Sheria ya kumhudumia Mwanamke ifutwe, kwa sasa Ajira zinatolewa kwa Wote bila upendeleo

Sheria ya kumhudumia Mwanamke ifutwe, kwa sasa Ajira zinatolewa kwa Wote bila upendeleo

Wanawake wanapewa sana kipaumbele.

Mfano kwenye uhasibu kampuni kubwa duniani yenye tawi hapa Tanzania kama PWC ...kwenye kuajiri wahasibu na Auditors inapendelea wanawake.

Mwanaume na CPA yako wanakukataa.. wanachukua mwanamke.

tazama kila mwaka recruitment ya pwc wanawake ni wengi kuliko wanaume
 
Wanawake wanapewa sana kipaumbele.

Mfano kwenye uhasibu kampuni kubwa duniani yenye tawi hapa Tanzania kama PWC ...kwenye kuajiri wahasibu na Auditors inapendelea wanawake.

Mwanaume na CPA yako wanakukataa.. wanachukua mwanamke.

tazama kila mwaka recruitment ya pwc wanawake ni wengi kuliko wanaume

Sheria zilibadilishwa wabadilishe na wakivuna majukumu.
Vijana wakikataa kuoa tutaendelea kuwaunga mkono na tutawahamasisha wasioe
 
Upo sahihi Mkuu, ila kuna watu naamini watakwambia Mwanaume kaumbwa kutoa na Mwanamke kaumbwa kupokea.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue

Hizo ni porojo za Wapuuzi.
Kama ni hivyo sheria ziwekwe sawa kueleza hilo na kulisimamia
 
Tumefikia huku , ni rahisi tu unataka mtoto kuhudumia unaacha kuzalisha, wanaume tusifike huku mambo ya kutafuta usawa, hizi zilikua ni ishu za wakinamama zamani

Huku tumeshafika.
Kila jambo linamatokeo yake.
Ukibadili kitasa lazima ubadili na funguo.
 
Mkuu Kuna dini pia, sheria ya dini moja inataka mwanaume ndio amuhudumie mwanamke hata Kama mwanamke huyo ni billionaire na mwanaume ni kapuku!!

Na Kama wote mnafanyakazi na mshahara ni sawa, Basi mshahara wa mwanaume pekee ndio utakao tumika nyumbani na kumtunza mwanamke pia. Na Kama mwanamke akitoa hela yake hata kununua chumvi Basi lazima arejeshewe fedha zake, labda mwanamke huyo atoe mwenyewe tu kwakupenda kutokurudishiwa!

Sasa hapo huo usawa sijui utakuwaje?! Kufanyakazi wanataka which is good thing but kuwajibika kutunza familia ni Big No!
Wajibu wa mwanaume sio mwanamke!!

Haki bila wajibu ni tamu Sana!

Dini zilishafeli miaka 1000 iliyopita.
Zamani dini ilikuwa ni Siasa.
Kwa sasa dini ni biashara tuu haina nguvu yoyote ya utawala iwe kwenye familia au taifa
 
Mkuu Kuna dini pia, sheria ya dini moja inataka mwanaume ndio amuhudumie mwanamke hata Kama mwanamke huyo ni billionaire na mwanaume ni kapuku!!

Na Kama wote mnafanyakazi na mshahara ni sawa, Basi mshahara wa mwanaume pekee ndio utakao tumika nyumbani na kumtunza mwanamke pia. Na Kama mwanamke akitoa hela yake hata kununua chumvi Basi lazima arejeshewe fedha zake, labda mwanamke huyo atoe mwenyewe tu kwakupenda kutokurudishiwa!

Sasa hapo huo usawa sijui utakuwaje?! Kufanyakazi wanataka which is good thing but kuwajibika kutunza familia ni Big No!
Wajibu wa mwanaume sio mwanamke!!

Haki bila wajibu ni tamu Sana!
Dini inayo sema hayo hiyo ni dini ya kitapeli kabisa na ni ya kuiogopa kama ukoma.
 
