? Riffraff!
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?

Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.

Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?

Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.

Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Kwanza mtaan hakuna raia anaevaa nguo the same na geshi, ukiangalia nying ni mitumba ambazo hazifanan hata kdg.
 
Nyie wote mnaokomalia kuvaa nguo za wajeda, naona mnajikuta much know sana kama kitu kimekatazwa msifosi. Nguo za kuvaa zipo nyingi. Je nao jeshi waseme wavae kama raia mtawachukuliaje? Tusikaze mafuvu yetu ili kuepusha shari na vyombo wa usalama.
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?

Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.

Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?

Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.

Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Ni kweli usemayo lakini kwa Tanzania watu wanayatumia vibaya hayo mavazi, siyo kwa uzalendo wala fashion.

Ni sawa tu yapigwe marufuku, mpaka tufikie wakati wetu wa utayari.
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?

Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.

Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?

Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.

Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Waambiwe ukweli.
SARE sio jeshi.
Jeshi ni mafunzo, teknolojia, akili, saikolojia, falsafa, vifaa, n.k

Ni ushamba wa kijinga sana.

Halafu pia nguo kuwa na mabaka mabaka, haiwi nguo ya jeshi.

Je, wanajeshi wasiovaa sare, wanakuwa raia au wanakoma kuwa wanajeshi?!

Ni ujinga wa kiwango cha karibu na upumbavu.
 
Back
Top Bottom