Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Hahahaha,bora wewe mkuu umetupia dongo kwa dogo."Una Rambo Mi Nna Mua, Ni ujinga ujinga tu mi hujaniua" - Bella
"Tafuta Saizi Yako Utaniperepweta bure" - Maromboso
"Siri imevuma huko huko nyuma wengi wanalipakuwa" - Maromboso
I am just singing
Hhahahaha mkuu,Afande Sele,siunajua tena speed imezidiNdugu, huyu uliyemnukuu ndio nani tena?
Ana ndoto za kugombea ubunge kupitia ccm huko igunga.
Nuh mziwanda anakazi kinoma na huyo mama
Mkuu japo sijui Shilole ni nani lakini yupo kama yale ma-jimama ya kihaya kule Uwanja wa Fisi. Hii ni reject per cer
Hata kama kungekuwa hamna mtu hata mmoja haimuhusu, mradi kashalipwa chake na aliempeleka huko
Jamani hivi alikusudiaaa au bahati mbaya?
We Diva huyo asikusumbue .Teh teh wewe kila upuuzi huwa unatetea tu.
We Diva huyo asikusumbue .
Jina lake lenyewe avatar Laki si pesa,na laki si pesa ni kundi la KANGAMOJA.
Sasa vitu kama hivyo kwake sio taabu kabisaa,
Deo hao kaka na dada wananafuuu.nawaonea huruma kaka na Dada zake.
Sio mtoto ana Watotohivi anamtoto mbona yamekomaa sana au anawanyonyesha hawa wenye meno 32