Sheria ya Mirathi ya Kiislamu kwa mtoto wa nje ya ndoa ibadilishwe

Kwa hiyo ina maana Qur'an ibadilishwe au vp?, Qur'an ina miaka takribani 1400 tokea iteremshwe na haijawahi kubadilishwa ije kubadilishwa kwa sababu ya tamaa ya mali.
Sijasema ubadilishwe umenikopy vibaya
 
Hii nchi sio ya kidini kwaio hakuna ulazima wa kufuata waarabu walichoandika mirathi inagawanywa kiukoo fullstop
 
Fact mkuu siwezi acha kumsapoti mwanangu et kisa sijui maandiko
Simanishi kuwa siamini kuwa kuna Mungu ila siamini hizi dini zenu, kama ni mirathi Baraza la wazee wa Mila litaamua lenyewe fullstop
 
Fact mkuu siwezi acha kumsapoti mwanangu et kisa sijui maandiko
Simanishi kuwa siamini kuwa kuna Mungu ila siamini hizi dini zenu, kama ni mirathi Baraza la wazee wa Mila litaamua lenyewe fullstop
Basi wewe si muislamu hain haja ya kutoa malalamiko.
Kapambane na wazee wako wa mila Uislamu waachie waislamu na sheria zao za uislam.
 
Waafrika tuna tamaduni bora zaidi kuhusu watoto. Tunawapenda, hatuwatengi wala kuwaita majina ya kebehi.
Ila, hizi tamaduni za waarabu na wazungu kupitia dini ndiyo zinachanganya watu na watu wanafuata kwa mazoea tu na uoga waliopandikizwa eti watachomwa moto wasipofuata waarabu na wazungu wanataka nini..
 
Tanzania sio taifa la kiaarabu, waafrika tumelaaniwa huenda usikute hata Mungu haijui hio Quran
kwahiyo tanzania ni taifa la kikristo siyo!
mungu anajua kitabu kipi sasa cha imani
 
Fact mkuu siwezi acha kumsapoti mwanangu et kisa sijui maandiko
Simanishi kuwa siamini kuwa kuna Mungu ila siamini hizi dini zenu, kama ni mirathi Baraza la wazee wa Mila litaamua lenyewe fullstop
Kuna mtu aliweka uzi kuhusu hili suala na kwenye maelezo ya huo uzi kuna sehemu ya mirathi ya kimila kwa mtoto wa nje ya ndoa.. nalo kalitizame vizuri

The best and only solution for this is to stop what called zinaa
 
 
Kama hiyo Quran inanibagua basi hamna haja ya mimi kuifuata
Kama wewe muislam unatakiwa uwende sehemu ya mirathi wakupe elimu ya mirathi.

Kila sehemu ina sheria zake mfano Tanzania ina sheria ya raia pacha kwa mtoto mpaka afike 18y anatakiwa achague uraia. Sasa huyu mtoto nae atasema hana haja ya kuifata sheria ya Tanzania ?.
 
Inazuiaje uzinifu wakati anaekomolewa ni mtoto? Baba na mama sio wanaonyimwa urithi wala kutambulika,mtoto ndie anaebaguliwa wakati hakuomba hao watu wazima wafanye uzinzi.
 
Bastard ni mtoto ambaye hana baba katika maisha yake. Yani analelewa na mama.
Sisi watoto wa nje ya ndoa kwa kingereza ndo wanatuita “bastards“??…………. Anyway sijawah kujilaum hata siku moja kua mtoto wa nje ya ndoa..!
 
Kuna mtu aliweka uzi kuhusu hili suala na kwenye maelezo ya huo uzi kuna sehemu ya mirathi ya kimila kwa mtoto wa nje ya ndoa.. nalo kalitizame vizuri

The best and only solution for this is to stop what called zinaa
Wanaofanya zinaa ni baba na mama sio mtoto. Ingewekwa sheria inayowakomesha baba na mama na si mtoto ambae ni zao la zinaa ya hao watu wazima wawili
 
Ndio utajua hizi dini zote ni usanii mtupu, cant believe Mungu mwema na mpenda haki kuliko chochote aweke Sheriaya kikandamizaji kama hiyo, za kupewa changanya na zako
 
JE?Kwa upande wa ukoo hawawezi kukataa maana Kwa kiukoo mtoto wa kwanza ndie mrithi haijarishi niwa nje au ndani wao hawajui hayo
kwenye uislamu hakuna mtoto wa kwanza wala wa mwisho, wote wanarithi kwa mujibu wa sheria hata wakiwa 30, alimradi wawe wamezaliwa ndani ya ndoa.

Urithi unakwenda kama ifuatavyo:
Wake zake (1 mpaka 4) wanarithi robo ya mali yote halafu watagawana
Watoto wa kiume watarithi kwa ratio ya mbili, wa kike kwa moja
Ikiwa mfano kijana amefariki lakini wazazi wake wapo hai, nao pia watapata urithi (nimesahau ngapi)

Mgawanyo huu unakwenda kwa kutumia LCM kwa wale wataalamu wa hesabu.
 
🤣🥴 mambo yashaanza….bado trends za watoto wa nje ya ndoa kuanza kuua wazazi waliowatelekeza….Chukulieni rahisi kuwapa mimba wanawake na kurudi jf kubeza singlemoms…..Time will tell.
Maandalizi ya vita tayari......
 
Thx boss na wakristo inasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…