Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

Iran wameshambulia halafu ligi ya soka ya Israel ikaendelea leo kama kawaida, na kesho tarehe 15 Hapoel atacheza na Maccabi Tel Aviv. Aiseee Israel ina dharau jamani! 😂🤣
Ww mkunya huna akili kwani Iran jana alishambulia viwanja vya mpira na makazi ya raia ,au unadhani Iran ni kama Israel inayo shambuliaga hovyo hovyo?
Alafu kingine nchi huwa inasitisha baadhi ya shughuli zake iwapo itaingia vitani sasa Iran jana hajatangaza vita dhidi ya Israel bali kafanya shambulizi la muda mfupi kwa ajili ya kulipiza kisasi basi ahitaji Vita.
Mlikuwa mna sema eti Iran akirusha hata jiwe ndani ya Israel ndo mwisho wa Ayatulla sasa hivi mmesha anza kubalisha na kuongea mipasho kama mashoga.
 
Mbona hata Saddamu hussen alifanya mashambulizi kama haya alirusha scud za kutosha hata hazikumuua inzi ndani israel baada ya israel kushambulia kinu cha nuklia cha saddamu hussen
Ww unadhani Iran huwa anashambulia hovyo hovyo kama Israel wanao fanyaga mashambulizi dhidi ya chochote kilichoko mbele yao kama vichaa?
Hujiulizi ni kwanini Iran alitangaza mashambulizi haya badala ya kufanya mashambulizi ya kushutukiza?
Kwa sababu alitaka raia wachukue rahadhari ili wasidhurike.
 
Iran kafeli vibaya sana.

Yaani urushe mamia ya makombora na yasifike kwenye kwenye target halafu useme hajafeli? Iran ina jeshi kama la Mfalme Huihui wa nchi ya Wagagagigikoko siyo? That's total failure.

Kingine, nchi kuvamiwa na bado ikaendelea na ligi hiyo ni kumdharau aliyerusha kombola. Sudan tu hapo ligi imesimamishwa itakuwa hiyo ya kurushiwa makombora zaidi ya 200? Wewe ndo una the poorest reasoning kabisa.
Kwa hiyo kati yako na msemaji wa jeshi la Israel tumuamini nani?
 

Attachments

  • Screenshot_20240414-235242.png
    Screenshot_20240414-235242.png
    277.8 KB · Views: 3
Kuna drones na makombora yamerushwa toka Lebanon, Syria, Jordan.
Ila kwa kweli Irani jana kaonesha kitu amaizing, hajaomba kutumia nchi za jirani kufanya kazi yake, hizo nchi zilishuhudia tu anga inapitishwa silaha kuelekea nchi nyingine. Package ya kitu 300 sio mchezo
 
Utakua hufuatilii kwa makini kinachoendelea.
Ma drone yote yale kajeruhi katoto kamoja tu Tena sio jeraha kubwa unawasifia iran?
Israel imesema itajibu kwa wakati wao.
 
Iran kafeli vibaya sana.

Yaani urushe mamia ya makombora na yasifike kwenye kwenye target halafu useme hajafeli? Iran ina jeshi kama la Mfalme Huihui wa nchi ya Wagagagigikoko siyo? That's total failure.

Kingine, nchi kuvamiwa na bado ikaendelea na ligi hiyo ni kumdharau aliyerusha kombola. Sudan tu hapo ligi imesimamishwa itakuwa hiyo ya kurushiwa makombora zaidi ya 200? Wewe ndo una the poorest reasoning kabisa.
Kunachotuponza ni ushabiki tu hv Nevatim airbase imeshambuliwa na nani?
 
Iran haijafeli acha uzwazwa.
Iran target yake ilikua ni millitary/airbase za Israel,viwanja ni sehemu ya raia na sio sehemu za kijeshi.
Yani kisa kambi ya gongo la mboto ishambuliwe ndio ligi ya NBC uwanja wa taifa na Chamazi isimame??
Mbona poor reasoning hii!?
Lengo la Iran limefanikiwa na kama sio Jordan,USA kudunguwa zile drone Israel ilikua inapata damage kubwa sana.
Iran imeonesha kuwa ina uwezo wa kuishambulia Israel kutoka kwake Tehran.
Na ndio maana kalenga millitary base ya Israel.
Teyari amesha impose threat kwa Israel,na silaha alizotumia zote za ujazo wa kati na masafa ya kati.
Sasa jiulize angetumia masafa marefu tena guided missiles hivi ingekuaje!?
Mtu akiwa na ushabiki hata uniambie nn hawezi kuelewa. Mfano Nevatim airbase imepigwa lakini watu hawaiongelei kabisa
 
Kungekuwa na technology ya kuyageuza yarudi yalipotoka yote yakapige kwenye makazi ya ayatollah ingependeza zaidi
 
Kwanini hakuzitumia?
Hakuna anayetaka vita mkuu.
Ndio maana hata baada ya shambulizi la Iran USA amesema hatoshiriki tukio la ulipaji kisasi kwa Iran.
Iran lengo lake ilikua kulipiza tu kisasi kwa limited fire.Maana kama angetumia full fire aisee dunia ingemuinukia kwa nguvu na vita ingezuka papo hapo.
Ile was just a show of force kama onyo,ndio maana akasema Israel ikishambulia atatoa jibu kali zaidi ya hilo.
 
Naona Kuna religious affiliation humu ndani.. watu wanatetea nchi kulingana na kufungamana nayo katika Imani.
 
Back
Top Bottom