Shillingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya

Achana na mambo uliyokariri vitabuni. Sidhani kama uko kwenye level ya kujadiliana na mimi. Kwanza, naweza nikawa mzee wako badala ya kijana wako. Naona unavyosoma na ku"paste" usivyovielewa.

I only wish you knew what you are saying and who you are talking to...bye bye, nakuweka kwenye ignore list. Sina muda na wapuuzi...eti kuathili mtanzania. Rudi shule.
 
Mambo ya wewe kuwa mzee yanatoka wapi sasa. Wewe jikite kwenye mada hii. Tunaongelea Tsh.
Wewe eleza baada ya TSh kuporomoka against Ksh matoeko yake ni yapi katika jamii ya Tanzania?

Achana na personalities. Jikite kwenye mada. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Huwa inatabia hyo Kuna kipindi ilikuwa 1 kwa 20 Tena siku zimepita sna
 
Acha uongo ni bidhaa zipi mnauza Kenya mpaka mjilinganishe na China wanaofanya over production.
Maparachichi....!!! "Shikamoo Maparachichi" muulize alianzia wapi? Mchele/Mpunga, Mahindi na gesi ya kupikia na yaviwandani nakadhalika. Najua unahitaji ushahidi.
===
The main products that Tanzania exported to Kenya were Corn ($118M), Petroleum Gas ($36M), and Kraft Paper ($32.4M). During the last 27 years the exports of Tanzania to Kenya have increased at an annualized rate of 11.7%, from $24.1M in 1995 to $482M in 2022. In 2022, Tanzania did not export any services to Kenya.

===
Hizo ni hela chache? Sasa kazi kwako. Kenya wametuuziaje? Au tumenunuaje kwao?
 
Kitu pekee mnachoweza kufanya na kupelekea devalue ni hizo rushwa na ufisadi wenu, ambazo zinapelekea miradi isiyokamilika au isiyo na tija. Kukosekana kwa utawala bora, luck of commitment n.k
Mkuu kwenye bandiko langu nimesema hoja husika Ina majibu mengi yawezekana nawe umekuja na jibu lako jipya. Asante
 
Umeiweka vizuri na hoja yangu umeipa mashiko . asante sana.
 
Jamani tuache unafiki, tuna hali mbaya. Ni vigumu hata kufikiria kuna wakati pesa hizi zilikuwa na thamani sawa...kwa kweli CCM inaiangamiza taifa hili.
Heri ya Siku Kuu ya IDD, Mwalimu wangu wa Tuisheni hapa JF. Hakika nimefaidika sana na mabandiko yako hapa JF.

Kwa kuwa, Sasa hivi CCM ndiyo imeshika mpini(Ndicho Chama halali kinachoongoza serikali iliyopo madarakani), unashauri serikali hii ya CCM ifanye nini ili watanzania wanufaike na kuongezeka kwa thamani ya sarafu ya Kenya na kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania. ?

Nina imani hutaniangusha Mwalimu, kwa kutoa majibu yanayoakisi upevu wako katika masuala haya ya maendeleo ya nchi zetu hizi, wakati wa kujibu swali hili. Asante.
 
Ninachokiona nchi sasa iende ikaboresha viwanda vyetu ili tupate bidhaa imara na bora ili tuache kutegemea maarifa ya nje.
 
Kama hii ndio sababu basi wataalam wetu nao watakuwa hawana akili vile vile.
Kenya ni nchi ya viwanda kuliko Tz so bidhaa nyingi zinazozalishwa Kenya huku Tz hakuna kwakuwa hatuna viwanda hivyo...sasa hiyo sera ya protectinism inatusaidia nn raia wa Tz zaidi ya kutusababishia uhaba wa baadhi ya bidhaa, tena baada ya muda ndio zitakuja kuuzwa bei juu zaidi!!.
Tz huwa inauza zaidi Kenya bidhaa za chakula kama viazi, mahindi, vitunguu nk pia mbao na mifugo kama ng'ombe na mbuzi.
% kubwa bidhaa za Kenya zinazoingia Tz hazipo huku and vice versa.
 
Wakati hizi pesa zilikuwa na thamani sawa, tulikuwa tumeendelea kwa kiasi gani?
 
Huu uongo wa wazi wazi. Wao kama wananunua mafuta kwa bei kubwa, unajua kwa nini bei yao ipo hivyo!? Inawezekana Kuna Kodi kubwa kwenye mafuta wao wameweka. Ila bei kwenye soko la Dunia ndiyo hiyo hiyo kwa sisi wote.

Hushangai watu wanapitishia magari kwenye bandari yetu, na Bado kwao bei zipo chini kulinganisha na sisi!
 
Kenya kuwa nchi ya viwanda hiyo ni stori ya zamani. Hebu niambie kwa sasa Tanzania inaagiza vitu gani kutoka Kenya.
 
Kwanini wanunue mafuta kwa bei kubwa? Hebu dadavua mwanauchumi mwenzangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…