Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Ni kweli usemayo lakini kwa Tanzania watu wanayatumia vibaya hayo mavazi, siyo kwa uzalendo wala fashion.

Ni sawa tu yapigwe marufuku, mpaka tufikie wakati wetu wa utayari.
Hata Marekani kuna wafuasi wa Trump walikuwa wamevaa mavazi mfano wa jeshi walipovamia bunge January 6, 2021 wakitaka Bunge na Mike Pence wasithibitishe matokeo ya Urais wa Joe Biden.
 
Acha upumbavu huu, combat za jwtz ni tofauti kabisa na camouflage clothes, uoga wako na kutojua sheria ndio unafanya nchi hii iwe kama police state, mwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia au to arrest,kazi ya arresting ni police pekee, jwtz watimize wajibu wao wa kulinda our borders ambazo sasa ni porous borders, msomali anakatiza nchi yetu kutoka North hadi South bila ya kuonekana
Mwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia?
Unaongea ukiwa nchi gani
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje...
Ukiona kwenye hii dunia ya vita vya drones bado askari wetu wanapasuliana matofali kichwani, hapo ujue tuna jeshi so outdated mno. Ndio maana unaona wanajikita kwenye mambo madogo madogo kama mavazi ya kufanana na jeshi. Jeshi linalofurahia kuogopwa na raia wasio na silaha hapo ni vituko vya karne.
 
Ni kweli usemayo lakini kwa Tanzania watu wanayatumia vibaya hayo mavazi, siyo kwa uzalendo wala fashion.

Ni sawa tu yapigwe marufuku, mpaka tufikie wakati wetu wa utayari.
Kwa umri wako sishangai ukiwa na mtazamo huu. Wazee na watu wasiojitambua ndio wana mtazamo huu.
 
Acha upumbavu huu, combat za jwtz ni tofauti kabisa na camouflage clothes, uoga wako na kutojua sheria ndio unafanya nchi hii iwe kama police state, mwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia au to arrest,kazi ya arresting ni police pekee, jwtz watimize wajibu wao wa kulinda our borders ambazo sasa ni porous borders, msomali anakatiza nchi yetu kutoka North hadi South bila ya kuonekana
Mkuuu umeongea the voice from within kabisa
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje...
Ni kifungu kipi kinachosema kuwa ni kosa kuvaa mavazi yanayofanana na ya jeshi.
 
Lakini Kwa nini na wewe raia utake mavazi ya jeshi lakini??? SI uchokozi huoo ni kumshika mwanaume matako huko
 
Mleta uzi umeandika ujinga mtupu. Kama una hamu ya kuvaa mavazi ya jeshi fanya namna ujiunge nalo na sio kulazimisha kuvaa sare zao zinazoweza kutumika vibaya na watu kufanyia uhalifu. Watu imefikia hatua wanashona kaunda suti na kujifanya wanausalama. TII SHERIA BILA SHURUTI AU HAMA NCHI.
 
Mleta uzi umeandika ujinga mtupu. Kama una hamu ya kuvaa mavazi ya jeshi fanya namna ujiunge nalo na sio kulazimisha kuvaa sare zao zinazoweza kutumika vibaya na watu kufanyia uhalifu. Watu imefikia hatua wanashona kaunda suti na kujifanya wanausalama. TII SHERIA BILA SHURUTI AU HAMA NCHI.
Sheria gani ya nchi inayopinga uvaaji wa hayo mavazi yanayofanana na sare za jeshi au kaunda suti za usalama??
 
Waambiwe ukweli.
SARE sio jeshi.
Jeshi ni mafunzo, teknolojia, akili, saikolojia, falsafa, vifaa, n.k

Ni ushamba wa kijinga sana.

Halafu pia nguo kuwa na mabaka mabaka, haiwi nguo ya jeshi.

Je, wanajeshi wasiovaa sare, wanakuwa raia au wanakoma kuwa wanajeshi?!

Ni ujinga wa kiwango cha karibu na upumbavu.
Wewe ndiyo umegonga mahala pake. "Jeshi siyo sare". Safi sana
 
Ukiona kwenye hii dunia ya vita vya drones bado askari wetu wanapasuliana matofali kichwani, hapo ujue tuna jeshi so outdated mno. Ndio maana unaona wanajikita kwenye mambo madogo madogo kama mavazi ya kufanana na jeshi. Jeshi linalofurahia kuogopwa na raia wasio na silaha hapo ni vituko vya karne.
Tuna wanajeshi wasio na mafunzo. Wapo wapo tu. Kazi yao kujimwambafai kwa kuvaa sare. Bure kabisa.
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?

Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.

Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?

Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.

Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare
Kila nchi inaongozwa kwa utaratibu huwezi kuamka tu huko Umeshiba maharage unafikira kuvaa Combart za jeshi Watu wametoa machozi,jasho na damu kuzipata hizo.

Licha ya hivyo Tukumbuke kuwa kila mtu akianza kujiamria kutumia Mavazi ya Jeshi au taasisi yoyote kwa kuamua tu sidhani kama itakuwa sahihi.

Na hakuna nchi ambayo mtu anaamua tu kuvaa combart its Either ni msanii ama mwanamziki ambao kwa sheria hiyo hiyo ya Penal code 178 imeruhusu mtu yyte kutumia ila kwa kibali maalum cha kuzitumia kwa shughuli za kisanii

View attachment 2734897
Kama hawajakuelewa basi wanamatatizo kwny vichwa vyao
 
Mleta uzi umeandika ujinga mtupu. Kama una hamu ya kuvaa mavazi ya jeshi fanya namna ujiunge nalo na sio kulazimisha kuvaa sare zao zinazoweza kutumika vibaya na watu kufanyia uhalifu. Watu imefikia hatua wanashona kaunda suti na kujifanya wanausalama. TII SHERIA BILA SHURUTI AU HAMA NCHI.
Acha uwoga wewe. Mavazi ya jeshi siyo rangi bali ni nembo.
 
Sioni mantiki ya jeshi kukataza lakini sioni mantiki ya raia kukomalia kuvaa ikiwa wameamua hivyo
 
Back
Top Bottom