Mkuu Kuna dini pia, sheria ya dini moja inataka mwanaume ndio amuhudumie mwanamke hata Kama mwanamke huyo ni billionaire na mwanaume ni kapuku!!

Na Kama wote mnafanyakazi na mshahara ni sawa, Basi mshahara wa mwanaume pekee ndio utakao tumika nyumbani na kumtunza mwanamke pia. Na Kama mwanamke akitoa hela yake hata kununua chumvi Basi lazima arejeshewe fedha zake, labda mwanamke huyo atoe mwenyewe tu kwakupenda kutokurudishiwa!

Sasa hapo huo usawa sijui utakuwaje?! Kufanyakazi wanataka which is good thing but kuwajibika kutunza familia ni Big No!
Wajibu wa mwanaume sio mwanamke!!

Haki bila wajibu ni tamu Sana!
Kwasasa dini haina msaada wowote zaidi ya kufuga wezi
 
Mwanaume kuanza kujilinganisha na mwanamke kwa hali yoyote ile ni uzwazwa.Mwanaume ndiye msingi wa maisha ya familia na jamii kwa ujumla,mwanaume ndiye mtawala wa vyote alivyovianzisha.Sasa mtawala gani unayeogopa kusimamia na kuhudumia vitu anavyovitawala.Mada kama hizi ndizo zinazotengeneza wanaume magoi goi,mario,chawa na wengine wanakua mashoga.Tulushaambiwa tutakula kwa jasho.tuwajibike kwenye nafasi yetu bila kutoa visingizio vitakavyotufanya tuonekane dhaifu.
 
Mwanaume kuanza kujilinganisha na mwanamke kwa hali yoyote ile ni uzwazwa.Mwanaume ndiye msingi wa maisha ya familia na jamii kwa ujumla,mwanaume ndiye mtawala wa vyote alivyovianzisha.Sasa mtawala gani unayeogopa kusimamia na kuhudumia vitu anavyovitawala.Mada kama hizi ndizo zinazotengeneza wanaume magoi goi,mario,chawa na wengine wanakua mashoga.Tulushaambiwa tutakula kwa jasho.tuwajibike kwenye nafasi yetu bila kutoa visingizio vitakavyotufanya tuonekane dhaifu.

Rais wako ni Mwanamke na anakutawala wewe na ukoo wenu na kabila lenu lote.

Hayo mawazo uliyoyatoa ni Applicable Kwa karne ya 20 kurudi nyuma.
Lakini hakuna mtu wa kàrne hii mwenye mawazo kama yako.

Kwa kifupi, wewe upo kimakosa katika karne hii. Ulipaswa uzaliwe miaka ya 1700 huko
 
Mwanamke akianza kuhudumia familia yani yeye ndiye awe kila kitu basi jua mahusiano kwenye hiyo familia ni ngumu kutoboa mwaka, kwa asilimia kubwa lazima yafe hayo mahusiano.

Kwa nini Yafe?
Na mbona zipo familia Mama anahudumia familia na wanamiaka nenda rudi, wamesomesha watoto mpaka watoto kujitegemea. Hao unazungumziaje?
 
SHERIA YA KUMHUDUMIA MWANAMKE IFUTWE, KWA SASA AJIRA ZINATOLEWA KWA WOTE BILA UPENDELEO.

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Sheria ya Mwanaume kumhudumia Mwanamke ifutwe. Sheria ya mke kuchukua mkopo kwa Jina la mumewe nayo ifutwe. Ni sheria zilizopitwa na wakati na zisizoendana na ulimwengu wa sasa.

Ni sheria kandamizi, zinazomkandamiza Mwanaume.
Kwa zamani zilikuwa sheria nzuri lakini sio sasa. Zilikuwa nzuri kwa sababu Wanaume walipewa fursa zaidi kuliko wanawake.
Wanaume walipewa fursa ya kumiliki Mali huku wanawake walikatazwa.

