Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,182
- 2,015
Ndoa ni baraka, na watoto ni zawadi kutoka kwa MUNGU,
kutengana au kuachana si jambo zuri, huenda umefanya suluhu ikawa ngumu kwako, nakusihi usichoke, uko ktk vita dhidi ya shetani, anataka kuiangamiza baraka yako(ndoa) lakini pia anataka umwage zawadi(watoto) uliopewa na Mungu, kisha aokote awe wake.
Ila kuna wakati yote hayo kibinadamu huisha, uvumilivu wa roho na moyo wa nyama unashindwa kuhimili maumivu unayopata. Hakuna namna inalazimu tu kuharibu.
Unaweza anza mahakamani, huku ukitambua kuwa mahakama inaweza kubatilisha au kuvunja ndoa kwa sababu za msingi tu kama vile.
UZINZI, mmoja kutokuwa na uwezo wa kumpa "haki kuu" ya ndoa mwenzi wake, mmoja kuthibitika kuwa na ugonjwa wa zinaa, mmoja kuugua kichaa, mmoja wenu akapata kifungo gerezani. Nyingne ni minor sana huenda usifikiriwe.
Pole sana kwa mapito na maumivu uliyonayo. Hiyo ni sehemu ya pili ya ndoa, sehemu ya kwanza ni pale mlipofurahi.
kutengana au kuachana si jambo zuri, huenda umefanya suluhu ikawa ngumu kwako, nakusihi usichoke, uko ktk vita dhidi ya shetani, anataka kuiangamiza baraka yako(ndoa) lakini pia anataka umwage zawadi(watoto) uliopewa na Mungu, kisha aokote awe wake.
Ila kuna wakati yote hayo kibinadamu huisha, uvumilivu wa roho na moyo wa nyama unashindwa kuhimili maumivu unayopata. Hakuna namna inalazimu tu kuharibu.
Unaweza anza mahakamani, huku ukitambua kuwa mahakama inaweza kubatilisha au kuvunja ndoa kwa sababu za msingi tu kama vile.
UZINZI, mmoja kutokuwa na uwezo wa kumpa "haki kuu" ya ndoa mwenzi wake, mmoja kuthibitika kuwa na ugonjwa wa zinaa, mmoja kuugua kichaa, mmoja wenu akapata kifungo gerezani. Nyingne ni minor sana huenda usifikiriwe.
Pole sana kwa mapito na maumivu uliyonayo. Hiyo ni sehemu ya pili ya ndoa, sehemu ya kwanza ni pale mlipofurahi.