Sheria ya kumhudumia Mwanamke ifutwe, kwa sasa Ajira zinatolewa kwa Wote bila upendeleo

Chief uko sahihi kwa asilimia [emoji817] huku kukwepa majukumu na kuona mwanamke anapendelewa nacho ni chanzo cha wanaume wasiojiamini dhaifu wakaamua kureft group na kuamua kwenda kwa wanaopendelewa.
Hivi 50 kwa 50 ni anguko baya mno kutokea duniani na cha ajabu utakuta na janaume linasimama nalo linapigania usawa alisahau kuwa yeye ni kiranja katika familia.
Madhara ya kuwapatia fursa zisizostahili hawa wanawake ndio haya leo tunayoendelea kuyaona....
-Ongezeko la masingle mama na watoto kukosa kuongozwa viranja wa familia...
-65 ya wanawake waliopo kwenye ajira wengi wao hawajaolewa na hawataki ndoa wakiamini hakuna wanachokosa siku akihitajia huduma ya kimaumbile atampigia amtakaye watamalizana imeisha.
-Wanaume kukimbia majukumu kutaongezeka kutokana na hizi sheria za mchongo tunazoishi nazo kwenye miongozo ya umoja wa mataifa ambayo ukikaa na kuzidadavua utajuwa kabisa mtungaji hakuwa na lengo jema na jamii za sisi wanadamu.
WANAUME TUTABAKI WANAUME TU HATA TUBAKI 15 DUNIA NZIMA.
N.B
NA MWANAUME KUTAKA HAKI SAWA NAO NI UWANAWAKE

Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
 
Si kweli hao wanawake 65% walio kwenye ajira kwamba hawataki ndoa, hujui tu wanavyoumia kwa ndani.

Wanawake wanahitaji zaidi ndoa kuliko wanaume.
 
Taarifa:

Sasa hivi familia nyingi zinahudumiwa na wanawake huku mchango wa baba ukiwa mdogo.

Wenye hela kwa sasa ni wanawake.

Kwa hiyo hata sheria isipobadilika, tayari utekelezaji ulishazoeleka
Tofautisha mwanamke kuwa na pesa na mwanamke 𝐤𝐮𝐡𝐮𝐝𝐮𝐦𝐢𝐚 familia. Acha kuishi kwenye dunia ya kufikirika
 
Si kweli hao wanawake 65% walio kwenye ajira kwamba hawataki ndoa, hujui tu wanavyoumia kwa ndani.

Wanawake wanahitaji zaidi ndoa kuliko wanaume.
Hapo mkuu ,wanawake wanataka hizo ndoa kwa support kama hizo za kuhudumiwa .

Wanawake ni wabinafsi mimi nimefanya nao kazi kweny taasisi zinazolipq vizuri....Yaani hata pesa mnapata sawa ila bado anataka zako.

Hii ni asili ni lazima wanaume watoe chochote kwa wake zao ili kulinda heshima yao... Mwanamke usipompa huduma sio wake kabisa.
 
Upo sahihi.

Kuna mdada kila nikiwa na nye.ge nikimwita anasema nimlipe,sawa nikawa nafanya hivo.

Siku moja yeye ndio ametingwa ananipigia aje , nikamwambia nae abebe pesa anilipe kama anavonifanyiaga...nilikua namtania ila nilitaka kuna ujumbe aupate.
 

Majukumu yanaletwa na sheria sijui kama unalijua hilo.
Msingi wa unachokizungumza unajua ni upi?
 

Ni kwa vile wanaume ni wajinga sana kuliko Wanawake ndio maana wanateswa pasipo wao kujijua.
Hata kauli ya mwanaume kuumbwa mateso ni kauli ya Watu malofa wenye upeo Mdogo
 

Ndio maana Vijana wanaowazalisha na kuwaacha kwa upande wangu ninawaona wapo sahihi.
Binafsi mimi siwezi kuishi na limwanamke libinafsi lazima tumwagane tuu.

Kuachana na watu Wabinafsi kwangu haihitaji kufikiri mara mbilimbili
 
Futeni sheria zenu huko za kibinadam.

Sisi Waislam sheria zetu zipo wazi.

Mwanamke kuhudumiwa ni nature, siyo sheria au kanuni ya kibinadam.

Basi hata ishara za asili (natural) zinazowazunguka hamzioni?
 
Futeni sheria zenu huko za kibinadam.

Sisi Waislam sheria zetu zipo wazi.

Mwanamke kuhudumiwa ni nature, siyo sheria au kanuni ya kibinadam.

Basi hata ishara za asili (natural) zinazowazunguka hamzioni?
MATUKIO 12 MUHAMMAD ALIJITENGENEZEA WAHI.

¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬

1. Alipomtaka mke wa mwanawe wa kulea(zayd), alitengenezea aya ya kuunga mkono. [ sura ya 33:37 . Al Tabari VIII, ukurasa wa 2-3]

2. Alipotaka wake zaidi ya wanne, alijitengenea Aya ya kuunga mkono. Sura 33:50

3. Aliposhikwa kitandani na mjakazi wake,alijitengenezeaa aya ya kujitetea . Sura 66:1-5

4. Alipotaka kubadilisha Qiblah, alijitengenezea Aya ya kuunga mkono. Sura 2:144

5. Alipotaka kuwabaka wanawake mateka, alijitengenezeaa aya ya kuunga mkono. Sura 4:24

6. Aliposikia mtu anataka kumuoa Aisha baada ya kifo chake, alijitengenezea aya ilio pinga swala hilo Sura 33:53

7. Alipoulizwa kuhusu yeye kuwaruhusu wanawake kujitolea kwake, alijitengenezea Aya ya kuunga mkono. Sura 33:51

8. Hali yake ya afya ya akili ilipoulizwa, alijitengenezea aya ya utetezi wake. Sura 7:184

9. Alipotaka watu watoke nyumbani kwake mapema baada ya kula, alijitengenezea aya ya kuunga mkono. Sura 33:53

10. Alipotaka kuoa wanawake bila ya kutoa mahari, alijitengenezea Aya ya kuunga mkono. Sura 33:50

11. Alipotaka kuoa wake wa Watoto wa mama zake wakubwa alijitengenezea aya kuunga mkono sura 33:51

12. Alipotaka kuoa watoto wa shangazi zake aliatengeneza aya kuunga mkono 33:51

¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬

NAENDELEA KUTOA ANGALIZO KUWA MUHAMADI SIO MFANO MZURI WA KUIGWA DUNIANI UKITAKA UONEKANE KITUKO FANYA MAMBO MOJAWAPO HAPO JUU UONE DUNIA ITAKAVYO KUCHEKA...
 
Futeni sheria zenu huko za kibinadam.

Sisi Waislam sheria zetu zipo wazi.

Mwanamke kuhudumiwa ni nature, siyo sheria au kanuni ya kibinadam.

Basi hata ishara za asili (natural) zinazowazunguka hamzioni?

Sheria za kiislamu zipo sawa.
Hizi sheria za siku hizi ambazo wameziboresha na kusahau kuboresha wajibu na majukumu ndio zinaleta utata na utapeli Mkubwa.

Angalia nchi za Saudia Arabia, Qatar, Oman n.k. Sheria zao zimenyooka na ndio maana ni ngumu kusikia Masuala sijui ya ukosefu wa ajira.

Ukishasema haki sawa tayari umezungumzia Wajibu Sawa.
Lakini kwenye ulimwengu wa kishetani, mashetani hudai haki sawa lakini hayataki Wajibu sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…