Mi sera TU za kikodi na tozo,. Kwani haya mafuta, serikali ikitaka yapungue bei si wanaondoa TU Yale matozo na kupunguza Kodi yake! Lakini wanaweza!? Wakati huo huo wakizitaka hizo fedha na vyanzo vingine hakuna!?Kwanini wanunue mafuta kwa bei kubwa? Hebu dadavua mwanauchumi mwenzangu.
Huyu mcharuko hana adabu...anawezaje kudhalilisha Mwenyekiti namna hii na akaachwa...!?...unategemea...
Nimekuuliza TZ na KE tunanunua mafuta sote kwa Dollar nje ya nchi lakini huko kenya yanauzwa juu kwanini?Mi sera TU za kikodi na tozo,. Kwani haya mafuta, serikali ikitaka yapungue bei si wanaondoa TU Yale matozo na kupunguza Kodi yake! Lakini wanaweza!? Wakati huo huo wakizitaka hizo fedha na vyanzo vingine hakuna!?
Mtanzania ambaye mshahara wake haujapanda kwa miaka zaidi ya saba amepandishiwa nauli, gharama za maisha kama chakula, umeme, maji na mafuta. Wakati kipato ni kilekile kwa shilingi, inflation imeongezeka na gharama zimepanda.Tueleze sasa baada ya kuporomoka TSh kuna impacts gani zinazoweza kumuathili mtanzania?
Hii inauhusiano upi na KES currency? Kwani nauli tunalipa in KES?Mtanzania ambaye mshahara wake haujapanda kwa miaka zaidi ya saba amepandishiwa nauli, gharama za maisha kama chakula, umeme, maji na mafuta. Wakati kipato ni kilekile kwa shilingi, inflation imeongezeka na gharama zimepanda.
Sukari, mafuta ya kupikia, unga, mchele vyote bei juu. Mafuta sasa ni 3,200+ kwa hapa Dar, miaka mingapi nyuma mafuta yalikuwa 2,500. USD rate ni zaidi ya 2,500 hiyo rate ndio tutumie kufanya exchange ya imports zetu zote. Huoni impact ya kushuka kwa thamani ya TZS hapo?
Hujui swali ulilouliza na jibu nililotoa? Hebu rudia kusoma swali lako hapa chiniHii inauhusiano upi na KES currency? Kwani nauli tunalipa in KES?
Kwa uchumi wako wa jalalani hujui athari za inflation?Tueleze sasa baada ya kuporomoka TSh kuna impacts gani zinazoweza kumuathili mtanzania?
unahisi hiyo ndo sababu Tsh inashuka thamani , una maanisha wakenya hawaji huku wala hawanunui vitu vyetu ?Stress nyingine za kujitakia, kama hilo limekuudhi usiende Kenya, usinunue bidhaa kutoka Kenya, achana na lolote la Kenya kwa muda hadi shilingi ikae sawa against ksh.
wavaa matshirt ya kijani hawatakuelewa watakuita ww ni chadema tuKweli tunao vilaza wa kutupwa hapa nchini. Hebu ndugu zangu fanyeni hii hesabu,,,
Dola moja hivi sasa ni Ksh 129.50 kutoka 162..75 mwezi wa Januari mwaka huu. Hii ina maana shilingi ya Kenya imezidi kuimarika katika kipindi hicho.
Hiyo hiyo dola moja kwa sasa ni Tsh 2,575.00 kutoka 2,510.00 mwezi wa Janauari mwaka huu ikiwa na maana shilingi yetu inazidi kuporomoka.
Jamani tuache unafiki, tuna hali mbaya. Ni vigumu hata kufikiria kuna wakati pesa hizi zilikuwa na thamani sawa...kwa kweli CCM inaiangamiza taifa hili.
Kwanini hilo unalichukulia kuwa ni tatizo?Ndugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
exchange rate ni indication ya export vs import yako , kama una export sana lzm watu wahitaji sn kuwa na hela yako na the higher the demand the strong the currencyNiambie haya maelezo yooote uliyoandika yanahusianaje na mada hii? π π π π
Shillingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya
Unaweza kujikita kwenye context badala ya kwenda nje ya mada?
Tuanzie hapa:
Je, Exchange rate inauhusiano upi na ukuaji wa uchumi?
sio kwel , bidhaa za kenya huwa zipo cheap sana kuliko huki kwetu , hivyo wanamport sana kwetu krb kila kitu hata vile vitu tunavifuata pamoja ChinaMbona hii simple tu.
Tanzania inataka ku protect wazalishaji wa ndani against wa kenya.
Maana yake import from Kenya will be expensive compare to export to Kenya.
Maana yake bidhaa za Tanzania zitakuwa cheap nchini kenya while bidhaa za kenya zitapotea kwenye soko la Tanzania.
Ila sisi tusinunue kenya?Tuna devalue our currency kuboresha manunuzi ya bidhaa zetu!! Si tunazalisha sana na tunawauzia sana wakenya....Sasa tykipandisha bei ya shilingi watanunuaje? China waliowahi kufanya mchezo huu dhidi ya dollar ... nadhani walifanikiwa.....!!!
Majibu ya hoja yako yapo mengi sana hili jibu la kwangu usilitilie maanani maana sina utaalamu wa foreign exchange!
Tukinunua sana kuliko kuuza huko tunajipiga ama kupigwa!Ila sisi tusinunue kenya?
Samia yupo bize na kiwanda cha uteuzi, kutengua, na kucheka Cheka, na kununua magori ya timu za, mpiraNdugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Hata akeshe Google hawezi rudi hiyo, kilichobaki ni Uzi ufutwe!Naona bwana kichongeochuma nimemuuliza swali dogo #32 naona kaishia mitini.
Vipi bado unatafuta nondo? Kwenye ChatGPT?
Zimbabwe ana economic sanctions hiyo ndo tofauti.Kwani Zimbabwe kulianza nini hadi mkate ukawa unanunulika kwa burunguti ya fedha yake?