Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Nguo za jeshi zina nembo bosi. Mabaka ya kwenye nguo hayajengi uhalali wa sare za jeshi bali nembo ya jeshi.

Kuzuia utapeli ni kisingizio tu. Mbona kila siku watu wanatapeliwa fedha kwa kutumia simu? TCRA wapo na jeshi lipo lkn hawana wanachofanya? Wanauona utapeli kwenye mavazi tu?
acha ushamba ww,, unavaaje nguo zajesh ww? ili iweje,, watu wamesota mafunzo mda mrefu vichapo na mambo magum sana halaf ww unakuja kuvaa kizembezembe tu,, hata hufukiliii hata kuleta huu uz hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguo za jeshi zina nembo bosi. Mabaka ya kwenye nguo hayajengi uhalali wa sare za jeshi bali nembo ya jeshi.

Kuzuia utapeli ni kisingizio tu. Mbona kila siku watu wanatapeliwa fedha kwa kutumia simu? TCRA wapo na jeshi lipo lkn hawana wanachofanya? Wanauona utapeli kwenye mavazi tu?
HV una akili Kweli unadhani jeshi Ni wajinga mtu anaweza kutupia gwanda za jeshi na kwenda nayo huko namanjire kunyanyasa raia na kutapeli mm nasepa hata lesso Ni kosa kisheriaa Hili jeaho liheshimiwe
 
Kila nchi inaongozwa kwa utaratibu huwezi kuamka tu huko Umeshiba maharage unafikira kuvaa Combart za jeshi Watu wametoa machozi,jasho na damu kuzipata hizo.

Licha ya hivyo Tukumbuke kuwa kila mtu akianza kujiamria kutumia Mavazi ya Jeshi au taasisi yoyote kwa kuamua tu sidhani kama itakuwa sahihi.

Na hakuna nchi ambayo mtu anaamua tu kuvaa combart its Either ni msanii ama mwanamziki ambao kwa sheria hiyo hiyo ya Penal code 178 imeruhusu mtu yyte kutumia ila kwa kibali maalum cha kuzitumia kwa shughuli za kisanii

View attachment 2734897
Kwanini uone kuwa haitawezekana wakati tunaona sehemu zingine jambo hilo lipo huru na hakuna hofu hiyo unayoisema wewe?
 
Hili jeahi liheshimiwe
Akili za kindezi hizi. Jeshi linaheahimiwa kwa mavazi?? Jeshi linaheahimiwa kwa mbinu za kivita na weledi wake. Siyo kuvunjia tofali kichwani na kulingishia raia mavazi
 
Kuna kaujinga, kaushamba na kaulimbukeni fulani kanatusumbua watanzania.

Nakumbuka hata prof. Ndalichako kwa umbumbumbu huu huu kama walionao wanajeshi alipiga marufuku wanafunzi wa sekondari , msingi na chekechea kuvaa majoho wakati mahafali. Ni upuuzi.
Alikuwa sahih snaa katot Cha nurseri najuwa nn
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?

Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.

Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?

Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.

Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Ninyi mnaovaa hayo maguo ndio washamba.

Hivi yanavutia nini haswa kama sio usela mavi tu?
 
Hakuna jeshi duniani linapitia mafunzo makali na bora kama jeshi la Marekani.
et marekan!!unawaabudu sana hao wajinga wenzio,, kaish huko bas,, usitulinganishe ss na sheria za hao pimbi,,, ko wao ndo wanamafunzo makal sana kutuzid ss?? wabongo na vtu vya ugaibun bana, changamoto,, jitahid hata na ww uoende vya kwen maana ndipo ulipo kulia mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini uone kuwa haitawezekana wakati tunaona sehemu zingine jambo hilo lipo huru na hakuna hofu hiyo unayoisema wewe?
Shida yako unaona wasanii na watu maarufu wakivaa bhasi unajua ni wote.

Hata Tanzania Imeruhusu Matumizi ya sare hizo Kwa mtoto yoyote au msanii kulitumia kwenye Kazi ya sanaa na sio kuvaliwa mtaani kama Nguo..
Nilipost Screenshot ya Hiyo Part ya sheria soma Coments #17
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?

Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.

Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?

Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.

Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Hujui umuhimu wa hilo kaa kimya, ni hatari
 
Ukiwa na hilo wazi ukishikwa na kupata mkung'oto waambie huo ni ushamba watakuachia.
 
HV una akili Kweli unadhani jeshi Ni wajinga mtu anaweza kutupia gwanda za jeshi na kwenda nayo huko namanjire kunyanyasa raia na kutapeli mm nasepa hata lesso Ni kosa kisheriaa Hili jeaho liheshimiwe
Wanajeshi huwa wanatumia gwanda zao kunyanyasa au kutapeli raia??
 
Lakini kwanini wavae. Hebu fikiria mtu kavaa full uniform kama mjeda au polisi huoni Kwa nchi kama yetu anaweza tumia huo mwanya kutapeli/kunyanyasa watu?

Kweli kabisa kibongo bongo hii ni fulsa kwa watu fulani
 
Shida yako unaona wasanii na watu maarufu wakivaa bhasi unajua ni wote.

Hata Tanzania Imeruhusu Matumizi ya sare hizo Kwa mtoto yoyote au msanii kulitumia kwenye Kazi ya sanaa na sio kuvaliwa mtaani kama Nguo..
Nilipost Screenshot ya Hiyo Part ya sheria soma Coments #17
Hapana sio wasanii au uvaaji wowote unaohitaji kibali.

Bali ni ruksa kwa mtu yeyote as long as hatumii mavazi hayo ku pretend kama ni ex soldier au namna nyingine ambayo ni illegal
 
Kila nchi inaongozwa kwa utaratibu huwezi kuamka tu huko Umeshiba maharage unafikira kuvaa Combart za jeshi Watu wametoa machozi,jasho na damu kuzipata hizo.

Licha ya hivyo Tukumbuke kuwa kila mtu akianza kujiamria kutumia Mavazi ya Jeshi au taasisi yoyote kwa kuamua tu sidhani kama itakuwa sahihi.

Na hakuna nchi ambayo mtu anaamua tu kuvaa combart its Either ni msanii ama mwanamziki ambao kwa sheria hiyo hiyo ya Penal code 178 imeruhusu mtu yyte kutumia ila kwa kibali maalum cha kuzitumia kwa shughuli za kisanii

View attachment 2734897
Acha ujinga
 
Back
Top Bottom