Wanaume walipewa fursa ya kusoma na kutafuta elimu huku wanawake wakiachwa nyuma.
Wanaume walipewa fursa ya kutafuta kazi na kufanya shughuli za uzalishaji huku wanawake wakibaguliwa.

Ndio maana sheria ya kumhudumia Mwanamke ilikuwa ya maana na tunaweza kuiita sheria ya haki kama Watibeli tupendavyo Haki

Lakini siku hizi Kila mtu anahaki. Haki sawa baina ya jinsia zimeboreshwa na kulinganishwa.
Ikiwa ni hivyo basi na wajibu lazima uboreshwe.

Isiwe wajibu kwa mwanaume kumhudumia Mwanamke katika ulimwengu wa haki Sawa.

Vijana, sio wajibu wako kumhudumia Mwanamke katika ulimwengu huu wa haki sawa. Ndio maana dunia ya sasa imetoa usawa wa kifursa.

Mwanamke afanye kazi na wewe ufanye kazi. Wote mlete mezani. Hiyo ni Haki.

Mwanamke akifanya kazi alafu anataka kuhudumiwa tuu yaani hela yako anaikodolea macho fukuza. Usiwe mjinga. Huo ni ubinafsi.

Mwanamke ambaye atakuambia pesa ya Mwanamke hailiwi wakati unamuita sijui mpenzi, sijui mkeo, huyo ni tapeli, nyonyaji. Huyo hakufai. Piga chini wala usisite mara mbili mbili.

Ndoa za kitapeli, mahusiano ya kibeberu na kikoloni. Unakuta mwanaume mzima kumbe ni koloni la mtu. Unanyonywa kama mwendawazimu. Alafu miaka 45 hii hapa kisukari, presha, mara Stroke unaacha mke Watu tunapiga. Shauri yako. Usijesema sijakuambia.

Alafu kwa ujinga wenu mnauliza maswali ya kijinga, ooh! Mbona wanaume wanawajibika kufa mapema kabla ya Wake zao. Hivi utaachaje kufa mapema ikiwa wewe umegeuzwa kisukule, kuzuka. Mbona kwetu Babu zetu wamepiga age ya kutosha. Tumieni akili. Jinga kabisa.

Usiendekeza ujinga. Mimi nimemaliza. Mwenye hasira za karibu aje tupigane.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sheria ya kumhudumia mwanamke ni ya mwaka gani, inaitwaje na inasemaje ??????????
 
Mwanaume kuanza kujilinganisha na mwanamke kwa hali yoyote ile ni uzwazwa.Mwanaume ndiye msingi wa maisha ya familia na jamii kwa ujumla,mwanaume ndiye mtawala wa vyote alivyovianzisha.Sasa mtawala gani unayeogopa kusimamia na kuhudumia vitu anavyovitawala.Mada kama hizi ndizo zinazotengeneza wanaume magoi goi,mario,chawa na wengine wanakua mashoga.Tulushaambiwa tutakula kwa jasho.tuwajibike kwenye nafasi yetu bila kutoa visingizio vitakavyotufanya tuonekane dhaifu.
Wewe hakuna unalolijuwa, unazidiwa akili hata na wanyama.

Kwenye familia ya Simba jike ndio analisha familia na dume ndio analinda familia.

Wazee wa zamani hawakuwa wanaowa wake wengi kama fasheni au kwa tamaa za ngono, Bali wake wote wanashiriki uzalishaji Mali Shambani.

Niambie ni kijijini gani Wanawake kazi yao ni kupika tu na kukaa Nyumbani na wanaume ndio wanalima?

Wasomi ndio wapumbavu wa kwanza nchini na duniani kwa ujumla walioharibu mfumo wa maisha, na wapumbavu zaidi ni wale majanaume mazima yako bize kushabikia 50 kwa 50 wakati ukimpa Madaraka mwanamke wala hana mpango wa kupendelea wanawake wenzie.

Ni Tanzania ya Mama Samia ndio imefuta bima ya Toto Afya ili mama na mtoto waisome namba vizuri.
 
Back
Top Bottom