Huna akili kwani Iran alikuwa anashambulia viwanja vya mpira au alikuwa anashambulia kambi za jeshi?View attachment 2963883
Nchi iliyopigwa makombora jana,leo league mbali mbali zinaendelea,tena viwanja vya mji uliovamiwa😅😅
Ya kwamba siku hizi Syria wanaongea kiebrania?Umeanza kuokoteza tu-video kutoka Syria au vilivyotengenezwa na AI halafu unatuletea hapa eti hapo ni Israel? 😅😂🤣
Jinga hili.Ya kwamba siku hizi Syria wanaongea kiebrania?
Nyie wakunya mna matatizo sana.
Ww mkunya huna akili kwani Iran jana alishambulia viwanja vya mpira na makazi ya raia ,au unadhani Iran ni kama Israel inayo shambuliaga hovyo hovyo?Iran wameshambulia halafu ligi ya soka ya Israel ikaendelea leo kama kawaida, na kesho tarehe 15 Hapoel atacheza na Maccabi Tel Aviv. Aiseee Israel ina dharau jamani! 😂🤣
Ww unadhani Iran huwa anashambulia hovyo hovyo kama Israel wanao fanyaga mashambulizi dhidi ya chochote kilichoko mbele yao kama vichaa?Mbona hata Saddamu hussen alifanya mashambulizi kama haya alirusha scud za kutosha hata hazikumuua inzi ndani israel baada ya israel kushambulia kinu cha nuklia cha saddamu hussen
Kwa hiyo kati yako na msemaji wa jeshi la Israel tumuamini nani?Iran kafeli vibaya sana.
Yaani urushe mamia ya makombora na yasifike kwenye kwenye target halafu useme hajafeli? Iran ina jeshi kama la Mfalme Huihui wa nchi ya Wagagagigikoko siyo? That's total failure.
Kingine, nchi kuvamiwa na bado ikaendelea na ligi hiyo ni kumdharau aliyerusha kombola. Sudan tu hapo ligi imesimamishwa itakuwa hiyo ya kurushiwa makombora zaidi ya 200? Wewe ndo una the poorest reasoning kabisa.
Ila kwa kweli Irani jana kaonesha kitu amaizing, hajaomba kutumia nchi za jirani kufanya kazi yake, hizo nchi zilishuhudia tu anga inapitishwa silaha kuelekea nchi nyingine. Package ya kitu 300 sio mchezo
Kwanini hakuzitumia?Sasa jiulize angetumia masafa marefu tena guided missiles hivi ingekuaje!?
Ubavu anao ila vita hiyo ni ndefu,Israel hana ubavu wa kupigana na Iran hata siku moja
Watu wameharibu Nevatim airbase wewe unasema hata panya hajaguswa. Watu mnapenda kujifarijiYaani kashindwa ata kuua panya wa Israel [emoji1][emoji1][emoji1]
Kunachotuponza ni ushabiki tu hv Nevatim airbase imeshambuliwa na nani?Iran kafeli vibaya sana.
Yaani urushe mamia ya makombora na yasifike kwenye kwenye target halafu useme hajafeli? Iran ina jeshi kama la Mfalme Huihui wa nchi ya Wagagagigikoko siyo? That's total failure.
Kingine, nchi kuvamiwa na bado ikaendelea na ligi hiyo ni kumdharau aliyerusha kombola. Sudan tu hapo ligi imesimamishwa itakuwa hiyo ya kurushiwa makombora zaidi ya 200? Wewe ndo una the poorest reasoning kabisa.
Mtu akiwa na ushabiki hata uniambie nn hawezi kuelewa. Mfano Nevatim airbase imepigwa lakini watu hawaiongelei kabisaIran haijafeli acha uzwazwa.
Iran target yake ilikua ni millitary/airbase za Israel,viwanja ni sehemu ya raia na sio sehemu za kijeshi.
Yani kisa kambi ya gongo la mboto ishambuliwe ndio ligi ya NBC uwanja wa taifa na Chamazi isimame??
Mbona poor reasoning hii!?
Lengo la Iran limefanikiwa na kama sio Jordan,USA kudunguwa zile drone Israel ilikua inapata damage kubwa sana.
Iran imeonesha kuwa ina uwezo wa kuishambulia Israel kutoka kwake Tehran.
Na ndio maana kalenga millitary base ya Israel.
Teyari amesha impose threat kwa Israel,na silaha alizotumia zote za ujazo wa kati na masafa ya kati.
Sasa jiulize angetumia masafa marefu tena guided missiles hivi ingekuaje!?
Sasa kama mnasema 99% yametunguliwa hiyo 1% imepiga wapi mbona hamsemiIran wameshambulia halafu ligi ya soka ya Israel ikaendelea leo kama kawaida, na kesho tarehe 15 Hapoel atacheza na Maccabi Tel Aviv. Aiseee Israel ina dharau jamani! 😂🤣
Asante mkuu mm nipo njia panda hapa kibondenyasiSawa nitawasalimu mkuu...karibu sana
Sawa furahia Uyole yako mkuuAsante mkuu mm nipo njia panda hapa kibondenyasi
Kasema IDF haitathubutu Tena kugusa kitu chochote cha IranUmemsikiliza waziri wa Vita wa Israel?
Hakuna anayetaka vita mkuu.Kwanini hakuzitumia?